Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
Tena walianza hata kabla hajamaliza muhula wa kwanza!Hilo lipo wazi kabisa
Akimaliza awamu yake atapumzika,
Hao wanaosema atajiongezea muda wanamlisha maneno baba wa watu
Maneno yao tu hayoTena walianza hata kabla hajamaliza muhula wa kwanza!
we dada una shida sana...hao watu umewataja wataeza kukuletea balaa kubwa sana..!Kina Kabula,Sundi ndo wanavaa CL na wanaendesha Audi 9.
Kuhusu kuongeza mhula. Tuombe uzima tu Wabunge wataongeza muda na Magufuli atajifanya kaombwa hivyo kakubali unless afe kabla ya 2025.
Rudia kusoma tena post yako!Nyani Ngabu na Paschal Mayalla wote ni wasukuma, na msukuma hata aishi New York hawezi acha ushamba na ujinga flani hivi wa kumsifia msukuma mwenzake hata akila kinyesi
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.we dada una shida sana...hao watu umewataja wataeza kukuletea balaa kubwa sana..!
Of course.They want to ride the gravy train for as long as they can?
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.
So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.
Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.
Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.
Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:
1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.
Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.
Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.
Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.
Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.
Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.
Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.
2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.
Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.
Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.
Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.
Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.
Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.
Don’t get it twisted, he can be petty like that.
Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.
Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.
Baadaye ✌🏿
Wizi mkubwa wa kura aliousimamia katika uchaguzi huu ni maandalizi ya project yake ya kubaki madarakani kwa kisingizio cha kusimamia white elephants zake, alishadokeza hiloOk, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.
So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.
Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.
Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.
Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:
1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.
Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.
Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.
Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.
Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.
Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.
Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.
2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.
Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.
Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.
Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.
Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.
Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.
Don’t get it twisted, he can be petty like that.
Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.
Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.
Baadaye ✌🏿
You are just nitpicking his speech!
Nyerere na Castro walikua wala bata? Mbona walitawala kipindi kirefu?You are just nitpicking his speech!
Nyakati tofauti. Watu tofauti. Mazingira tofauti kabisa.Nyerere na Castro walikua wala bata? Mbona walitawala kipindi kirefu?
Hamna logical basis kati ya kubaki madarakani na kula bata. Mbona kuna mabilionea wanagombea ubunge? Unadhani bata inawapeleka au POWER?
Huyu lazima ataongeza miaka zaidi ya 15Tatizo sio kula bata ttzo watu wanapenda ufalme usicheze na kile kiti cha uraisi raha yake haina mfanowe.
Mkuu kwani si mlisema Membe ni kiboko ya jiwe?1. Kama Jiwe anaona uraisi ni Mzigo kwa nini amegombea the second term?
2. Kama unadhani hawezi kuturudisha tulipotoka kwa nini anaturudisha tulipotoka in so many ways, repressive laws, moves za kuua upinzani, kuminya uhuru wa habari etc
Bwashee humu hatutambuani kwa makabila yetu bali kwa hoja, Bwashee hoja kubwa hapa ya Nyani ngabu ni Magufuli kutojiongezea muda wake,Abusive lunguage for Sukuma Community is unacceptable comment.Nyani Ngabu na Paschal Mayalla wote ni wasukuma, na msukuma hata aishi New York hawezi acha ushamba na ujinga flani hivi wa kumsifia msukuma mwenzake hata akila kinyesi
Mwinyi, Mkapa na Kikwete walishafanya.Kama hataongeza muda basi atakua mfano wa kuigwa sababu kila kitu kipo ndani ya uwezo ni yeye tu aamue.Loop holes za kubadili katiba zipo nje nje.Let’s wait and see!
Umegonga penyewee!Nyani Ngabu na Paschal Mayalla wote ni wasukuma, na msukuma hata aishi New York hawezi acha ushamba na ujinga flani hivi wa kumsifia msukuma mwenzake hata akila kinyesi