Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajipiga kidole halafu unanusa kisha unakasirika mwenyewe.hata akisimamia John Mrema bado hatafanikiwa kushinda uchaguzi singida wala makamu mwenyekiti taifa wakati muafaka 🐒
ni muhimu ukapata fursa ya kupumzika kidogo maana tayari una dalili zote za ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala, hususani dhidi ya hoja mahususi 🐒Haha,
Ban kwa lipi broh?
Hivi uliishia la ngapi, tuanzie hapo maana naanza kuhisi nnalumbana na katoto
Hakuna cha mawazo mapya kwa jambo la uzushi, yaani umekaa umetunga uzushi wako halafu tuuifanye iwe hoja, mimi najua hali halisi na yote yanayoendelea hivyo siwezi kujadili hii tungo yako zaidi kukuambia washirikishe watoto wenzako hapo uvccm. Yote kwa yote muda ni mwalimu mzuri.unyesha utu uzima wako sasa kwa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mezani,
lakini pia kama ni upumbavu onyesha uerevu basi dhidi ya hoja hiyo mahususi mezani,
vinginevyo mihemko na ghadhabu ni ushirikiana tu kama uchawi yaani 🐒
umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani,Unajipiga kidole halafu unanusa kisha unakasirika mwenyewe.
Mental health is real
kaa ulie sasa kama huna mawazo mapya dhidi ya ukweli huo bayana juu ya huyo muungwana...Hakuna cha mawazo mapya kwa jambo la uzushi, yaani umekaa umetunga uzushi wako halafu tuuifanye iwe hoja, mimi najua hali halisi na yote yanayoendelea hivyo siwezi kujadili hii tungo yako zaidi kukuambia washirikishe watoto wenzako hapo uvccm. Yote kwa yote muda ni mwalimu mzuri.
Huu uzushi wako umebuma, ni majuha wa uvcmm tu ndiyo wanaweza kuamini. Katika nyuzi zimekuvua nguo huu umeongoza ha ha ha haaaaaa !kaa ulie sasa kama huna mawazo mapya dhidi ya ukweli huo bayana juu ya huyo muungwana...
Yes muda ni mwalimu mzuri sana,
na mimi nimewajibika vyema kuwaandaa kisaikolojia dhidi ya hayo yatakayotokea kwa wakati muafaka utakapofika, wala usipanic wala kubabaika kwenye hilo, its real🐒
masuala ya uzushi,Huu uzushi wako umebuma, ni majuha wa uvcmm tu ndiyo wanaweza kuamini. Katika nyuzi zimekuvua nguo huu umeongoza ha ha ha haaaaaa !

Umeshahamisha magoli sasa. Hii tungo yako imekaa kitoto sana tena eti unabana pua kabisa umefanya research, unafikiri jukwaa la watoto wa chekechea hili.Sidhani kama leo utalipwa kwa huu ukwaju chukuchuku.masuala ya uzushi,
anayaweza yule jamaa aliewahaada kuhusu sakata la sukari na mkaingia kingi kizembe kabisa, na sasa ametengwa na bunge anateseka sana mtaani,
mimi hua nazungumzia mambo mazito na ya maana sana kitaalamu na kimkakati ambayo karibu yote ni matokeo ya utafiti maalumu wa kisayansi kisiasa![]()
Hueleweki.Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.
Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.
Soma Pia:
Hata hiyo,
- Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Antipas Lissu! Kumsihi aachane na nia yake ya kugombea urais 2025-2030
- Kuelekea 2025 - Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.
Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.
Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
yamekiwia maguamu sana eeeUmeshahamisha magoli sasa. Hii tungo yako imekaa kitoto sana tena eti unabana pua kabisa umefanya research, unafikiri jukwaa la watoto wa chekechea hili.Sidhani kama leo utalipwa kwa huu ukwaju chukuchuku.

Pale Lumumba hii kazi wenye akili wote hawaitaki, wanapambania kufanya uchawa kwa staili advanced kidogo.😂😂😂😂😂
Kiekweli umenifanay nicheke sana, mimi naona humu mnakula pesa za bure, hivi kweli mtu ambaye anaingia Jamiiforums anaweza kweli kuamini hiz cheap propaganda zenu.? Kwanini msiwe mnaenda Facebook huko ambako kuna wadada wa kazi na wengineo ambao wanaamini ukichagua upinzani basi vita vitatokea
ukiwa na mihemko na ghadhabu huwezi elewa chochote gentleman...Hueleweki.
Umeandika kitu gani?
Kama Wakili Msomi Boniface Mwabukusi ni chaguo la Watanganyika, nakushauri uwaeleze CCM kwamba kamwe wasikubali Uchaguzi Huru na wa Haki!
Kwa sababu namna pekee ya Dr. Samia Hassan kumshinda Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu ni kuiba Kura.

Chuki yako tu hiyo uzuri haiwezi kumshusha sana sana wewe ndiye unajichoresha tu.yamekiwia maguamu sana eee
sidaiwi na yeyote kuhusu mwisho wa siasa za muungwana lisu huko singida na ndani ya chadema, nadhani nimewaandaa kisaikolojia vya kutosha na vizuri sana![]()
safari hii mwamba wa kasikazini yupo pale anamsubiri viziri sana, si ana mtuhumu kwamba ni mla rushwa kambale chadema? haya yupo pale ana msubiri vizuri sana urais 2025Jiwe mwenyewe aliukubali mziki wa Lissu ww ni nani? -na bila tume kuokoa jahazi mchwa alikuwa kashakula kamba sheikh.

Ndiyo utoto huu unataka tujadili?mwamba wa kasikazini yuko pale anamsubiri aje kuchukua fomu, mpaka aeleze nani mla rushwa pale kamatu kuu chadema?![]()
watu singida wamemkataa kwaajili ya tabia mbaya sana ya kuomba omba,
