GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Mara ndiyo Mkoa wenye 'Geniuses' TZA.Hakika Mara bado ina vichwa vinavyotoa madini. Yaani mtu unatoa wazo la kutumia milioni 420 kutengeneza DUBWASHA lenye sura ya mtu badala ya kutengeeza kitu kitakachoacha kumbukumbu na manufaa kwa jamii?
Na unga hoja ya Prof.“Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.
Chanzo: Tanzania Abroad TV
Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.
Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Ukimtukana mwana Mkoa wa Mara ( Musoma ) Mwenzangu jua umetutukana wana Mara ( Musoma ) kwani huo 'Ujiniasi' wake Profesa Muhongo ndiyo upo Kwetu wana Mara ( Musoma ) wote. Kuwa makini sana na hujachelewa kutuomba Radhi Mimi GENTAMYCINE nikiwa Mwakilishi wao wa Kutukuka hapa JamiiForums sawa?Vyote vifanyike, sanamu lake na shule na hata Zahanati kwa jina lake vijengwe
Kwanza huyo liprofesel lilikuwa jizi tu, lilinyimwa fursa ya upigaji kwenye madini na gas, siliamini, usikute linaongea hayo, kumbe ndani limebeba chuki za kijinga
Mwambieni na yeye ajenge heshima yake tutamuenzi aache upigaji, kwani ukiwa msomi lazima uwe jizi?
Achana na huyo Juha wa Kutukuka Mkuu.Aliiba wapi na aliiba nini?.Na kama aliiba kesi yake iko mahakama gani?
Rais Samia akilikubali hili nitaanza Kumpunguzia 'Maksi' zangu juu yake.Profesa atulize akili asipaniki, JPM atafanyiwa mengi ya kumkumbuka kama yeye mwenyewe alivyofanya mengi makubwa ya kukumbukwa
Sanamu itajengwa na Taasisi zinakuja na mengine mengi yatafanyika. Tukae kwa utulivu
Tafadhali wahi Mirembe ukapimwe Akili Mkuu.Tatizo liko wapi?
Huu ni ushauri murua kabisa na wenye manufaa...
Yaani utumie TZS 420,000,000 kujenga sanamu ya mtu ambaye hata hahitajiki kukumbukwa kwa lolote uache kutumia fedha hiyo kwa wakazi (wananchi) 100,000 walio hai ili wapate huduma ya maji...?
Honestly, ni wazi kuwa hizi ni fikra mbaya na ni maamuzi mabaya kabisa kuchukuliwa...!!
Kama kule Uganda kuna sanamu ya Waganda kumkumbuka Iddi Amin Dada (mtesi wao), basi Mimi naunga mkono kuwa Mwendazake naye ajengewe sanamu yake kwa fedha hiyo....!!!
Tena tumjengee sanamu kubwa , prof.muhongo kila mkoa.“Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.
Chanzo: Tanzania Abroad TV
Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.
Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Aliyekuambia kurudia Shule ndiyo kutokuwa na Akili nani? Rais Mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki ( RIP ) alifeli vibaya sana Kidato cha Nne huko Kenya ila baadae alivyoenda Kusoma Makerere Uganda aliweka Rekodi ya kupata 'Triple A' katika Somo la Hisabati ( Hesabu ) ambayo hadi hivi leo haijavunjwa je, nae tuseme hakuwa na Akili?Alisomea wapi udalali wa resources za Tanzania? Yes ana IQ kubwa baada ya kurudia shule mara kadhaa. Ila anadharau sana watanzania. Yeye anataka kila kitu wapewe watu wa nje.
Atajengewa mnara kwao labda
I fully concur with the Professor view.“Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.
Chanzo: Tanzania Abroad TV
Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.
Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Rais Samia akilikubali hili nitaanza Kumpunguzia 'Maksi' zangu juu yake.
Hapo uliposema Proffesor rekebisha upesi iwe Professor's view na siyo hiyo yako ya Professor view tafadhali.I fully concur with the Professor view.
Kwahiyo nianze Kuzipunguza mapema?Ndio hivyo basi tena
Mungu mbona ananisaidia Sana mkuu toka kuzaliwa Mpaka Sasa.Ni aibu kuanza kuongelea usukuma, uyakyusa, umasai hata uzaramo kwenye karne hii
Mungu akusaidie Kikunti El Perdedo
Ujinga ndo mtaji mkuu wangu kutawala wajingaWameshaanza tu kujitokeza mno Mkuu.
Mwendazake tumesha mjengea kaburi lake .
Katutia hasara sana kama nchi ndani ya muda mfupi aliohudumu kama Kiranja Mkuu.
Ameua BIASHARA, sekta BINAFSI iliathirika sana, shughuli zote za kufanya WATU BINAFSI aliwapa SUMA JKT, Hadi tenda za kusafisha barabara.
SUMA JKT wana hadi boti za uvuvi ili tu kuua nguvu wafanyabiashara.
Alinunua mindege mingi isiyo na faida.
Alijenga ukuta kwa gharama kubwa na hauna faida yoyote, WATU wanabeba mawe vilevile.
Kila kitu alitaka kipelekwe kwao kwa gharama za serikali.
Tenda zote za kujenga vivuko aliipa kampuni yake.
Hee! Yako mengi Sana aiseee
Povu la uhakika. Je, Wewe ni ME au KE?Unawaongelea wakina Nani. JPM ndo mwamba. Ajengewe asijengewe haipunguzi umwamba Wake. Yeye angekuwepo asingekubali na hiyo hela ingeenda either kwenye hospital au shule au barabara. That’s my JPM. Mtaandika sana kujifariji Lakini JPM alituonyesha maisha halisi ya Mtanzania anayeishi kwa kulipa Kodi.
Sasa tuna Mama. Mwendo Ni mbele kwa mbele kwa style yake. Adumu mama yetu SSH. It’s her time to lead us, to show us the way to.. and bring us the promise Land. It is always a process within a process. One day yes.
Wewe fanya Kazi yako halali, mwisho wa siku Hakuna Rais atakayekuwekea hela mfukoni. Yeye sio katibu tawi wala Balozi wa nyumba kumi ambaye unaweza kumjudge kirahisi rahisi namna hiyo. Kila Mtanzania kwa nafasi yake anajenga nchi. Na kwa mantiki hiyo hiyo, kila Mtanzania atawajibika kwa eneo lake, Lakini mwisho wa siku wote tunawajibika kwa pamoja katika process yote. Tusaidiane.
Mwisho yangu msema chochote, wewe umejifanyia Nini na umefanya nini kwa familia yako. And then umefanya Nini kwa Taifa lako la Somalia. Mana hatunaga watu wenye lugha za Hivi kwa marehemu asiyeweza hata kujibu. Toa ….. jichoni mwako kabla ya …. Jichoni kwa mwenzako. Are you that clean?
Pot umenena vyema pot wangu.Jadili Hoja BAN zangu JF zisikutese Ok?
Hapo uliposema Proffesor rekebisha upesi iwe Professor's view na siyo hiyo yako ya Professor view tafadhali.
Noted and accepted. Just typing mistake.Hapo uliposema Proffesor rekebisha upesi iwe Professor's view na siyo hiyo yako ya Professor view tafadhali.
Nashukuru pia 'Poti' wangu tupo pamoja.Pot umenena vyema pot wangu.