B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Sep 10, 2023 Thread starter #21 Katali said: Hapa naona mikutano ya KISIASA izuiwe tena maana haina afya zaidi ya kuleta utengano na uadui. Hivi ukiamua kufanya jambo la maendeleo wanakuja kupinga na kuhakikisha hakuna jambo zuri linafanyika ambalo litaleta sifa kwa Serikali. Click to expand... Jambo la maendeleo haliwezi kuwa kwa shuruti bali kwa ushawishi. Mikutano inazuiwa na sisi wenye nchi. Kuzuia Kwa nguvu za polisi ndiko huku Kwa wamasai wa ngorongoro: Your browser is not able to display this video. Mwambieni Mama Abduli, huku hakukubaliki duniani na hata akhera.
Katali said: Hapa naona mikutano ya KISIASA izuiwe tena maana haina afya zaidi ya kuleta utengano na uadui. Hivi ukiamua kufanya jambo la maendeleo wanakuja kupinga na kuhakikisha hakuna jambo zuri linafanyika ambalo litaleta sifa kwa Serikali. Click to expand... Jambo la maendeleo haliwezi kuwa kwa shuruti bali kwa ushawishi. Mikutano inazuiwa na sisi wenye nchi. Kuzuia Kwa nguvu za polisi ndiko huku Kwa wamasai wa ngorongoro: Your browser is not able to display this video. Mwambieni Mama Abduli, huku hakukubaliki duniani na hata akhera.