Hehehe mshana huo utakuwa ni unafiki we endelea kuomboleza nao tu.Nikichekea chooni nitaitwa mnafiqueππΏππΏππΏππΏππΏπ
Atakuwepo dimbani kuongeza hamasa.. Ila mkiweza msimruhusu maana nyota yake miezi ya hivi karibuni haiko stable sanaView attachment 3161786
Unasema nini mkuuπWale MBUMBUMBU wengine sijui km watakuelewa!
πππππHapana mkuu sina usemiπππ
Mkuu yanga hakuna kitu aisee , anzeni upya mapema πππππππ
Mpira ni HaramMkuu yanga hakuna kitu aisee , anzeni upya mapema ππ
Hamna cha haram wakati wenzenu wanasajili vijana nyie mnachekelea kujiokotea mababu ya simbaππππMpira ni Haram
Now nipo bize na Ngoma za the Weeknd achana na mpira πHamna cha haram wakati wenzenu wanasajili vijana nyie mnachekelea kujiokotea mababu ya simbaππππ
Napenda vile mna stress kwa kweli πππNow nipo bize na Ngoma za the Weeknd achana na mpira π
The Weeknd I feel it coming π₯π₯πNapenda vile mna stress kwa kweli πππ
Ngoma kali hiyoπThe Weeknd I feel it coming π₯π₯π
Sana yaani sana jamaa anajua huyu Kuna mkwaju wake unaitwa can't feel my faceNgoma kali hiyoπ