bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
U
Ulishawahi kumuona muhindi akiwa ndani ya kituo cha polisi, mahabusu au gerezani? Tuseme hawafanyi makosa kwakuwa tu ni wahindi?
Ipo wazi mbona,uwe na pesa au umaarufu jela watakaa masikini.
Sheria ni biashara za watu,toa pesa vifungu vya sheria vibadilishwe
Chief kama una uahahidi si uupeleke mahakamani huyo dada ahukumiwe kunyongwaWewe mwenye akili house girl alikua anagombea nini mpaka afanye mauaji...anaweza kuua mtu mwingine lakini wapo wahusika wa hayo mauaji...
serikali ndio inaamua hiyo kesi, ujinga mwingine ni bora ukauficha. Unajua maana ya utawala wa sheria. Ndio gharama za ujinga, wakati wenzenu wanasoma wengine sijui mlikuwa mnawaza nini. Wajinga km wewe ni mzigo kwa taifa."kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE !!"
- Umethibitisha ni muuaji? Ni kazi ya Mahakama kuthibitisha, kama haijathibitisha wewe unatakaje?
we ndiolijinga lingine, house girl ammwue kwa maslahi gani, huo ubavu aliutoa wapi. Tumieni akili badala ya makalio kufikiriacha ujinga mkuu msimamizi wa mirathi alishateuliwa mwingine. ukifuatilia ushahidi kwa makini utagundua hauzigel ndio alifanya hayo mauaji
Africa tajiri kuwa jela Pana mawili kaingia 18 za wanasiasa au interest za nchi.Unamfahamu Yanga Omary? Tajiri maarufu Tanga. Yupo jela sasahivi.
Wahindi siyo waoga wa mamlaka kama unavyodanganya hapa, wahindi ni watoa rushwa wakuu kwenye mamlaka.Kama hujui basi wahindi ni waoga sana wa mamlaka. Wanajitahidi sana kufuata sheria kwasababu hawapendi kulumbana na vyombo vya dola.
Wapo wengi sana sana,nna ushaidi wa hiloU
Ulishawahi kumuona muhindi akiwa ndani ya kituo cha polisi, mahabusu au gerezani? Tuseme hawafanyi makosa kwakuwa tu ni wahindi?
Unamjuwa yule tajiri baghdad mbona alinyolewaU
Ulishawahi kumuona muhindi akiwa ndani ya kituo cha polisi, mahabusu au gerezani? Tuseme hawafanyi makosa kwakuwa tu ni wahindi?
Acha kuongea ufarasi"kumuachia Muuaji na Kumfanya awe huru, BASI TUNA SERIKALI YA KIJINGA KUSHINDA UJINGA WENYEWE !!"
- Umethibitisha ni muuaji? Ni kazi ya Mahakama kuthibitisha, kama haijathibitisha wewe unatakaje?
Daah hamtaki tujadili shida nini na wewe kama una ushahidi peleka mahakamani ili asihukumiwe kunyongwa...Chief kama una uahahidi si uupeleke mahakamani huyo dada ahukumiwe kunyongwa
Hii bongo nyoso ukiwa na cash hufungwi tunafungwa wanyonge tuAliyekwambia J4 aliachiliwa nani? Ukiambiwa weka picha yake akiwa mtaani au nyumbani kwake baada ya "kuachiliwa" utaiweka? Acheni kuropokaropoka.
Hujajibu swali langu.Hii bongo nyoso ukiwa na cash hufungwi tunafungwa wanyonge tu
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Aah aah, migodi mingi aliyo kuwa nayo na yenye utajiri alipewa na mzee wake ,Hivi msuya Mali zake alizipataje?
Historia yake enzi akiwa hai ilikuwaje?
Na kwenye biashara alikuwaje???
Ova
kwani kesi za mauhuzigel kuwauwa waajiri yao hujawahi kuzisikia mkuu?we ndiolijinga lingine, house girl ammwue kwa maslahi gani, huo ubavu aliutoa wapi. Tumieni akili badala ya makalio kufikiri
sawaJinga kabisa .
House girl ?.