Kwani hiyo sanamu itajengwa wapi? Natumaini haitakuwa hapo Sabasaba kwa sababu tayari vinajulikana kama viwanja vya Nyerere. Logically, sanamu itakayofaa hapo (kama upo huo ilazima na tija) ni ya kiongozi ambaye jina lake linabeba viwanja hivyo. Hivyo basi sanamu ya marehemu Rais Magufuli itaweza kupelekwa kwingineko. Huu ni ushauri tu mdogo.Wajinga wakiwa wengi halafu wakaungana..
Mwenye akili lazima unyamaze..
Yaani mtu anatetea sanamu?Kabisa?
Upungufu wa akili ni mkubwa sana
Tunahitaji pointless members kama GENTAMYCENE.Pole kifungoni
Kumbe JamiiForums kuna Member aitwae GENTAMYCENE? Pumbavu mara Trillioni za Bajeti ya Tanzania Sasa.Tunahitaji pointless members kama GENTAMYCENE.
Endelea kutuburudisha!!!Kumbe JamiiForums kuna Member aitwae GENTAMYCENE? Pumbavu mara Trillioni za Bajeti ya Tanzania Sasa.
Na GENTEMYCENE au GENTAMYCINE?Endelea kutuburudisha!!!
Nikushari tu huyo poti ni kweli ana uwezo akili za shule bahati mbaya sana alinyimwa akili muhimu pamoja na akili ya uongozi hana. Uliza watu wakupe historia ya huyo poti wako hasa ma lecture wenzie pale UDSM. Huyu anasaka fursa sasa hivi na wakikosea kumrudisha wameuwa wizara.Namkubali mno Profesa 'Poti' Muhongo.
Ni Mbunge wa Musoma Vijijini, Oil and Gas Consultant, Competent African Geologist, Enteprenuer na Mtu Tajiri kuliko Umasikini wako na wangu uliotutukuka.Kwani uyo professa yuko wapi sikuizi
Ila GENTAMYCINE bhana, posts zako zinahitaji mtu makini kukuelewa ila zingine lazima utabasamu kwa maneno kuntu yaliyomo. Pamoja sana mkuu...“Siamini sana Kama ujenzi wa Sanamu ni ishara tosha ya kumkumbuka hayati, Bali ingejengwa shule au taasisi ya kurahisisha Huduma za kijamii ikaitwa jina la anayetaka kukumbukwa na si sanamu “ Professor Sospeter Muhongo.
Chanzo: Tanzania Abroad TV
Kama kuna Profesa ambaye nina uhakika Uprofesa wake ni wa Kustahili kabisa kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili ( IQ ) hapa Tanzania basi ni 'Poti' wangu wa Kutukuka Sospeter Muhongo.
Profesa kamaliza kila Kitu na GENTAMYCINE siongezi chochote kwani tayari 'Wakosoaji' mbalimbali jana kule Mkoani Morogoro katubatiza Jina na kutuita Watu wa 'Chokochoko' na tusioitakia mema Tanzania yetu huku akisahau kuwa hata Mtangulizi wake nae 'alitudharau' na 'kututisha' hivi hivi ila kaondoka na 'Team Chokochoko' bado tunaendelea Kudunda tu na hata Corona nayo inatuogopa vile vile Kudadadeki.
Mbona hata bungeni simuoni sikuizi? Ni mbunge kweli huyo au kaamua aendelee na mambo mengineNi Mbunge wa Musoma Vijijini, Oil and Gas Consultant, Competent African Geologist, Enteprenuer na Mtu Tajiri kuliko Umasikini wako na wangu uliotutukuka.