Kwa akili zangu Leo naamua Kujiunga na kalynda

Kwa akili zangu Leo naamua Kujiunga na kalynda

Na kumbuka mwamba mmoja Huko USA, aliitwa Robert Maddock, aliwaliza watu Huko siyo kitoto, hata siku alipohukumiwa wajinga wakawa wanashangilia, yeye akacheka tu na kuwa ambia shangwe zao hazitawasaidia chochote, akazama zake jela huku account zake zikicheka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wana freez account USA ipi watu waibiwe kama Kalyinda...au USA yetu ya maji ya chai..
 
Nadhani waTanzania tuna lawama nyingi zisizo za msingi. Serkali au vyombo vyako havipo kwa ajili ya kuingilia maamuzi ya kila mtu. Wewe una akili zako tena timamu, unawekeza laki moja na unapata elfu sabini kabla ya mwaka. Hii sabini ingekuwa kwa mwaka hiyo ingekuwa inerest ya 70% kwa mwaka. Hiyo inetrest haipo duniani. Kwa nini usitambue kuwa hizo pesa ulizopata ni chambo tu. Ukisha lainika na kupata uroho wa kupata pesa ambayo hukuifaniya kazi , wenzako wanatayarisha pigo kubwa.

Interest hizo kwa kifupi hazipo. Hivi unataka serkali ifanye nini? Ulipoenda kuwekeza ulipata ushauri toka serkali? Je, uliijulisha BOT unayotaka ikusaidie? Je, ulienda kwenye chombo chochote kuhusu uhalisia wa waliokupiga? Ulipoingia uliingia kimya kimya na ukaonjeshwa kafaida ili uweze kukusanya watu. Hivi vyote ulifanya kwa siri buila serkali kujuwa na sasa unataka ikusaidie.

Kuna watu wanasema eti wahusika wamesajiliwa. Ukweli ni kuwa BRELA haiwezi kukataa kusaili biashara kama wametimiza masharti. Lakini baada ya kusajiliwa, kazi ya BRELA imeisha. Sasa wanabaki na biashara yao na wanavyoiendesha na kuhakikisha wanalipa kodi. Hawa walisajili biashara ya kuuza bidhaa kimtandao. Je mliyotapeliwa mliwaomba kuonyeshwa wameidhinishwa kufanya bioashara gani? Labda mungefanya hivyo mngeona wanafanya kitu tofauti na walichosajiliwa kufanya. Kila mtu anatakiwa kujuwa kuwa hakuna biashara ya pesa inalipa interest ya 70%, 50%, n.k. Nilishaandika humu kama unataka interest nzuri nunu BOT bonds au weka fixed savings account, lakini hata hizo hazitoi interest kubwa kama hizi mnazodanganywa nazo.
shida wakiambiwa ukweli kwa ujuaji wao huwa wabishiii wakati they know nothing, kuna mtu alileta hesabu hapa zilionyesha return on investment ni 220%..si hata shetani angekuja duniani kufanya hiyo business aache kuchomwa na moto
 
Mkuu mambo ya fedha huyajui kaa kimya tuu...Elimu zenu za hovyo sana nasikitika msomi kuandika vitu kama hivi yaani hujui kazi za vyombo vya Fedha harafu unakuja kunielekeza hapa...Nchi gani za SADC utaona huu ujinga unaofanyika hapa nenda Zambia,Botswana au SA ufanye kama Kalyinda kama hamjapotea hiyo ni kesi ya fraud tena haina dhamana ni kama robbery tuu nasikitika sana unanieleza wakati wewe ndio natakiwa nikufundishe...
Kwa hiyo wafikiri hizo nchi zingine za SADC hamna ma ponzi scheme kama hayo yamekula pesa za watu?

Ushawahi ishi in any of those countries bwasheee?!?

haya mambo yako worldwide for your information
 
Kwa hiyo wafikiri hizo nchi zingine za SADC hamna ma ponzi scheme kama hayo yamekula pesa za watu?

Ushawahi ishi in any of those countries bwasheee?!?

haya mambo yako worldwide for your information
Watu wanakamatwa sio kama hapa watu wanaiba na kuondoka kimya kimya bwashee sio kuishi ninachukua Kodi Zambia na SA fikiria nimeishi kwa muda gani huko...
 
shida wakiambiwa ukweli kwa ujuaji wao huwa wabishiii wakati they know nothing, kuna mtu alileta hesabu hapa zilionyesha return on investment ni 220%..si hata shetani angekuja duniani kufanya hiyo business aache kuchomwa na moto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu mambo ya fedha huyajui kaa kimya tuu...Elimu zenu za hovyo sana nasikitika msomi kuandika vitu kama hivi yaani hujui kazi za vyombo vya Fedha harafu unakuja kunielekeza hapa...Nchi gani za SADC utaona huu ujinga unaofanyika hapa nenda Zambia,Botswana au SA ufanye kama Kalyinda kama hamjapotea hiyo ni kesi ya fraud tena haina dhamana ni kama robbery tuu nasikitika sana unanieleza wakati wewe ndio natakiwa nikufundishe...
Wewe ni Muongo,mambo yote ya scam yanaanziaga South Africa na Nigeria kisha wanadakia wakenya na kusogea Tanzania.
Ukisema South Africa watu hawafanyi utapeli ni uongo wa waziwazi wakati kule ndio kitovu cha kila aina ya uhalifu.
Halafu unamponda na kumkashifu mtu anayekueleza ukweli na kujiona wewe una akili nyingi wakati utapeli mdogo wa waziwazi umeshindwa kuugundua,umekuja kushtuka leo unailaumu serikali.
Ina maana hata nyumbani kwako wakija watu kukutapeli unataka serikali ije kukwambia kwamba hapo unatapeliwa usitoe hela.
Serikali ina mambo mengi jamani,tujitambue sisi wenyewe kwanza kabla ya kuilaumu serikali.
Maana huo utapeli sio mpya ni aina ya utapeli ambao unakaribia miaka 20 tangu zianze kuingia Tanzania,sasa leo hii zinakuja kampuni mpya zinaanzisha mambo yaleyale kama ya Deci watu wanapeleka tena hela zao sasa si ni akili za kuku hizi.
 
Wewe ni Muongo,mambo yote ya scam yanaanziaga South Africa na Nigeria kisha wanadakia wakenya na kusogea Tanzania.
Ukisema South Africa watu hawafanyi utapeli ni uongo wa waziwazi wakati kule ndio kitovu cha kila aina ya uhalifu.
Halafu unamponda na kumkashifu mtu anayekueleza ukweli na kujiona wewe una akili nyingi wakati utapeli mdogo wa waziwazi umeshindwa kuugundua,umekuja kushtuka leo unailaumu serikali.
Ina maana hata nyumbani kwako wakija watu kukutapeli unataka serikali ije kukwambia kwamba hapo unatapeliwa usitoe hela.
Serikali ina mambo mengi jamani,tujitambue sisi wenyewe kwanza kabla ya kuilaumu serikali.
Maana huo utapeli sio mpya ni aina ya utapeli ambao unakaribia miaka 20 tangu zianze kuingia Tanzania,sasa leo hii zinakuja kampuni mpya zinaanzisha mambo yaleyale kama ya Deci watu wanapeleka tena hela zao sasa si ni akili za kuku hizi.
Serikali kazi yake ni kutoa elimu ili watu wawe na akili , sio kazi ya serikali ku_ guide matumizi ya akili ya mtu...!!
 
shida wakiambiwa ukweli kwa ujuaji wao huwa wabishiii wakati they know nothing, kuna mtu alileta hesabu hapa zilionyesha return on investment ni 220%..si hata shetani angekuja duniani kufanya hiyo business aache kuchomwa na moto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Muongo,mambo yote ya scam yanaanziaga South Africa na Nigeria kisha wanadakia wakenya na kusogea Tanzania.
Ukisema South Africa watu hawafanyi utapeli ni uongo wa waziwazi wakati kule ndio kitovu cha kila aina ya uhalifu.
Halafu unamponda na kumkashifu mtu anayekueleza ukweli na kujiona wewe una akili nyingi wakati utapeli mdogo wa waziwazi umeshindwa kuugundua,umekuja kushtuka leo unailaumu serikali.
Ina maana hata nyumbani kwako wakija watu kukutapeli unataka serikali ije kukwambia kwamba hapo unatapeliwa usitoe hela.
Serikali ina mambo mengi jamani,tujitambue sisi wenyewe kwanza kabla ya kuilaumu serikali.
Maana huo utapeli sio mpya ni aina ya utapeli ambao unakaribia miaka 20 tangu zianze kuingia Tanzania,sasa leo hii zinakuja kampuni mpya zinaanzisha mambo yaleyale kama ya Deci watu wanapeleka tena hela zao sasa si ni akili za kuku hizi.
Wewe tura mimi siwezi kutapeliwa watu watakaokuja kuniibia waje na bunduki nakwambia tena SA watu kutapeliwa kwa mfumo wa mitandao wanakamatwa sana na kesi yake ya Fraud haina dhamana ndio maana wezi hapa wanatumia bunduki na wanaotapeliwa kwa njia za mtandao ni wageni kwa maana ukiibiwa ukiwa nje ya mpaka unaambiwa hiyo crime imefanyika huko yaani kuzunguka kwangu kote kwenye pembe za Dunia hii wewe ndio uje unielekeze aina za utapeli..nakwambia tena hapa huwezi kuiba kwa kutumia simu yako kama ambavyo wanavyofanya Kalyinda hakuna hata aliekamatwa...ila wezi wanaweza kuingilia mifumo ya bank kwa kufoji taarifa za watu wengine ila pia wanakamatwa na kesi zao zipo huko...hawa wahuni ishu ya Fraud ndio kesi yao kubwa kuliko hata kuua ndio maana vijana wanarahisha kuua ili wapate hela hapa watu 70 wanauawa kika siku kwa Bunduki..
 
Serikali kazi yake ni kutoa elimu ili watu wawe na akili , sio kazi ya serikali ku_ guide matumizi ya akili ya mtu...!!
Akili unazaliwa nayo serikali haina uwezo wa kumuinduce mtu akili.
Na kingine hata serikali ikipiga makelele bado watu watapeleka hela zao na wengine watageuka kuilaumu serikali kwa nini wanazuia fursa.
Wewe huoni serikali inatangaza kila siku kwamba uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako lakini si unaona watu wanazidi kununua tu.
 
Wewe tura mimi siwezi kutapeliwa watu watakaokuja kuniibia waje na bunduki nakwambia tena SA watu kutapeliwa kwa mfumo wa mitandao wanakamatwa sana na kesi yake ya Fraud haina dhamana ndio maana wezi hapa wanatumia bunduki na wanaotapeliwa kwa njia za mtandao ni wageni kwa maana ukiibiwa ukiwa nje ya mpaka unaambiwa hiyo crime imefanyika huko yaani kuzunguka kwangu kote kwenye pembe za Dunia hii wewe ndio uje unielekeze aina za utapeli..nakwambia tena hapa huwezi kuiba kwa kutumia simu yako kama ambavyo wanavyofanya Kalyinda hakuna hata aliekamatwa...ila wezi wanaweza kuingilia mifumo ya bank kwa kufoji taarifa za watu wengine ila pia wanakamatwa na kesi zao zipo huko...hawa wahuni ishu ya Fraud ndio kesi yao kubwa kuliko hata kuua ndio maana vijana wanarahisha kuua ili wapate hela hapa watu 70 wanauawa kika siku kwa Bunduki..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unadhani ni kwa nini wewe huwezi kutapeliwa?Au ni serikali ya Jamhuri walikuja kukufundisha aina za utapeli?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unadhani ni kwa nini wewe huwezi kutapeliwa?Au ni serikali ya Jamhuri walikuja kukufundisha aina za utapeli?
Mimi ni Simba mzee ambae huwa anapishana na Nyati mzee maana wamewindana sana mpaka wamezoeana hata porini hawakimbiani tena hao wapo Ngorongoro Crater..
 
Back
Top Bottom