Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
 
Mwendazake tumesha mjengea kaburi lake .

Katutia hasara sana kama nchi ndani ya muda mfupi aliohudumu kama Kiranja Mkuu.

Ameua BIASHARA, sekta BINAFSI iliathirika sana, shughuli zote za kufanya WATU BINAFSI aliwapa SUMA JKT, Hadi tenda za kusafisha barabara.

SUMA JKT wana hadi boti za uvuvi ili tu kuua nguvu wafanyabiashara.

Alinunua mindege mingi isiyo na faida.

Alijenga ukuta kwa gharama kubwa na hauna faida yoyote, WATU wanabeba mawe vilevile.

Kila kitu alitaka kipelekwe kwao kwa gharama za serikali.

Tenda zote za kujenga vivuko aliipa kampuni yake.

Hee! Yako mengi Sana aiseee
 
Mwendazake tumesha mjengea kaburi lake.
Katutia hasara sana kama nchi ndani ya muda mfupi aliohudumu kama Kiranja Mkuu.
Ameua BIASHARA, sekta BINAFSI iliathirika sana, shughuli zote za kufanya WATU BINAFSI aliwapa SUMA JKT, Hadi tenda za kusafisha barabara.
SUMA JKT wana hadi boti za uvuvi ili tu kuua nguvu wafanyabiashara.
Alinunua mindege mingi isiyo na faida.
Alijenga ukuta kwa gharama kubwa na hauna faida yoyote, WATU wanabeba mawe vilevile.
Kila kitu alitaka kipelekwe kwao kwa gharama za serikali.
Tenda zote za kujenga vivuko aliipa kampuni yake.
Hee........ Yako mengi Sana aiseee
Mkuu huogopi kujumuishwa katika 'Team Chokochoko' yetu na Mama kama 'alivyotunanga' jana kule kwa Waluguru na Wapogoro Mkoani Morogoro?
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Hakika Mara bado ina vichwa vinavyotoa madini. Yaani mtu unatoa wazo la kutumia milioni 420 kutengeneza DUBWASHA lenye sura ya mtu badala ya kutengeeza kitu kitakachoacha kumbukumbu na manufaa kwa jamii?
 
Mwendazake tumesha mjengea kaburi lake.
Katutia hasara sana kama nchi ndani ya muda mfupi aliohudumu kama Kiranja Mkuu.
Ameua BIASHARA, sekta BINAFSI iliathirika sana, shughuli zote za kufanya WATU BINAFSI aliwapa SUMA JKT, Hadi tenda za kusafisha barabara.
SUMA JKT wana hadi boti za uvuvi ili tu kuua nguvu wafanyabiashara.
Alinunua mindege mingi isiyo na faida.
Alijenga ukuta kwa gharama kubwa na hauna faida yoyote, WATU wanabeba mawe vilevile.
Kila kitu alitaka kipelekwe kwao kwa gharama za serikali.
Tenda zote za kujenga vivuko aliipa kampuni yake.
Hee........ Yako mengi Sana aiseee
Mkuu in short mwendazake hastaili legacy yoyote, kwenye nchi hii
Zaidi kuandikwa kama Dictator mwendazake.
 
Huwaga sikubaliani ni Muhongo kwa vitu vingi ila kwa hili kasema kweli tupu! Utafikiri watu wamejaza ujinga kichwani?

Hv watu shuleni wanasomeaga ujinga? Unaenda kujenga sanamu la mamilioni ili limsaidie nn mtanzania!!

Hiyo hela isingetosha kujenga zahanati kijijini huko ikamuokoa mama mmoja mjamzito? Isingetosha kununua madawati kadhaa yakapunguza adha watoto kusomea chini?

Mama Samia tunakuomba kwenye hili usipitishe budget za namna hii!! Usituangushe namna hii kwa kweli!

Imenisikitisha sana!!
 
Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe

Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga

Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
 
Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe

Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga

Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
Aliiba wapi na aliiba nini?.Na kama aliiba kesi yake iko mahakama gani?
 
Profesa atulize akili asipaniki, JPM atafanyiwa mengi ya kumkumbuka kama yeye mwenyewe alivyofanya mengi makubwa ya kukumbukwa

Sanamu itajengwa na Taasisi zinakuja na mengine mengi yatafanyika. Tukae kwa utulivu
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Tatizo liko wapi?

Huu ni ushauri murua kabisa na wenye manufaa...

Yaani utumie TZS 420,000,000 kujenga sanamu ya mtu ambaye hata hahitajiki kukumbukwa kwa lolote uache kutumia fedha hiyo kwa wakazi (wananchi) 100,000 walio hai ili wapate huduma ya maji...?

Honestly, ni wazi kuwa hizi ni fikra mbaya na ni maamuzi mabaya kabisa kuchukuliwa...!!

Kama kule Uganda kuna sanamu ya Waganda kumkumbuka Iddi Amin Dada (mtesi wao), basi Mimi naunga mkono kuwa Mwendazake naye ajengewe sanamu yake kwa fedha hiyo....!!!
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Alisomea wapi udalali wa resources za Tanzania? Yes ana IQ kubwa baada ya kurudia shule mara kadhaa. Ila anadharau sana watanzania. Yeye anataka kila kitu wapewe watu wa nje.
Atajengewa mnara kwao labda
 
Back
Top Bottom