Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe mshana huo utakuwa ni unafiki we endelea kuomboleza nao tu.Nikichekea chooni nitaitwa mnafique🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿😂
Atakuwepo dimbani kuongeza hamasa.. Ila mkiweza msimruhusu maana nyota yake miezi ya hivi karibuni haiko stable sanaView attachment 3161786
Unasema nini mkuu😂Wale MBUMBUMBU wengine sijui km watakuelewa!
😃😃😃😃😃Hapana mkuu sina usemi😂😂😂
Mkuu yanga hakuna kitu aisee , anzeni upya mapema 😂😂😃😃😃😃😃
Mpira ni HaramMkuu yanga hakuna kitu aisee , anzeni upya mapema 😂😂
Hamna cha haram wakati wenzenu wanasajili vijana nyie mnachekelea kujiokotea mababu ya simba😂😂😂😂Mpira ni Haram
Now nipo bize na Ngoma za the Weeknd achana na mpira 😃Hamna cha haram wakati wenzenu wanasajili vijana nyie mnachekelea kujiokotea mababu ya simba😂😂😂😂
Napenda vile mna stress kwa kweli 😂😂😂Now nipo bize na Ngoma za the Weeknd achana na mpira 😃
The Weeknd I feel it coming 🔥🔥😃Napenda vile mna stress kwa kweli 😂😂😂
Ngoma kali hiyo👍The Weeknd I feel it coming 🔥🔥😃
Sana yaani sana jamaa anajua huyu Kuna mkwaju wake unaitwa can't feel my faceNgoma kali hiyo👍