Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

Kwa akili hii ya Prof. Sospeter Muhongo, nadhani yeye sasa ndiyo wa kujengewa sanamu upesi sana

Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Na yeye soon ataondoka, well said
 
Kabla
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Pole kifungoni
N
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kuadadeki.
Ushauri:Ndugu yangu,kabla ya kuanzisha uzi hapa JF.Hakikisha kuwa habari unayoiandika na kuitumia kama supporting documents ni habari ya kweli.Na kwamba sio habari ya uongo.Kwa taarifa iliyotolewa na Prof Muhongo ,jana na leo asub.Hiyo habari ni ya uongo na ni fake .Nakuomba sana ndugu yangu usipende kujadili fake news.Tutakuwa Taifa la fake news.Taifa la kujadili uongo tupu.
 
Mbona wewe Unamchukia Poti Prof. Kwani aliiba Nini Kama sio Siasa Chafu tu Walizitunga na Kumlisha Mwendazake naye akamtemesha Mzigo bila facts. Ile ni kichwa toka Musoma, take care, siyo kusupport support bila mantiki??
Hahahaaaa!!
Alipokuwepo huyo mtu wako kwenye wizara nyeti hiyo, ulikuwa unalionaje swala la umeme kukatika katika?

Hakujua kwamba maji kule mtela kulikuwa kukifunguliwa au zilikuwa njama zake ili auze Majenereta kariakoo siyo

Halafu tangu leo utambue, Upumbavu hauna ukanda na upumbavu hauna miliki, ukiwa vizuri hauwi mpumbavu tena, eti kitu ya msoma..!

Profeseli mkubwa wewe
 
Hahahaaaa!!
Alipokuwepo huyo mtu wako kwenye wizara nyeti hiyo, ulikuwa unalionaje swala la umeme kukatika katika?

Hakujua kwamba maji kule mtela kulikuwa kukifunguliwa au zilikuwa njama zake ili auze Majenereta kariakoo siyo

Halafu tangu leo utambue, Upumbavu hauna ukanda
Jiwe is no More, jipiganie Mwenyewe...
 
Hahaaa!!😛

unabahati yako, kwa kuwa huyo jiwe simfahamu

JPM atajengewa sanamu pale sabasaba! na umweleze hivyo bwana profesel
Unaangaika na Marehemu, Pambana na Khali yako, Kubaliana na Kilichotokea Mungu anaipenda sana Tanzania Kuliko Ulivyotegemea. Nchi Imepumua na Watu wa Mungu wame- relax.
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Umendika kama umekalia kigunzi.
 
Unaangaika na Marehemu, Pambana na Khali yako, Kubaliana na Kilichotokea Mungu anaipenda sana Tanzania Kuliko Ulivyotegemea. Nchi Imepumua na Watu wa Mungu wame- relax.
Tangu lini usemayo wewe iwe kasema mwingine we jinga?

kuhangaika na marehemu ni pamoja na kupinga kujengwa sanamu lake,

Usikute na wewe unajina la marehehemu bibi yako ili ukiitwa watu wakumbukie bibi yako alivyokuwaga enzi zake, Halafu wewe kwa ujinga wako, unaleta upumbavu kwa mwenzako akiitwa jina la babu yake unafoka,

Acha akumbukwe kama anavyokumbukwa bibi yako kupitia jina lake kwako??

Wewe kwani unaishi wapi, mbona unawivu sana?
 
Profesa atulize akili asipaniki, JPM atafanyiwa mengi ya kumkumbuka kama yeye mwenyewe alivyofanya mengi makubwa ya kukumbukwa

Sanamu itajengwa na Taasisi zinakuja na mengine mengi yatafanyika. Tukae kwa utulivu
Muhongo amekanusha hii habari.

Ni vijanna wa ufipa wanatungia watu habari na vikurasa vyao uchwala eti tz abroad tv.

Hovyo kabisa.
 
Kwa hiyo ni bora watu wafe ili sanamu lijengwe kuliko pangejengwa kwanza kituo cha afya chenye jina lake then sanamu likajengwa baadae? Kumjengea jizi sanamu ni sanamu nyingine tena
hahahhhh

hawaishiwi vituko baada ya sanamu kujengwa,watasema tena waanze kuabudu Si alikuwa ndiye Mungu wao
 
Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe

Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga

Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
Kwani mwendazake alijenga heshima gani? Au huelewi maana ya heshima?
 
Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.

Chanzo: Tanzania Abroad TV

Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.

Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Tuwe serious tuna machungu ya kuondokewa na Shujaa wa Africa halafu unatuletea Ideology ya Prof.Muongo
 
Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe

Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga

Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
Professor Muhongo bado ana chuki sana na Mwendazake, maana alizani ataogopeka kutokana na u professor wake akawa anatupiga kwenye Nishati hadi Mwendazake akampiga chini! Hivi kwa nini Wasomi wetu wanapenda kuiba Mali za Umma!?
 
Acha tujenge sanamu ili kina Idugunde na Crimea wakiliona waamini kuwa yule ni Jiwe kamili huenda sonona zikawaisha!
 
Back
Top Bottom