Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Magufuli ni mtu wa misimamo hawezi kuongeza kipindi. Amini!
 
Of course.

Nyerere alilisema hili katika hotuba yake moja.

Alisema kila alipotaka kujiuzulu, wapambe wakawa wanamwambia "Mwalimu nchi inakuhitaji sana, nchi inakuhitaji sana".

Akawa anaaahirisha miaka mitano.

Baada ya miaka mitano, akisema tena anataka kung'atuka, akawa anapewa habari zile zile.

Baadaye akaja kustuka, hapa kuna nchi kunihitaji au hawa watu wanapata faida mimi nikiwa rais na hawajui rais ajaye atakuja na watu gani?

Akaamua kujiuzulu.

Alilisema wazi hili katika moja ya hotuba zake.

Na hii si Tanzania tu.

Kuna uchaguzi mmoja wa Zimbabwe Mugabe alishindwa na Morgan Tsvangirai.

Mugabe akasema yupo tayari kukubali kushindwa. Kukubali matokeo.

Vyombo vyake vya usalama vikamwambia tulia mzee, hakubali matokeo mtu hapa.

Ukikubali matokeo ikaja serikali ya wapinzani hapa, tutafungwa wote kwa ushenzi tuliowafanyia.

Hii habari inajirudia Tanzania.

Mimi sioni kama Magufuli atataka kuongeza muda. Ingawa naye hatabiriki.

Amesema mara kadhaa kwamba hana nia hiyo. Na hilo ni jambo zuri.

Lakini wapambe wake ni kama hawataki kukubali hilo.
Hata Shein alitaka kukubali matokeo 2015 na kumuachia Maalim weweee Vasco da Gama mkwere hadi akahairisha uzururaji mtoni nakugeuza faster hadi Zenji pamoja na Mkapa na maafisa wa TISS utadhani wanaenda kupinga hukumu ya kifo. Shein alikaripiwa utadhani mtoto mdogo
 
Anawageza Wakinga..mtu tajiri anavaa makobazi...Mayanga constructions?
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye ✌🏿

..inawezekana jamaa yako ni mtu anayependa POWER.

..yaani yeye kuwa ndiyo alfa na omega ndio his addiction.

..lingine ni PARANOIA, kwamba akiondoka atakuwa salama?

..la mwisho, ni kama atafikia malengo yake ndani ya miaka 10, na hatakuwa na temptation ya kuamini anatakiwa kurekebisha hili au lile.
 
Hata Shein alitaka kukubali matokeo 2015 na kumuachia Maalim weweee Vasco da Gama mkwere hadi akahairisha uzururaji mtoni nakugeuza faster hadi Zenji pamoja na Mkapa na maafisa wa TISS utadhani wanaenda kupinga hukumu ya kifo. Shein alikaripiwa utadhani mtoto mdogo
Mambo haya yanakuwa kimfumo zaidi.Ndiyo maana Mugabe na Shein walikatazwa kukubali matokeo.

Na moja ya sababu Magufuli hazidishi muda ni kwamba, mfumo wa Tanzania upo tayari kubadili matokeo ili kuifanya CCM ishinde uchaguzi, lakini mfumo hauko tayari kubadili katiba ili Magufuli aendelee kuwa rais.

Kumbuka kuna watu kibao hata kwenye CCM wanaumezea mate urais.

Hata Magufuli mwenyewe hana appetite hiyo.

Ni wapambe wachache tu.
 
Bwashee humu hatutambuani kwa makabila yetu bali kwa hoja, Bwashee hoja kubwa hapa ya Nyani ngabu ni Magufuli kutojiongezea muda wake,Abusive lunguage for Sukuma Community is unacceptable comment.
Ndivyo wasukuma mlivyo ushamba, Gwajima Mshamba, Pascall mshamba, jiwe mshamba. Sio maneno yangu ni maneno ya walio walea. Kinana, Makamba na Membe wakisaidiwa na vijana wao. Msidhani tumeshau
 
..inawezekana jamaa yako ni mtu anayependa POWER.

..yaani yeye kuwa ndiyo alfa na omega ndio his addiction.

..lingine ni PARANOIA, kwamba akiondoka atakuwa salama?

..la mwisho, ni kama atafikia malengo yake ndani ya miaka 10, na hatakuwa na temptation ya kuamini anatakiwa kurekebisha hili au lile.
So long as CCM itakuwa madarakani hiyo 2025 and beyond, he will be just fine.

Au unazungumzia usalama gani? Wa vile vitisho vya Bi. Sarungi?
 
So long as CCM itakuwa madarakani hiyo 2025 and beyond, he will be just fine.

Au unazungumzia usalama gani? Wa vile vitisho vya Bi. Sarungi?

..itategemea if he has "muddied" himself and his clique.

..aina ya ulinzi alionao unadhani ni mtu wa kuondoka 2025?
 
Ndivyo wasukuma mlivyo ushamba, Gwajima Mshamba, Pascall mshamba, jiwe mshamba. Sio maneno yangu ni maneno ya walio walea. Kinana, Makamba na Membe wakisaidiwa na vijana wao. Msidhani tumeshau
Mkuu usilete ukabila.

Kuna Wasukuma wengi tupo hapa si washamba, na tunaona ushamba wa Magufuli.

Kulundika watu ushamba kikabila nako ni ushamba.
 
Mkuu usilete ukabila.

Kuna Wasukuma wengi tupo hapa si washamba, na tunaona ushamba wa Magufuli.

Kulundika watu ushamba kikabila nako ni ushamba.
Hivi ushamba ni nini hasa?

Ni suala la ‘maoni’ tu ya mtu au?
 
Hivi ushamba ni nini hasa?

Ni suala la ‘maoni’ tu ya mtu au?
Mtu kutokuwa a sophisticate, urbanite.

Lack of savoir faire.

Kutojua lugha, kutokuwa na ustaarabu, kuwa valuvalu.

Lack of decorum.

Kama rais anayechanganya l na r katika matamshi.

Au anayesema atawapiga mpaka shangazi za watu.

Au anayejichanganya changanya kijinga mara maendeleo hayajali chama, mqra msiponipatia fulani siwaletei maendeleo.

Kwa vigezo hivyo Magufuli ni bonge la mshamba.
 
Mtu kutokuwa a sophisticate, urbanite.

Lack of savoir faire.

Kutojua lugha, kutokuwa na ustaarabu, kuwa valuvalu.

Lack of decorum.

Kama rais anayechanganya l na r katika matamshi.

Au anayesema atawapiga mpaka shangazi za watu.

Au anayejichanganya changanya kijinga mara maendeleo hayajali chama, mqra msiponipqtiq fulani siwaletei maendeleo.

Kwa vigezo hivyo Magufuli ni bonge la mshamba.
Aisee!

Kama ndo hivyo [kwa kutumia hivyo vigezo] basi washamba ni wengi sana.

Hata humu JF ni wengi mno.
 
Aisee!

Kama ndo hivyo [kwa kutumia hivyo vigezo] basi washamba ni wengi sana.

Hata humu JF ni wengi mno.
Ndiyo maana hata washabiki wa Magufuli ni wengi pia.

Hawauoni ushamba wake.

Kwa sababu na wenyewe ni washamba kama yeye.
 
Mambo haya yanakuwa kimfumo zaidi.Ndiyo maana Mugabe na Shein walikatazwa kukubali matokeo.

Na moja ya sababu Magufuli hazidishi muda ni kwamba, mfumo wa Tanzania upo tayari kubadili matokeo ili kuifanya CCM ishinde uchaguzi, lakini mfumo hauko tayari kubadili katiba ili Magufuli aendelee kuwa rais.

Kumbuka kuna watu kibao hata kwenye CCM wanaumezea mate urais.

Hata Magufuli mwenyewe hana appetite hiyo.

Ni wapambe wachache tu.
Author wa huu ujinga wa Zanzibar ni Mchonga.

That old man kwake legacy ya kuasisi muungano na kutaka uendelee kuwepo aliinfluence rigging ya matokeo ya urais Zanzibar mwaka 1995 akihofia kuwa Maalim angekuwa rais angeuvunja .

Waliofuta baada ya 1995 wakakuta na precedence ya kufanya dhulma na wao wakaendelea kuifanya hiyo dhulma tena na tena!.

Kinachoendelea sasa Zanzibar hakina ridhaa ya Wazanzibari ni kama military occupation tu.
 
Ndiyo maana hata washabiki wa Magufuli ni wengi pia.

Hawauoni ushamba wake.

Kwa sababu na wenyewe ni washamba kama yeye.
Magufuli ana washabiki wengi?

Ila hivyo vigezo vyako hata haters wa Magufuli wanavyo!
 
Author wa huu ujibga wa Zsnzubar ni Nyerere
That old man kwake legacy ya kuasisi muungano na kutaka uendelee kuwepo aliinfluence rigging ya matokeo ya urais Zanzibar mwaka 1995.
Waliofuta baada ya 1995 wakawa na prevedent ya kufanya dhulma hiyo tena na tena!
Wewe unasema 1995?

Zanzibar mgombea wa urais mwaka 1985, Idris Abdul Wakil, alishindwa kupata 50% ya kura.

Yani, katika kura zile za mtu mmoja anapigiwa "Ndiyo/Hapana", Idris Aabdul Wakil hakupata 50% kura za Ndiyo.

Waliomkataa walikuwa ni wengi zaidi ya waliomkubali.

Watu wa Daily News waliona matokeo halisi, wakaambiwa msiyachapishe, serikali inarekebisha mambo kwanza.

Baadaye, matokeo yakarekebishwa, Idris Abdul Wakil akatangazwa mshindi.

Enzi hizo hakuna vyama vya upinzani wala Internet.

CCM huko Zanzibar walianza kuiba kura tangu enzi za chama kimoja.

Kwa aibu, Mzee Wakil alikataa kugombea urais mara ya pili, akawa rais wa muhula mmoja Zanzibar 1985 mpaka 1990.
 
Kosa kubwa unalolifanya ni kuanza kuwaza kuwa Rais Maguli atajiongezea Muda! Waza nini atakifanyia nchi na aliahidi nini kipindi hiki!
Alishasema kuwa hataongeza muda na hapendi harakati za akina Juma nkamia! Acheni ramli chonganishi.
 
Back
Top Bottom