Kwa aina za Mahakama Tanzania sitoshangaa Mke wa Bilionea Msuya akiachiwa huru. Ni nani muuaji wa dada wa Msuya?

Kwa aina za Mahakama Tanzania sitoshangaa Mke wa Bilionea Msuya akiachiwa huru. Ni nani muuaji wa dada wa Msuya?

ubabe ubabe tu, ilikuwa ukienda ofisini kwake na jiwe akikupa ofa ukaikataa ukiondoka anatuma vijana wake wanakupora hilo jiwe na huna pa kwenda, askari wote wakubwa arusha na manyara walikuwa mfukoni mwake, kwa uchache tu ila kuna mengine mengi sana ya kuogofya sana.
Mali zake zilikuwa na ulakini basi

Ova
 
"E="mrangi, post: 48645356, member: 209781"]
Mali zake zilikuwa na ulakini basi

Ova
"Walakin mkubwa, hata kuuwawa kwake ilikuwa ni majibu ya dhuluma dhidi ya wenzake, kimsingi walikuwa wanatafutana, jamaa walimuwai tu.[/QUOTE]Mali yoyote kama ilipatikana kwa dhuluma,magumashi haitokaa kabisa
Lazima kutatokea misukosuko

Ova
 
"Walakin mkubwa, hata kuuwawa kwake ilikuwa ni majibu ya dhuluma dhidi ya wenzake, kimsingi walikuwa wanatafutana, jamaa walimuwai tu.
Mali yoyote kama ilipatikana kwa dhuluma,magumashi haitokaa kabisa
Lazima kutatokea misukosuko

Ova
[/QUOTE]Mimi huwa namshangaa huyo dada aliyekuwa anagombea mali za kaka yake wakati kaka alikuwa na mke na watoto, wajomba pia huwa nawashangaa kujiweka mbele kwenye mali za shemeji, makabila mengine hata sijui yakoje tu.
 
OK Mtamwachia sasa , Huyu Dada wa Msuya yeye alichinjwa na nani? Watesi wa Marehem huyu wako wapi? Alijichinja Mwenyewe?

Ifike Mahali, madhaifu ya SHERIA zetu mbovu mbovu yasitumike kuondoa uhalali wa Jinai.

Ifike Mahali Madhaifu ya Jeshi la Polisi , yasiondoe uhalali wa Jinai ya mtu.

Licha ya J4 kuua na kufungwa Jela , mlimuachia , Sijui yalikua ni madhaifu ya SHERIA zetu au yalifanyika Makubaliano ya wanaundugu.

Kama kweli Makubaliano ya wanaundugu yanatosha kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE !!.

Serikali ,Mahakama, hazipaswi kua sehem ya mapatanisho katika Suala la Jinai ,wajibu wa Serikali kupitia vyombo vyake vya Dola, wajibu wa Mahakama ni kuhakikisha Haki ya mtu aliye hai au aliyekwisha kua Marehem haipotei.

Katika hali ya kawaida kabisaa, Dada wa Bilionea Msuya huyu aliuawawa, na motive iliyokua nyuma ya mauaji hayo, ni MALI za Bilionea Msuya !!. Ndio sababu Kifo Cha Bilionea Msuya, kinakuja kusababisha Kifo Cha Dada yake Msuya.

Wauaji mnawaachiaz ila mnafunga watu miaka mitano kisa wamekoswa kulipa Faini ya Laki tatu??.

Mhukumuni huyo mwanamke, Kunyongwa Hadi kufa.

"kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE !!"

- Umethibitisha ni muuaji? Ni kazi ya Mahakama kuthibitisha, kama haijathibitisha wewe unatakaje?
 
Usitegemee Mahakama kutenda haki hapo wakati wanajua aliebaki ndio ana pin namba za mabilioni yaliyopo unategemea nini hapo mbona majibu yapo wazi tuu..
acha ujinga mkuu msimamizi wa mirathi alishateuliwa mwingine. ukifuatilia ushahidi kwa makini utagundua hauzigel ndio alifanya hayo mauaji
 
ukifuatilia ushahidi kwa makini sana bila mhemkop, hasira,chuki, husda na ukitumia akili yako kidogo tu ya la saba c utagundua hauzigel ndio alifanya hayo mauaji
 
Wewe mwenye akili house girl alikua anagombea nini mpaka afanye mauaji...anaweza kuua mtu mwingine lakini wapo wahusika wa hayo mauaji...
huyo dada naye kimbelembele tu anagombeaje mali za kaka wakati kaka ana mke na watoto, alitakiwa kutumia ukaribu wake na kaka yake kujiweka fit kiuchumi wakati kaka akiwa hai, ona sasa kachinjwa kama kuku na hakuna alichopata, kaishia kuwaacha watoto wake wadogo bila mama.
 
OK Mtamwachia sasa , Huyu Dada wa Msuya yeye alichinjwa na nani? Watesi wa Marehem huyu wako wapi? Alijichinja Mwenyewe?

Ifike Mahali, madhaifu ya SHERIA zetu mbovu mbovu yasitumike kuondoa uhalali wa Jinai.

Ifike Mahali Madhaifu ya Jeshi la Polisi , yasiondoe uhalali wa Jinai ya mtu.

Licha ya J4 kuua na kufungwa Jela , mlimuachia , Sijui yalikua ni madhaifu ya SHERIA zetu au yalifanyika Makubaliano ya wanaundugu.

Kama kweli Makubaliano ya wanaundugu yanatosha kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE !!.

Serikali ,Mahakama, hazipaswi kua sehem ya mapatanisho katika Suala la Jinai ,wajibu wa Serikali kupitia vyombo vyake vya Dola, wajibu wa Mahakama ni kuhakikisha Haki ya mtu aliye hai au aliyekwisha kua Marehem haipotei.

Katika hali ya kawaida kabisaa, Dada wa Bilionea Msuya huyu aliuawawa, na motive iliyokua nyuma ya mauaji hayo, ni MALI za Bilionea Msuya !!. Ndio sababu Kifo Cha Bilionea Msuya, kinakuja kusababisha Kifo Cha Dada yake Msuya.

Wauaji mnawaachiaz ila mnafunga watu miaka mitano kisa wamekoswa kulipa Faini ya Laki tatu??.

Mhukumuni huyo mwanamke, Kunyongwa Hadi kufa.

Sheria ingekua inaongozwa na hisia na mihemko kama unavyotaka, Haki ingekua jambo la kufikirika tu. Nitakupa mfano mzuri. Kwenye kesi maarufu ya mauaji ya muuza madini, DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTION Versus ABDALLAH ZOMBE & 8 OTHERS (2016) ,Majaji wa mahakama ya rufaa katika kutafuta kumtia hatiani ACP Abdallah Zombe wanaeleza;

“Finally the 1st Respondent (ACP ABDALLAH ZOMBE). There is no evidence, direct or circumstantial, on record to connect him with the charge of murder though there is a strong suspicion hovering over his head.”

Kwenye hii case ilikua wazi kabisa kwamba Abdallah Zombe ndiye alikua master mind wa mauaji ya yule muuza madini lakini hakukua na ushahidi wowote mbele ya mahakama uliomuonesha kuhusika. Hata Majaji walieleza kabisa kuwa kuna namna wanamshuku kuhusika lakini ushahidi ndo hakuna. Hiyo ikawa pona yake. Baada ya kesi kuisha Abdallah Zombe aliacha uaskari akakimbia kabisa Tanzania.

Nataka tu kukutazamisha Mahakama zinaongozwa na sheria na sio hisia wala mihemko. Kama hakuna ushahidi, hakuna hatia.
 
OK Mtamwachia sasa, huyu Dada wa Msuya yeye alichinjwa na nani? Watesi wa Marehem huyu wako wapi? Alijichinja Mwenyewe?

Ifike Mahali, madhaifu ya SHERIA zetu mbovu mbovu yasitumike kuondoa uhalali wa Jinai.

Ifike Mahali Madhaifu ya Jeshi la Polisi, yasiondoe uhalali wa Jinai ya mtu.

Licha ya J4 kuua na kufungwa Jela , mlimuachia, Sijui yalikua ni madhaifu ya SHERIA zetu au yalifanyika Makubaliano ya wanaundugu.

Kama kweli Makubaliano ya wanaundugu yanatosha kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE.

Serikali ,Mahakama, hazipaswi kua sehem ya mapatanisho katika Suala la Jinai ,wajibu wa Serikali kupitia vyombo vyake vya Dola, wajibu wa Mahakama ni kuhakikisha Haki ya mtu aliye hai au aliyekwisha kua Marehem haipotei.

Katika hali ya kawaida kabisaa, Dada wa Bilionea Msuya huyu aliuawawa, na motive iliyokua nyuma ya mauaji hayo, ni MALI za Bilionea Msuya. Ndio sababu Kifo Cha Bilionea Msuya, kinakuja kusababisha Kifo Cha Dada yake Msuya.

Wauaji mnawaachiaz ila mnafunga watu miaka mitano kisa wamekoswa kulipa Faini ya Laki tatu?

Mhukumuni huyo mwanamke, Kunyongwa Hadi kufa.
Aliyekwambia J4 aliachiliwa nani? Ukiambiwa weka picha yake akiwa mtaani au nyumbani kwake baada ya "kuachiliwa" utaiweka? Acheni kuropokaropoka.
 
Ipo wazi mbona,uwe na pesa au umaarufu jela watakaa masikini.
Sheria ni biashara za watu,toa pesa vifungu vya sheria vibadilishwe
 
Back
Top Bottom