Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haha,
Ban kwa lipi broh?
Hivi uliishia la ngapi, tuanzie hapo maana naanza kuhisi nnalumbana na katoto
ni muhimu ukapata fursa ya kupumzika kidogo maana tayari una dalili zote za ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala, hususani dhidi ya hoja mahususi 🐒
 
unyesha utu uzima wako sasa kwa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mezani,

lakini pia kama ni upumbavu onyesha uerevu basi dhidi ya hoja hiyo mahususi mezani,

vinginevyo mihemko na ghadhabu ni ushirikiana tu kama uchawi yaani 🐒
Hakuna cha mawazo mapya kwa jambo la uzushi, yaani umekaa umetunga uzushi wako halafu tuuifanye iwe hoja, mimi najua hali halisi na yote yanayoendelea hivyo siwezi kujadili hii tungo yako zaidi kukuambia washirikishe watoto wenzako hapo uvccm. Yote kwa yote muda ni mwalimu mzuri.
 
Unajipiga kidole halafu unanusa kisha unakasirika mwenyewe.
Mental health is real
umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani,

umeanza kufanya mazoezi ya kuanza kuyaporomosha, tabia mbaya hiyo dah unajinusa tsatsaaasstsaa🤣
 
Hakuna cha mawazo mapya kwa jambo la uzushi, yaani umekaa umetunga uzushi wako halafu tuuifanye iwe hoja, mimi najua hali halisi na yote yanayoendelea hivyo siwezi kujadili hii tungo yako zaidi kukuambia washirikishe watoto wenzako hapo uvccm. Yote kwa yote muda ni mwalimu mzuri.
kaa ulie sasa kama huna mawazo mapya dhidi ya ukweli huo bayana juu ya huyo muungwana...

Yes muda ni mwalimu mzuri sana,
na mimi nimewajibika vyema kuwaandaa kisaikolojia dhidi ya hayo yatakayotokea kwa wakati muafaka utakapofika, wala usipanic wala kubabaika kwenye hilo, its real🐒
 
kaa ulie sasa kama huna mawazo mapya dhidi ya ukweli huo bayana juu ya huyo muungwana...

Yes muda ni mwalimu mzuri sana,
na mimi nimewajibika vyema kuwaandaa kisaikolojia dhidi ya hayo yatakayotokea kwa wakati muafaka utakapofika, wala usipanic wala kubabaika kwenye hilo, its real🐒
Huu uzushi wako umebuma, ni majuha wa uvcmm tu ndiyo wanaweza kuamini. Katika nyuzi zimekuvua nguo huu umeongoza ha ha ha haaaaaa !
 
Huu uzushi wako umebuma, ni majuha wa uvcmm tu ndiyo wanaweza kuamini. Katika nyuzi zimekuvua nguo huu umeongoza ha ha ha haaaaaa !
masuala ya uzushi,
anayaweza yule jamaa aliewahaada kuhusu sakata la sukari na mkaingia kingi kizembe kabisa, na sasa ametengwa na bunge anateseka sana mtaani,

mimi hua nazungumzia mambo mazito na ya maana sana kitaalamu na kimkakati ambayo karibu yote ni matokeo ya utafiti maalumu wa kisayansi kisiasa :pulpTRAVOLTA:
 
masuala ya uzushi,
anayaweza yule jamaa aliewahaada kuhusu sakata la sukari na mkaingia kingi kizembe kabisa, na sasa ametengwa na bunge anateseka sana mtaani,

mimi hua nazungumzia mambo mazito na ya maana sana kitaalamu na kimkakati ambayo karibu yote ni matokeo ya utafiti maalumu wa kisayansi kisiasa :pulpTRAVOLTA:
Umeshahamisha magoli sasa. Hii tungo yako imekaa kitoto sana tena eti unabana pua kabisa umefanya research, unafikiri jukwaa la watoto wa chekechea hili.Sidhani kama leo utalipwa kwa huu ukwaju chukuchuku.
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Hueleweki.
Umeandika kitu gani?
Kama Wakili Msomi Boniface Mwabukusi ni chaguo la Watanganyika, nakushauri uwaeleze CCM kwamba kamwe wasikubali Uchaguzi Huru na wa Haki!
Kwa sababu namna pekee ya Dr. Samia Hassan kumshinda Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu ni kuiba Kura.
 
Umeshahamisha magoli sasa. Hii tungo yako imekaa kitoto sana tena eti unabana pua kabisa umefanya research, unafikiri jukwaa la watoto wa chekechea hili.Sidhani kama leo utalipwa kwa huu ukwaju chukuchuku.
yamekiwia maguamu sana eee :pedroP:

sidaiwi na yeyote kuhusu mwisho wa siasa za muungwana lisu huko singida na ndani ya chadema, nadhani nimewaandaa kisaikolojia vya kutosha na vizuri sana:pulpTRAVOLTA:
 
😂😂😂😂😂
Kiekweli umenifanay nicheke sana, mimi naona humu mnakula pesa za bure, hivi kweli mtu ambaye anaingia Jamiiforums anaweza kweli kuamini hiz cheap propaganda zenu.? Kwanini msiwe mnaenda Facebook huko ambako kuna wadada wa kazi na wengineo ambao wanaamini ukichagua upinzani basi vita vitatokea
Pale Lumumba hii kazi wenye akili wote hawaitaki, wanapambania kufanya uchawa kwa staili advanced kidogo.


Basi hii kazi wanaachiwa mleta mada na kina Luca. Hata hivyo malipo ni madogo nani anataka?
 
Jiwe mwenyewe aliukubali mziki wa Lissu ww ni nani? -na bila tume kuokoa jahazi mchwa alikuwa kashakula kamba sheikh.
 
Hueleweki.
Umeandika kitu gani?
Kama Wakili Msomi Boniface Mwabukusi ni chaguo la Watanganyika, nakushauri uwaeleze CCM kwamba kamwe wasikubali Uchaguzi Huru na wa Haki!
Kwa sababu namna pekee ya Dr. Samia Hassan kumshinda Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu ni kuiba Kura.
ukiwa na mihemko na ghadhabu huwezi elewa chochote gentleman...
relax na ushushe pumzi kwanza, soma polepole na uelewe vizuri, namna ambavyo huyi muungwana Lisu anavyohitimisha siasa zake njimboni singida, lakini pia atakavyotoswa kwa fedheha sana nafasi ya kugombea urais kupitia chadema kwa wakati muafaka.... sawa gentleman?

na kwahivyo,
kwa maelezo hayo yangu mafupi , utagundua na kuelewa kwamba,
unachoeleza wewe ni useles na nonsense, kwasababu huyo muungwana wa singida hatakuwako kwenye ballot box na badala yake atakua amerudi ng"ambo kwa mabwenyeye zake waliomtuma:pedroP:

jambo
 
yamekiwia maguamu sana eee :pedroP:

sidaiwi na yeyote kuhusu mwisho wa siasa za muungwana lisu huko singida na ndani ya chadema, nadhani nimewaandaa kisaikolojia vya kutosha na vizuri sana:pulpTRAVOLTA:
Chuki yako tu hiyo uzuri haiwezi kumshusha sana sana wewe ndiye unajichoresha tu.
 
Jiwe mwenyewe aliukubali mziki wa Lissu ww ni nani? -na bila tume kuokoa jahazi mchwa alikuwa kashakula kamba sheikh.
safari hii mwamba wa kasikazini yupo pale anamsubiri viziri sana, si ana mtuhumu kwamba ni mla rushwa kambale chadema? haya yupo pale ana msubiri vizuri sana urais 2025:pedroP:
 
Chuki yako tu hiyo uzuri haiwezi kumshusha sana sana wewe ndiye unajichoresha tu.
mwamba wa kasikazini yuko pale anamsubiri aje kuchukua fomu, mpaka aeleze nani mla rushwa pale kamatu kuu chadema?:pedroP:
 
Rais Samia :TUNDU LISSU NI SIMBA
Chawa Tlaatlaah :Tundu Lissu hapati ubunge

Nani asikilizwe?
watu singida wamemkataa kwaajili ya tabia mbaya sana ya kuomba omba,

chadema nao wananenda kumtosa kugombea urais kwa fedheha sana...

angalau myama moja apewe jina lake kukuza utalii wa ndani kwasababu kisiasa hatakuwapo tena kwenye medani:pedroP:
 
Back
Top Bottom