Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Mwinyi, Mkapa na Kikwete walishafanya.

Yeye anakuwaje mfano hapo?

Ukiniambia rais Mwinyi ameweka mfano wa kuheshimu term limits, nitakuelewa.

Maana ndiye alikuwa rais wa kwanza kufanya hivyo.

Sasa rais wa nne kufanya hivyo ameweka mfano kivipi wakati mfano tulishauona toka kwa Mwinyi?
Mkuu kwa hali ilivyo Sasa anauwezo wa kubadili katiba na kuongeza term za kuendelea kubaki madarakani.Nani ndani ya CCM atagoma akitaka kuendelea?katiba inabadilishwa na anaendelea kutawala
 
We jifariji tu. Kila mwenye akili timamu aliliona hili mapema tu. Huyu hatakaa achomoke. Labda Mungu mwenyewe aamue kumalizana nae.
 
Nyakati tofauti. Watu tofauti. Mazingira tofauti kabisa.

Hata akina Museveni na Kagame walikuwa wanasema hivyohivyo, lakini hatua walizokuwa wanachukua unaona kabisa wanajitengenezea grounds za kuongeza mihula. Nguvu kubwa anazotumia Jiwe kuonea. kuintimidate. kutoheshimu viapo alivyokula vya kutawala kwa fairness na kuheshimu katiba, Kuua civil socities, kusilence dissent, kuparalyse press,kujaribu kuua vyama vya siasa, kuwaondolea wananchi power ya kuweka viongozi madarakani kwa ridhaa zao (rejea uchaguzi serikali za mitaa, zile za marudio na uchaguzi mkuu wa juzi)kwa kutumia nguvu kubwa mithili ya mapinduzi ya Kijeshi ni dhahiri kuwa hayafanyi haya huku akijua kuwa ana miaka mitano au kumi tu ya utawala, ni dhahiri anaweka ground kwa utawala wa muda mrefu na hivyo lazima ahakikishe ameparalyse any credible resistance ya kumuwekea kikwazo njiani!

Kama kweli alikuwa hataki kuongeza Mhula basi angetumia rungu lake la Uenyekiti wa CCM kumzuia Ndugai asiwe Spika tena mtu aliyeonekana waziwazi kusupport idea ya kuondoa term limits ya miaka 10. Kwa kuwa Spika anakuwa nominated na Chama, na kwa kuwa yeye ndiye mwenyekiti basi ni dhahiri angeweza kuzuia chama kisimpe mtu anayeonekana ana mawazo yasiyo best kwa interest ya nchi. Ila unakumbuka alifanya nini juu ya Spika, Naibu Spika na Waziri mkuu kabla ya uchaguzi?-Aliwatungia sheria ya kuwapa Kinga nao wasishtakiwe kwa makosa watakayotenda kazini, Sasa huyu anawaz nini?

If It looks like a duck, walks like a duck, quack like a duck then it is a duck
Based on his actions (not words) we can infer that the man initends to change terms limits of the current constitution
 
Kugombea ni kitu kingine. Kuchapisha mamilioni ya kura feki kwa kushirikiana na NECCM na kuyaingiza katika vituo kwa mtutu wa bunduki ili ushinde uwe Rais wa kazi ambayo unasem ani mzigo mkubwa... kumewafedhehesha sana CCM na Magufuli. Ndio maana hawana nguvu ya kusherehekea kabisa.
1. Kama Jiwe anaona uraisi ni Mzigo kwa nini amegombea the second term?

2. Kama unadhani hawezi kuturudisha tulipotoka kwa nini anaturudisha tulipotoka in so many ways, repressive laws, moves za kuua upinzani, kuminya uhuru wa habari etc
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani [emoji1787].

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye [emoji1536]
Madicteta usiamini kauli zao. Ref. Hotuba ya kwanza ya Museven baadaya kuapishwa kwa mara ya kwanza Uganda.
 
Hata akina Museveni na Kagame walikuwa wanasema hivyohivyo, lakini hatua walizokuwa wanachukua unaona kabisa wanajitengenezea grounds za kuongeza mihula. Nguvu kubwa anazotumia Jiwe kuonea. kuintimidate. kutoheshimu viapo ya kutawala kwa fairness na katiba, kuua civil socities, kusilence dissent, kujaribu kuua vyama vya siasa, kuwaondolea wananchi power ya kuweka viongozi madarakani kwa ridhaa zao (rejea uchaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu)kwa kutumia nguvu kubwa mithili ya mapinduzi ya Kijeshi ni dhahiri kuwa hayafanyi haya huku akijua kuwa ana miaka mitano au kumi tu ya utawala, ni dhahiri anaweka ground kwa utawala wa muda mrefu na hivyo lazima ahakikishe ameparalyse any credible resistance ya kumuwekea kikwazo njiani!

Kama kweli alikuwa hataki kuongeza Mhula basi angetumia rungu lake la Uenyekiti wa CCM kumzuia Ndugai asiwe Spika tena mtu aliyeonekana waziwazi kusupport idea ya kuondoa term limits ya miaka 10. Kwa kuwa Spika anakuwa nominated na Chama, na kwa kuwa yeye ndiye mwenyekiti basi ni dhahiri angeweza kuzuia chama kisimpe mtu anayeonekana ana mawazo yasiyo best kwa interest ya nchi. Ila unakumbuka alifanya nini juu ya Spika, Naibu Spika na Waziri mkuu kabla ya uchaguzi?-Aliwatungia sheria ya kuwapa Kinga nao wasishtakiwe kwa makosa watakayotenda kazini, Sasa huyu anawaz nini?

If It looks like a duck, walks like a duck, quack like a duck then it is a duck
Based on his actions (not words) we can infer that the man initends to change terms limits of the current constitution
Until it happens, my opinion will stay put.
 
Kuna vitu kuviona hadi uwe na third eye..
Uweze kuona future..

Binafsi naamini kama hataongeza mda atachagua mtu wake na kumlazimisha awe Rais..na inawezekana akawa worse than him
Au his puppet...

Sioni any bright future ambayo Magufuli atashiriki
 
Kuna vitu kuviona hadi uwe na third eye..
Uweze kuona future..

Binafsi naamini kama hataongeza mda atachagua mtu wake na kumlazimisha awe Rais..na inawezekana akawa worse than him
Au his puppet...

Sioni any bright future ambayo Magufuli atashiriki
Nakubaliana nawe.

Atajitahidi kuweka ‘puppet’ wake.

At least that’s what I think...
 
Alishasema akiondoka yy hakuna wa kumalizia hyo mirad nadhan itapendeza akiwa hata mfalme
Umenena vema mkuu. CCM kimekuwa ni chama chenye desturi nzuri ya kufuata Katiba, kanuni na miongozo yake.

Ifikapo 2025, CCM kupitia vikao vyake ya kamati kuu, halmashauri kuu na mkutano mkuu pasi na shaka atapatikana mrithi wa Magufuli.

Ifikapo 2025 Rais Magufuli atakua hana la ziada atakalokuwa kabakiza ikulu, miradi mingi mikubwa aliyoianza itakuwa imeisha au imetekelezeka kwa asilimia kubwa.

Atakuwa ameshasimama kwenye nafasi yake ya kuhakikisha Tanzania imejitambua kuwa inaweza kujisimamia kwa kila kiongozi kuwajibika.Ameshaonesha Mapinduzi ya kiutendaji kila mahali, atakachokibakiza ni kutuandalia mtu sahihi wa kuendeleza juhudi ambazo ataziacha.

Swali la kujiuliza ni nani atavaa viatu vya Magufuli. Lakini sina wasiwasi na yeye kuondoka kikatiba ifikapo 2025.
 
Uchaguzi umeisha tutegeme 2025 tanzania kuwa kama ulaya au SA ccm watakamilisha miradi yote
Lami mpk vichochororoni,afya tatizo watalimaliza
Maji hakutakuwa na shida
Uwanja umebaki na wao wenyewe sasa

Ova
Mmeanza kutafuta vijisabb vya kufufukia ile 2025???
 
Mkuu kwa hali ilivyo Sasa anauwezo wa kubadili katiba na kuongeza term za kuendelea kubaki madarakani.Nani ndani ya CCM atagoma akitaka kuendelea?katiba inabadilishwa na anaendelea kutawala
Mwinyi, Mkapa, Kikwete wote wana uwezo huo, hawakufanya hilo.

Tukisema wewe una uwezo wa kumtukana mtu, na tukuhukumu kwa sababu una uwezo huo, kabla hujamtukana mtu, hukumu hiyo itakuwa ya haki?
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye ✌🏿
Ni kweli huwa anasimmamia maneno yake..
 
Back
Top Bottom