Vipi kalynda mkuu imekuacha salamaHujamuelewa. Apo yani aliweka 100k kapata faida ya 70k na hela yake ipo pale pale. Jiunge acha kusema kila kitu ni wizi wakat mwanamke unamhonga pesa nyingi bila kufikiria.
WashapigwaSiku mkipigwa msije ilaumu serikali
Kwann unajilinganisha Sana na anavyopewa Hela mwanamke wake? We hujui jamaa nae anapewa Nini na huyo mwanamke wake?Izo ela unazo zitumia kumpa mwanamke wako jarb kuziwekeza apo utanishkuru badae
Hahah, pesa yaku downloadNimeona leo insta MSHAURI SERIKALI anawaambia watu wasiwe na wasiwasi server za hiyo Kalynda zimezidiwa ila malipo yao watayapata. Nikakukumbuka Sir Jeff na ile 360 alianza excuses zinazofanana na za mshauri serikali na mwisho wa siku ikawa kilio. WATANZANIA TAFADHALI TUKUBALI HAKUNAGA PESA ZA KU-DOWNLOAD
Yule sio mshauri wa serikali nduguNimeona leo insta MSHAURI SERIKALI anawaambia watu wasiwe na wasiwasi server za hiyo Kalynda zimezidiwa ila malipo yao watayapata. Nikakukumbuka Sir Jeff na ile 360 alianza excuses zinazofanana na za mshauri serikali na mwisho wa siku ikawa kilio. WATANZANIA TAFADHALI TUKUBALI HAKUNAGA PESA ZA KU-DOWNLOAD
Kweli hii nchi wajinga bado ni wengi sana.Nimeona leo insta MSHAURI SERIKALI anawaambia watu wasiwe na wasiwasi server za hiyo Kalynda zimezidiwa ila malipo yao watayapata. Nikakukumbuka Sir Jeff na ile 360 alianza excuses zinazofanana na za mshauri serikali na mwisho wa siku ikawa kilio. WATANZANIA TAFADHALI TUKUBALI HAKUNAGA PESA ZA KU-DOWNLOAD
Acha waliwe na wachina wavimba machoKweli hii nchi wajinga bado ni wengi sana.