Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
acha mihemko na kuwadhihaki wananchi gentleman, jitahid kua mstaarabu kidogo na kuheshimu mawazo ya wazee kwa kijana wao:pedroP:
Nasema hivi, hii nchi inategemea vijana sio wazee. Hao wazee waiteni huko ccm wawashauri muache wizi wa kura, na kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kitendo cha Lisu kutangaza kugombea, naona kimewavuruga majizi vibaya.
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Mental are real. Alivoshinda kipondi kile wewe bado ulikuwa kwenu wete bado?
 
Atapata vipi tume ya uchaguzi ya vegetables😹😹
alaaa alaa alaaa kumbe upo tsasa tasaahhhhtassssa:pedroP:

hujambo mama,
shalom...
mama angu yuko wap aisee

ni kwamba wasingida wamesha mkatia tamaa bana,
halafu chadema anatakiwa Dr.slaa ndie awe mgombea urais, kwahuyo huyu muungwana ndio huvyo tena atakaewa mapema sana au siku ya mwisho ili akose cha kufanya, inasikitisha sana but ndiyo siasa ilivyo:pedroP:
 
alaaa alaa alaaa kumbe upo tsasa tasaahhhhtassssa:pedroP:

hujambo mama,
shalom...
mama angu yuko wap aisee

ni kwamba wasingida wamesha mkatia tamaa bana,
halafu chadema anatakiwa Dr.slaa ndie awe mgombea urais, kwahuyo huyu muungwana ndio huvyo tena atakaewa mapema sana au siku ya mwisho ili akose cha kufanya, inasikitisha sana but ndiyo siasa ilivyo:pedroP:
Sijambo baba mtumishi, mama yako yupo Joannah unaitwa na baba mtumishi.!!

Hamna lolote zipigwe kura za uwazi muone km mtatoboa.!! Nyie bila poli CCM na walimu kuwasaidia kwenye ballot box hamtoboi
 
Nasema hivi, hii nchi inategemea vijana sio wazee. Hao wazee waiteni huko ccm wawashauri muache wizi wa kura, na kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kitendo cha Lisu kutangaza kugombea, naona kimewavuruga majizi vibaya.
mim nimetekeleza wajibu wangu kukuandaa kisaikolojia kilipokea hilo miongoni mwa mambo mazito sana kisiasa:pedroP:
 
Sijambo baba mtumishi, mama yako yupo Joannah unaitwa na baba mtumishi.!!

Hamna lolote zipigwe kura za uwazi muone km mtatoboa.!! Nyie bila poli CCM na walimu kuwasaidia kwenye ballot box hamtoboi
nadhani ni muhimu zaidi labda ikafanyika poll ya kuwapima Dr.Salaa na Lisu nani ana nguvu licha ya kwamba mbowe ana nguvu zaidi yao wote, lakini amejitenga kujihusisha na maandalizi ya mapema ya kugombea nafasi ya urais 2025 kupitia chadema, hata hivyo mambo yananweza kua tofauti huko mbeleni...

uchaguzi ule wa jumla utakua na matokeo ya fedheha sana kwa mgombea yeyote wa upinzani:pedroP:
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
If wishes were horses......
 
mshangao ataupata yeye atakapofyekelewa mbali na chadema kuhusu nafasi ya kugombea uraisi kuputia chama hicho, mbona atafurah :pedroP:
SIo chadema ni ccm anaweza kupewa na wakuu chadema imekufaga kabisa kama lema ana andika msalimie Yesu , si ukichaa umetawala
 
nadhani ni muhimu zaidi labda ikafanyika poll ya kuwapima Dr.Salaa na Lisu nani ana nguvu licha ya kwamba mbowe ana nguvu zaidi yao wote, lakini amejitenga kujihusisha na maandalizi ya mapema ya kugombea nafasi ya urais 2025 kupitia chadema, hata hivyo mambo yananweza kua tofauti huko mbeleni...

uchaguzi ule wa jumla utakua na matokeo ya fedheha sana kwa mgombea yeyote wa upinzani:pedroP:
Hivi kuandika magazeti huchoki? 🤣🤣
Huwezi amini hata sijasoma
 
kwan umelazimishwa gentleman ebooh:pedroP:

sasa unakuja kumbwelambwela na kubabaika nini na huelewe kitu mahususi ndani ya mjadala, umeanza umbea sio:pedroP:
Kila ninapoona jina lako moja kwa moja najuwa hapo pamejaa takataka. Sihitaji tena kupoteza muda kusoma takataka. Na unajuwa nilisha weka ahadi. Sikuachii uendele kuweka uchafu.

Umeelewa?
 
Hivi kuandika magazeti huchoki? 🤣🤣
Huwezi amini hata sijasoma
hapakufai eneo hili mtumishi,
mimi naamini Mungu pekee...

ni kwa Neema na Baraka za Mungu naweza kufanya yote haya kwa moyo na nguvu sana,

tafakari,
ikiwa kuandika tu nakuchosha hivi, je kuhubiri kwa kusema na kuongea kuna mtu atachomoka kweli? :pedroP:
 
Kila ninapoona jina lako moja kwa moja najuwa hapo pamejaa takataka. Sihitaji tena kupoteza muda kusoma takataka. Na unajuwa nilisha weka ahadi. Sikuachii uendele kuweka uchafu.

Umeelewa?
unababaika gentleman na huna ideas:pedroP:
 
Umeanza kunyooka, hata kama hujitambui kuwa na mabadiliko hayo. Jikaze hivyo hivyo, mradi mkono uende kinywani.
namalizia kurudia kuskiza hotuba ya mbowe mara ya6, kuhusu utekaji ili nije na detailed informations kwenye bandiko lijalo saa3:30 usiku huu, stay tuned, usiondoke :pedroP:
 
namalizia kurudia kuskiza hotuba ya mbowe mara ya6, kuhusu utekaji ili nije na detailed informations kwenye bandiko lijalo saa3:30 usiku huu, stay tuned, usiondoke :pedroP:
Ili iweje. Mkapange mikakati ya utekaji mwingine?
Hata hivyo 'Chura Kiziwi' kisha waonya. Hataki kuwa Magufuli wa kike.
Mnajipendekeza kwake ili muendelee kunufaika, kumbe mnamharibia sifa yake!
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Unahoja mkuu.... Usikilizwe
 
Back
Top Bottom