Kwa akina dada: Hivi mwanaume wa kingoni ana nini?

Hahahahaaa hii nayo ni kali ya mwaka, akikuuma mdomo unavimba hata hamu ya kubusu hakuna
 
wangoni wanaendana na jina wagoni, so mwanadada anayependa sana wangoni ujue yeye pia ni mgoni kinoma...(kwa wangoni, mi mhele)
 
mara nyingi hua n mazoba wa mambo furan hususani mapenz, wangoni hovyo!
 
sijakuelewa ktk sentensi yako hapo juu

Yaani akina dada wanapenda wanaume mazoba na wangoni ndio mazoba wanaongoza hapa afrika kusini mwa jangwa la sahara. Kwa hiyo automatically wa dada wanawapoenda wangoni.
 
mm ninachojua wanaume wengi wangoni huwa wanatahiriwa wakiwa wakubwa
 
Yaani akina dada wanapenda wanaume mazoba na wangoni ndio mazoba wanaongoza hapa afrika kusini mwa jangwa la sahara. Kwa hiyo automatically wa dada wanawapoenda wangoni.

Hahahahahah lol! kwa hiyo wanakuwa kama wale wanaodaiwa wamelishwa limbwataaaa 🙂
 
wanaJF hata xixi kina mangi ni wazima, hizo xifa nasi twastaili
 
Tatizo wangoni wanalia wanaume badala ya mwanamke mngoni dume linakatika yeye badala jike
 
mimi na pearl tumejitolea kutafuta wangoni kwa ajili ya research. Tutawapa report.
PM mimi ni Mngoni
mngoni nipoo sisi ni wanomaaa jamani. kwanza jina la NYENGO kule kwetu ni kifaa flani cha kukatia nyasi. yeyote anayetaka RESEARCH NIPOOO NI PM
Wa njangu wa koleki?
wanavyodai wanaume wa kingoni mitarimbo yao ipo kama mwiko vile kwa hiyo huwa ni noma yaani hapa mbele huwa imevimba kama mwiko.
U kweli ni huu, wangoni ni wa wafupi na issue zao ni fupi na kwa mujibu wa wataalamu the shortest penis is very active
pia kwa ajili ya ufupi wao huwa hawapendi dharau hivyo hujishughulisha sana, ngoma za kingoni za kuanzia utotoni zinachangia, vyakula vya asili kama mihogo na nk
 
Wangoni hawana kinyaa, anauwezo wa kubinjuka na demu yeyote mahala popote wakati wowote bila mkewe kustuka maana dozi ya home inakuwa ileile
 
waulize wanaowasifia.....hahahaaaaaa...ulikimbiwa na demu halaf akaenda kwa mngoni nini?....tafuta mpalestina...ni wa ukweeeeeeeeeeeeee....:becky:
 
Wote mmekosea wango yaani sis mi watalamu wa kuzama chumvini ambocho weng wenu hukataa.
 
mmh! mwengaa.ne gangu mihu.
 
wanavyodai wanaume wa kingoni mitarimbo yao ipo kama mwiko vile kwa hiyo huwa ni noma yaani hapa mbele huwa imevimba kama mwiko.
you got it right,maana hata mimi huwa nasifiwa kwa hilo ila mm sio mngoni.
kwa wadada kama unamtaka mtu wa namna hiyo angalia kidole gumba cha mkono, utakuta pale kinapoungana
na mkono ni kipana katikati kimebonyea na mbele kwenye kucha ni kipana hapo
kama umeombwa game na unataka mambo ya mwiko toa papuchi then fanya research hapo.
ila ukiniona mimi pita mbali yangu ina mwenyewe.
 

Wewe sasa unataka watu waanze research ....haya wekeni picha ya vidole vyenu kwenye avatar...hatutaki sura tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…