Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

Hakika Mara bado ina vichwa vinavyotoa madini. Yaani mtu unatoa wazo la kutumia milioni 420 kutengeneza DUBWASHA lenye sura ya mtu badala ya kutengeeza kitu kitakachoacha kumbukumbu na manufaa kwa jamii?
Mara ndiyo Mkoa wenye 'Geniuses' TZA.
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Na unga hoja ya Prof.
 
Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe

Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga

Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
Ukimtukana mwana Mkoa wa Mara ( Musoma ) Mwenzangu jua umetutukana wana Mara ( Musoma ) kwani huo 'Ujiniasi' wake Profesa Muhongo ndiyo upo Kwetu wana Mara ( Musoma ) wote. Kuwa makini sana na hujachelewa kutuomba Radhi Mimi GENTAMYCINE nikiwa Mwakilishi wao wa Kutukuka hapa JamiiForums sawa?
 
Profesa atulize akili asipaniki, JPM atafanyiwa mengi ya kumkumbuka kama yeye mwenyewe alivyofanya mengi makubwa ya kukumbukwa

Sanamu itajengwa na Taasisi zinakuja na mengine mengi yatafanyika. Tukae kwa utulivu
Rais Samia akilikubali hili nitaanza Kumpunguzia 'Maksi' zangu juu yake.
 
Tatizo liko wapi?

Huu ni ushauri murua kabisa na wenye manufaa...

Yaani utumie TZS 420,000,000 kujenga sanamu ya mtu ambaye hata hahitajiki kukumbukwa kwa lolote uache kutumia fedha hiyo kwa wakazi (wananchi) 100,000 walio hai ili wapate huduma ya maji...?

Honestly, ni wazi kuwa hizi ni fikra mbaya na ni maamuzi mabaya kabisa kuchukuliwa...!!

Kama kule Uganda kuna sanamu ya Waganda kumkumbuka Iddi Amin Dada (mtesi wao), basi Mimi naunga mkono kuwa Mwendazake naye ajengewe sanamu yake kwa fedha hiyo....!!!
Tafadhali wahi Mirembe ukapimwe Akili Mkuu.
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Tena tumjengee sanamu kubwa , prof.muhongo kila mkoa.
 
Alisomea wapi udalali wa resources za Tanzania? Yes ana IQ kubwa baada ya kurudia shule mara kadhaa. Ila anadharau sana watanzania. Yeye anataka kila kitu wapewe watu wa nje.
Atajengewa mnara kwao labda
Aliyekuambia kurudia Shule ndiyo kutokuwa na Akili nani? Rais Mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki ( RIP ) alifeli vibaya sana Kidato cha Nne huko Kenya ila baadae alivyoenda Kusoma Makerere Uganda aliweka Rekodi ya kupata 'Triple A' katika Somo la Hisabati ( Hesabu ) ambayo hadi hivi leo haijavunjwa je, nae tuseme hakuwa na Akili?

You have a very poor thinking capacity.
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
I fully concur with the Professor view.
 
Mwendazake tumesha mjengea kaburi lake .

Katutia hasara sana kama nchi ndani ya muda mfupi aliohudumu kama Kiranja Mkuu.

Ameua BIASHARA, sekta BINAFSI iliathirika sana, shughuli zote za kufanya WATU BINAFSI aliwapa SUMA JKT, Hadi tenda za kusafisha barabara.

SUMA JKT wana hadi boti za uvuvi ili tu kuua nguvu wafanyabiashara.

Alinunua mindege mingi isiyo na faida.

Alijenga ukuta kwa gharama kubwa na hauna faida yoyote, WATU wanabeba mawe vilevile.

Kila kitu alitaka kipelekwe kwao kwa gharama za serikali.

Tenda zote za kujenga vivuko aliipa kampuni yake.

Hee! Yako mengi Sana aiseee

Unawaongelea wakina Nani. JPM ndo mwamba. Ajengewe asijengewe haipunguzi umwamba Wake. Yeye angekuwepo asingekubali na hiyo hela ingeenda either kwenye hospital au shule au barabara. That’s my JPM. Mtaandika sana kujifariji Lakini JPM alituonyesha maisha halisi ya Mtanzania anayeishi kwa kulipa Kodi.

Sasa tuna Mama. Mwendo Ni mbele kwa mbele kwa style yake. Adumu mama yetu SSH. It’s her time to lead us, to show us the way to.. and bring us the promise Land. It is always a process within a process. One day yes.

Wewe fanya Kazi yako halali, mwisho wa siku Hakuna Rais atakayekuwekea hela mfukoni. Yeye sio katibu tawi wala Balozi wa nyumba kumi ambaye unaweza kumjudge kirahisi rahisi namna hiyo. Kila Mtanzania kwa nafasi yake anajenga nchi. Na kwa mantiki hiyo hiyo, kila Mtanzania atawajibika kwa eneo lake, Lakini mwisho wa siku wote tunawajibika kwa pamoja katika process yote. Tusaidiane.

Mwisho yangu msema chochote, wewe umejifanyia Nini na umefanya nini kwa familia yako. And then umefanya Nini kwa Taifa lako la Somalia. Mana hatunaga watu wenye lugha za Hivi kwa marehemu asiyeweza hata kujibu. Toa ….. jichoni mwako kabla ya …. Jichoni kwa mwenzako. Are you that clean?
 
Unawaongelea wakina Nani. JPM ndo mwamba. Ajengewe asijengewe haipunguzi umwamba Wake. Yeye angekuwepo asingekubali na hiyo hela ingeenda either kwenye hospital au shule au barabara. That’s my JPM. Mtaandika sana kujifariji Lakini JPM alituonyesha maisha halisi ya Mtanzania anayeishi kwa kulipa Kodi.

Sasa tuna Mama. Mwendo Ni mbele kwa mbele kwa style yake. Adumu mama yetu SSH. It’s her time to lead us, to show us the way to.. and bring us the promise Land. It is always a process within a process. One day yes.

Wewe fanya Kazi yako halali, mwisho wa siku Hakuna Rais atakayekuwekea hela mfukoni. Yeye sio katibu tawi wala Balozi wa nyumba kumi ambaye unaweza kumjudge kirahisi rahisi namna hiyo. Kila Mtanzania kwa nafasi yake anajenga nchi. Na kwa mantiki hiyo hiyo, kila Mtanzania atawajibika kwa eneo lake, Lakini mwisho wa siku wote tunawajibika kwa pamoja katika process yote. Tusaidiane.

Mwisho yangu msema chochote, wewe umejifanyia Nini na umefanya nini kwa familia yako. And then umefanya Nini kwa Taifa lako la Somalia. Mana hatunaga watu wenye lugha za Hivi kwa marehemu asiyeweza hata kujibu. Toa ….. jichoni mwako kabla ya …. Jichoni kwa mwenzako. Are you that clean?
Povu la uhakika. Je, Wewe ni ME au KE?
 
Back
Top Bottom