Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Nyani Ngabu na Paschal Mayalla wote ni wasukuma, na msukuma hata aishi New York hawezi acha ushamba na ujinga flani hivi wa kumsifia msukuma mwenzake hata akila kinyesi
Watu mbona mnapenda sana mambo ya ubaguzi wa kikabila? Kwani wakiwa wasukuma hawana uhuru wa kutoa mawazo yao? Kwani wakiwa wasukuma hawana uhuru wa kukubaliana au kupingana na magufuli kwa kuwa ni msukuma? Kwani magufuli amepata 100% ya kura za huko usukumani? Watu wengine mna mawazo finyu sana!
 
Watu mbona mnapenda sana mambo ya ubaguzi wa kikabila? Kwani wakiwa wasukuma hawana uhuru wa kutoa mawazo yao? Kwani wakiwa wasukuma hawana uhuru wa kukubaliana au kupingana na magufuli kwa kuwa ni msukuma? Kwani magufuli amepata 100% ya kura za huko usukumani? Watu wengine mna mawazo finyu sana!
Wapumbavu tu hao.

Wao ndiyo wakabila.

Ila wanau-project ukabila wao kwa wengine.
 
Miradi yake haiwezi kamilika.... Laxima ajiongezee muda aikamilishe. Hakuna rais mwingine anaweza kubali endelea na miradi yake inayoua wananchi.

Hofu hiyo tu..yatosha kung'ang'ania madarakani.
 
Magufuli ni public figure.

Ni ngumu kwa yeye kwenda sehemu yoyote ile bila ku attract attention.

Unless huwa ana sneak out of Ikulu kimya kimya bila security entourage, anapanda KLM anaenda zake Amsterdam. Anapiga shopping la nguvu De Bijenkorf, anarudi tena kimya kimya.

Ni lini huyu Rais katoka hata nje ya Tanzania?

Akitoka nje ya Tanzania anaendaga Burundi na Uganda.

Ni lini kaenda Atlanta, Miami, New York na kufikia Waldorf Astoria na kukaa wiki nzima kwenye presidential suite?

Lini kaenda Davos na entourage ya watu 200 na kufikia Hotel Seehof?

Siyo lazima kuishi na mtu, tena ambaye ni public figure, ambaye ndo raia namba moja wa nchi, kujua kama he lives a lavish lifestyle.

Watu walijuaje Mobutu ni mla bata?

Teodoro Nguema Obiang mbona anajulikana ni mla bata.

Babake naye hivyo hivyo.

Hizi siyo zama za ujima.

Huwezi kuwa public figure halafu unaishi a lavish lifestyle na watu wasijue.

The way I picture him.

Magufuli hali bata, anakula vile viazi na karanga wanavyokula wazee wa Kisukuma.

Vinaitwaje vile?

Manumbu. Hamo mandege.

Akiongezea labda mahindi ya kuchemsha.

Something starchy. Lots of carbs. Diet ya balimi.

Akizidisha sana anasukumia na mtindi.

Nimekumbuka vyakula vya wazee wa Kisukuma.
 
Magufuli hali bata, anakula vile viazi na karanga wanavyokula wazee wa Kisukuma.

Vinaitwaje vile?

Manumbu.

Akizidisha sana anasukumia na mtindi.

Nimekumbuka vyakula vya wazee wa Kisukuma.
Unazungumzia matobolwa/ michembe? 🤣🤣

But seriously, Magu analia wapi bata?

Dizaini jamaa hanywi hata champagne. Akinywa pombe labda ni Balimi au Wanzuki.

Ukiniambia Kikwete [na labda marehemu Mkapa] ni mla bata kiaina, I can see that.

Lakini Magu? Does he even know what caviar is?

Jamaa hata suti zake dizaini anashonewa na fundi Juma. They’re oversized 🤣🤣.
 
Unazungumzia matobolwa/ michembe? [emoji1787][emoji1787]

But seriously, Magu analia wapi bata?

Dizaini jamaa hanywi hata champagne. Akinywa pombe labda ni Balimi au Wanzuki.

Ukiniambia Kikwete [na labda marehemu Mkapa] ni mla bata kiaina, I can see that.

Lakini Magu? Does he even know what caviar is?

Jamaa hata suti zake dizaini anashonewa na fundi Juma. They’re oversized [emoji1787][emoji1787].
Anakula bata na yule demu wake (Kabula?) aliyempa nyumba ya serikali pale Kinondoni by Leaders Club.

Siju hizo ukikaa na watoto wa kitaa kile upande wa pili wa Kaunda Road mpaka Tunisia nyuma ya Leaders Club huku wanajua nyumba zote za washua.

Wanakwambia kabisa hapo huyo mama usiguse, kwa JK hapo, hapo nyuma kwa Braza Dito etc. Naona Magu naye alitaka kujiunga kitaa asiwe mbali na wenzake.

That was back in the days. I don't know about now.
 
Hivi ni nini kimesababisha kuwe na tetesi hizi za kuongeza urefu wa mihula(from 5 to 7) au/na/kisha kuondoa ukomo wa mihula miwili?

Kwa kumbukumbu zangu tetesi kama hizi ziliwahi kuvuma kumuhusu Salmin Amour kuelekea uchaguzi wa Rais wa Zanzibar mwaka 2000. Wapambe walikariri wimbo wa kumuongeza muda na yeye hakutaka kukanusha wala kuthibitisha. Alikaa kimya(labda kusikilizia upepo)

Bahati nzuri kulikua na watu ambao akili zao ziko barabara kabisa na waliamini katika supremacy ya Katiba na pia miiko ya Chama, tamaduni, kanuni na taratibu zake. Komandoo akakemewa, likaachwa, japo katika utetezi wake alipobanwa kwenye Halmashauri Kuu ya CCM alisema yeye hajawahi kutamka kutaka aongezewe muhula

Rais Magufuli amekua akikariri mara kadhaa kwamba muda wake utakapofika hataongeza hata siku moja zaidi. Ataondoka. Ni kauli thabiti kabisa ya mtu muungwana na mstaarabu.

Hata hivyo wanaoendeleza speculations hizi wanasema eti huu mpango wa "kumlazimisha" aendelee kutawala kwa kuondoa ukomo kwenye katiba unaandaliwa/umesha andaliwa na "wapambe" na fununu zipo kwenye corridors za Nyumba ya Tai, vibaraza vya Kuu Street pale Dodoma na hata kwenye vimbweta vya Bunge

Mimi na mamilioni wengine tunaamini kauli ya Rais wetu kwamba hana nia wala mpango wa kuendelea kutawala baada ya muda wake kwisha na kwakweli maneno ya Mkuu wa nchi ni dhamana ya kuweza kukupa mkopo Bank.

Lakini speculators wa haya maneno wanasema mbona hata Marais wa Rwanda, Uganda Burundi na hata kule Gambia waliwahi kukataa hadharani kuongeza muda lakini wakati ulipofika hawakusimamia maneno yao?

Hoja yangu mimi ni moja tu. Huu wasiwasi mbona hatukuwahi kuusikia kwa Marais wa JMT waliotangulia tangia uwekwe mfumo wa vyama vingi? Hayakuwepo maneno wala wasiwasi wakati wa Mwinyi, Mkapa wala Kikwete. Sasa hivi kumezidi nini hadi ikawa hivi wakati Mkuu mwenyewe kila kukicha anakataa na anapinga kua hana mpango huo? Sio kwamba Wabongo tumekuwa watu wa mafununu na kutunga maneno? Naomba kueleweshwa wakuu
 
Uchaguzi umeisha tutegeme 2025 tanzania kuwa kama ulaya au SA ccm watakamilisha miradi yote
Lami mpk vichochororoni,afya tatizo watalimaliza
Maji hakutakuwa na shida
Uwanja umebaki na wao wenyewe sasa

Ova
Mkuu ulivyo nena utafikili ccm ndio wameingia mwaka huu madarakani

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ujui chochote ni mwendo wa msoto na mateso kwa miaka 20,Hadi 2040 ndo ufikirie vingine,
 
Umenena vema mkuu. CCM kimekuwa ni chama chenye desturi nzuri ya kufuata Katiba, kanuni na miongozo yake.

Ifikapo 2025, CCM kupitia vikao vyake ya kamati kuu, halmashauri kuu na mkutano mkuu pasi na shaka atapatikana mrithi wa Magufuli.

Ifikapo 2025 Rais Magufuli atakua hana la ziada atakalokuwa kabakiza ikulu, miradi mingi mikubwa aliyoianza itakuwa imeisha au imetekelezeka kwa asilimia kubwa.

Atakuwa ameshasimama kwenye nafasi yake ya kuhakikisha Tanzania imejitambua kuwa inaweza kujisimamia kwa kila kiongozi kuwajibika.Ameshaonesha Mapinduzi ya kiutendaji kila mahali, atakachokibakiza ni kutuandalia mtu sahihi wa kuendeleza juhudi ambazo ataziacha.

Swali la kujiuliza ni nani atavaa viatu vya Magufuli. Lakini sina wasiwasi na yeye kuondoka kikatiba ifikapo 2025.

Vipi ikifika 2014 akaanzisha miradi mingine mikubwa mfano kupeleka bahari ya hindi Chato si ataongeza mda Hadi ikamilike.
 
Waarabu wa Pemba mmekutana.

Why so MIA good sir?
LOL, jamaa anajifanya ana ratiba nzima ya mshikaji ya saa 24 na kujiona anajua nyendo zote za jamaa kuliko washikaji zake wa UD na UWT.
 
That was back in the days. I don't know about now.
Akikujibu kuhusu hilo la K nitagi, jamaa anaongea kana kwamba kula bata lazima ule Kempinski tu, ukilia pale K.. si bata?

Halafu hivi kwani kula bata 'kishamba' nako siyo kula bata - lazima mtu ale bata kinyani-ngabu ndo ahesabike kala bata?
 
LOL, jamaa anajifanya ana ratiba nzima ya mshikaji ya saa 24 na kujiona anajua nyendo zote za jamaa kuliko washikaji zake wa UD na UWT.
Kama archaeologists wanaweza kufukua site na kupata kijino kimoja na kukuambia hiki ni cha mtu aliyekula swala miaka 10,000 iliyopita, Ngabu anaweza kuwa anajua kama Mzee Baba anakula viazi au bata.

On a serious note, let's link up.

You posted some hill links I was interested in a few months ago, now I can't remember where I bookmarked.
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani [emoji1787].

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye [emoji1536]
Wapambe wanaonufaika ndio tatizo. Ni chama chake. Walishaanza, Rejea mstaafu Mwinyi, Ndungai... Urais ni mzigo humlemea mbebaji lakini wanaofaidi wengine.
Ukimwangalia Magu vizuri utaona kachoka, kikombe angeweza kukikwepa lakini anaowabebea hawakubali. Inahitaji ujasiri!
 
Umejitahidi kubalansi...hata ikitokea amejiongezea atakuwa amefanya hivyo ili kukuprove wrong wewe ila hakuwa amepanga kabisa kufanya hivyo
 
Akikujibu kuhusu hilo la K nitagi, jamaa anaongea kana kwamba kula bata lazima ule Kempinski tu, ukilia pale K.. si bata?

Halafu hivi kwani kula bata 'kishamba' nako siyo kula bata - lazima mtu ale bata kinyani-ngabu ndo ahesabike kala bata?
Inategemea na mazingira.

Unaweza kunywa Dom Perignon ukishushia caviar Uwanja wa Fisi watu wakawa hawaeleiwi wanaona unawacheleweshea Boha yao tu.

Kuna aunt alipelekewa an expensive Hermes pouch akaikataa, kisa ndogo yeye alitaka zile cheap handbags kubwa kubwa za Hilfiger!

Hakujua value ya brand, kwake size was everything.
 
Back
Top Bottom