Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Mazingira ndiyo yataamua aongeze ama asiongeze. Katiba si msahafu wa Mungu. Kama tulibadilisha kutoka chama kimoja mpaka vyama vingi kwa nini tusibadilishe kwa kutoa kipindi cha bonus? Hamna jipya kama rais ataongezewa muda. Na katika kumuongezea muda atusaidie kupata katiba mwafaka zaidi.

Ile katiba ya Warioba ambayo ilikuwa ni moja ya ghost mradi wa kula fedha za wajinga wa Tanzania makabrasha yake yatafutwe na kukungutwa vumbi. Tutafutemo vipengele venye manufaa viunganishwe na vingine tupate katiba mpya itakayo kubalika na wengi 85% au zaidi.

JPM ndiye mtu pekee kwa sasa atakaye tusaidia kuguguna huu mfupa wa katiba uliowashinda wengine. Kaonesha hivyo kwa kumalizia viporo vingi vya tangu awamu ya kwanza ya Nyerere. Kiporo cha katiba tutamuomba akimalizie kwa kumpa bonus ya miaka5 zaidi baada ya 2025 panapo majaaaliwa ya Mungu Mwenyezi.
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye ✌🏿
kiti cha uraisi ni kitamu sana kwa dalili zinavyoonekana ataongeza muda tu maana wale anaokulanao mema
ya nchi watamushauri sana aendelee
 
Mambo ya chaguzi mara nyingi huwa yana utata.

Hata Marekani utata huwa upo.

Mshindwa wa uchaguzi wa mwaka 2000 Marekani alidai kuna figisu alifanyiwa.

Mwaka 2016 Hilary Clinton naye alidai kaibiwa kura na Trump kwa msaada wa Putin.

2020 naye Trump anadai kaibiwa kura.

Naamini hao wote ukiwauliza, watakwambia kuwa katika chaguzi walizoshindwa, hazikuwa za huru na haki, ilhali washindi watakwambia zilikuwa za huru na haki.

Ni mambo ya kawaida kwenye siasa hayo.
Utata wa kucheza rafu za makusudi? (Eti Hussein Mwinyi apate 76% na Maalim apate below 20%, Wizi mtupu)

Hii statement yako kuwa mambo ya uchaguzi mara nyingi yana utata ni haste generalization, SI LAZIMA YAWE NA UTATA
 
Hawa vihwrehere ni kqma madikteta.

Akiondolewa mmoja, mwingine anachipukia.

Kama mlivyohangaika wakati wa kampeni kumpa kiki Lissu na mkashindwa big time ndivyo ambavyo suala la kuongeza muda mtakavyo shindwa kulizima na kulizuia.

Asilimia kubwa ya Watanania wanataka na wanatarajia iwe hivyo. Hapa labda pasiwepo kibali cha Mungu. Kumbuka sauti ya wengi katika jambo lolote jema ni sauti ya Mungu.

Hili la kuongeza muda si jambo jema masikioni kwa mafisadi na wale watu wao wanaotaka wawaingize kwenye uongozi wa nchi waendeleze ile miradi yao iliyozimwa na JPM ya kulitafuna taifa.

Mafisadi watajaribu kuzuia na watawalipa vikaragosi wao kujaribu kuzuia hili lisiwezekane na ndio wamesha anza hapa jF. Rekodi ya utendaji wa JPM inawapa taabu sana na swali lisilo watoka kichwani ni itakuwaje huyu Bwana Mkubwa akikubali ombi kutoka kwa wananchi walio wengi la kumtaka aongezewe muda.
 
Kama mlivyohangaika wakati wa kampeni kumpa kiki Lissu na mkashindwa big time ndivyo ambavyo suala la kuongeza muda mtakavyo shindwa kulizima na kulizuia.

Asilimia kubwa ya Watanania wanataka na wanatarajia iwe hivyo. Hapa labda pasiwepo kibali cha Mungu. Kumbuka sauti ya wengi katika jambo lolote jema ni sauti ya Mungu.

Hili la kuongeza muda si jambo jema masikioni kwa mafisadi na wale watu wao wanaotaka wawaingize kwenye uongozi wa nchi waendeleze ile miradi yao iliyozimwa na JPM ya kulitafuna taifa.
Lissu hajashindwa, Uchaguzi ulibakwa!
 
Lissu hajashindwa, Uchaguzi ulibakwa!

Endelea kuota. Yuko Ubeligiji kaenda kuficha uso wake kwa aibu. Kawaacha solemba maadui wa ndani wa Taifa la Tanzania wakikokotoa hesabu za kutoa na kujumlisha hasara za fedha walizompa kukodishia chopa na kugharamikia kampeni.
 
Kama mlivyohangaika wakati wa kampeni kumpa kiki Lissu na mkashindwa big time ndivyo ambavyo suala la kuongeza muda mtakavyo shindwa kulizima na kulizuia.

Asilimia kubwa ya Watanania wanataka na wanatarajia iwe hivyo. Hapa labda pasiwepo kibali cha Mungu. Kumbuka sauti ya wengi katika jambo lolote jema ni sauti ya Mungu.

Hili la kuongeza muda si jambo jema masikioni kwa mafisadi na wale watu wao wanaotaka wawaingize kwenye uongozi wa nchi waendeleze ile miradi yao iliyozimwa na JPM ya kulitafuna taifa.

Mafisadi watajaribu kuzuia na watawalipa vikaragosi wao kujaribu kuzuia hili lisiwezekane na ndio wamesha anza hapa jF. Rekodi ya utendaji wa JPM inawapa taabu sana na swali lisilo watoka kichwani ni itakuwaje huyu Bwana Mkubwa akikubali ombi kutoka kwa wananchi walio wengi la kumtaka aongezewe muda.
Mimi nakula bata leafy suburbs sehemu zilizopangiliwa zenye weekly garbage collection, fire engines, good schools na ZIP Code nzito siwezi kuhangaika kampeni za Tanzania.

Natoa maoni tu kama mzawa.

Unaelewa leafy suburbs ni nini?

Usione tunagongana JF ukanichukulia poa tu.
 
Kiranga yaani Karne ya 23 wewe bado unamawazo ya karne ya 18 ya kuzamia meli na ubaharia, maisha haya ya kupita naya utumwa wa duniani na washetani wa jehanamu.
 
Wananchi wengi ndio wanatamani JPM aongeze muda. Kama China na Urusi, kwa ajili ya uchumi wa taifa kukua kwa kasi.
 
Nadhani Ngabu umeona ujumbe wa Ndugai kuwa Magufuli atake asitake lazima aongezewe muda bunge hili.
 
Urais si mchezo ndugu hasa kwa nchi za kiafrika kuachia unataka moyo
 
Kiranga yaani Karne ya 23 wewe bado unamawazo ya karne ya 18 ya kuzamia meli na ubaharia, maisha haya ya kupita naya utumwa wa duniani na washetani wa jehanamu.
Logical non sequitur.

What has that got to do with the price of pork in China?

Mimi sizamii meli, nishamiliki bandari.
 
Ok, so, me being me. The independent minded guy that I am. Native citizen of Realville. That straight shooter that I am. I am no shrinking violet when it comes to expressing my views.

So I’m going to go out on a limb today and say it. If this means I’ll have to eat crow a couple years from now for being dead wrong, then so be it.

Ni hivi: Rais Magufuli [sidhani] kama atajiongezea muda ili atawale kwa zaidi ya miaka 10.

Minong’ono na hofu iliyopo hivi sasa kwamba atajiongezea muda, ni maneno tu. Ni hewa.

Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu zifuatazo:

1. Urais ni mzigo. Ni mzigo mzito wenye kuleta msongo wa mawazo. Ni aina ya mateso flani hivi.

Kwa mtu anayejali kufanya kazi na siyo kula bata, basi mtu wa aina hiyo hawezi kutamani kuwepo madarakani kwa kipindi kirefu kuzidi miaka 10.

Ila kwa mtu mla bata asiyejali kazi, kama alivyokuwa Mobutu wa Zaire au Bokassa wa Afrika ya Kati, atataka aendelee kutawala milele.

Rais Magufuli si mla bata. Jamaa dizaini hata pombe [no pun intended] hanywi. Sidhani kama anavaaga masuti ya bei mbaya.
Jamaa hata mamtoni huwa haendi.

Hata mkewe ukimwangalia unaona kabisa naye si mtu wa bata. Sijawahi kumwona kabeba sijui Birkin bags wala kuvaa red bottoms [Christian Louboutins]. Yeye ni mtu wa magauni ya vitenge tu na tu viatu twa kawaida.

Hata weave [wabongo mnaita weaving] yule mama sijawahi kumwona kashonea.

Hao si aina ya watu wapendao kukaa madarakani kwa muda mrefu.

2. Sidhani kabisa kama atataka kwenda down that rabbit hole.

Yaani yeye ndo aturudishe kule kwa zamani tulikotoka? Sioni kabisa hilo likitokea.

Jamaa atarudi zake Chato kwenda kuchunga ng’ombe.

Kwa hiyo, kwangu mimi hofu iliyopo ya kwamba atajiongezea muda, ni hofu isiyo na msingi wowote ule katika ukweli.

Najua kuwa huwa anapita humu maana kuna wakati aliwahi kunijibu kwenye moja ya hotuba zake baada ya mimi kuuliza humu kama alishawahi kufika Marekani 🤣.

Sasa, kwa jinsi alivyo, anaweza akapita humu na kuona nimesema kuwa hatojiongezea muda wa kubaki madarakani, na yeye akaamua kujiongezea ili tu afanye kinyume na nilivyodai mimi, ili nionekane nimekosea.

Don’t get it twisted, he can be petty like that.

Still, sidhani kabisa kuwa atajiongezea muda wa kubaki madarakani.

Na hii mada/ huu uzi, uwe ni kumbukumbu kuwa ‘NN alisemaga’.

Baadaye ✌🏿
Anastahili kunyongwa baadaye.
 
Huo mzigo Museveni na Mugabe haukuwashinda au? Kwanini alitaka bunge la Chama kimoja?
 
Back
Top Bottom