Levels matter. Sawa.Unaona akili zako sasa, unahama hoja unakuja personally, sina uwezo wa kuanzisha forum yangu aisee[emoji119][emoji119]
Hoja hapa ni Simba kuwatoa hao unaowaita Waarabu koko, muda utasema kwa maana Level za Al Ahly na Simba sio za kuzicompare kabisa... Mpira wanaocheza sio wa level za Simba
Ukisema AS Vita mliowabahatisha sawa, bado hatujaona soka la Al Mereikh...
Tuwe na akiba ya maneno [emoji119]
Levels matter
Kamati ya Roho mbaya haiwezi kuishaSiku zote time will tell... Tuacheni ROHO MBAYA.
Mmeona basi mmelamba Dume kwa huyo "Mchawi" wake... Anyways muda utaamuaLevels matter. Sawa.
Al Mereikh mchawi wao tunaye. If you know what I mean
Usisahau kuwa hayo ni maneno yako! Waarabu wako vipi?Uzuri wa waarabu hawa wa mzee Pitso Mosimane, wanaweza wakapiga wote kwenye kundi atakayesalimika sana sana sare labda
Anyway bado kuna dk 90 za mpira ingawa mkwa uwezo walionao jamaa hata mm naona kuna hatari ya timu kupigwa nje ndani.. Na wala sitawalaumu simba, jamaa hawa wa sasa hivi wametoka kumtoa bingwa wa amerika kusini huko
Na kwa Al Ahly wamekimbia!! Wamekimbilia mamelodi sundowns!!Tushapiga Vita Sasa Utopolo mmehamisha ushabiki kwa Al-Ahly
Ulimchokoza Mungu amekufanyizia , bwege weweKwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.
Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo
Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)
Wana msimbazi tunafanyaje?
AmeikimbiaUsije ukaikimbia hii thread yako.
Nilimuonya mapema akajifanya nabii na mtumeAmeikimbia
Kidimbwi upooooo?????Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.
Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo
Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)
Wana msimbazi tunafanyaje?
Nyie si mnategemea nyau?Kwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.
Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo
Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)
Wana msimbazi tunafanyaje?
Nimecheka kama bwege vile πππ eti naniiii anaitwa?Kidimbwi upooooo?????
Kama ndiye analeta ushindi, wapo wengi mtaani kachukue mwende nae uwanjaniNyie si mnategemea nyau?
KidimbwiNimecheka kama bwege vile [emoji23][emoji23][emoji23] eti naniiii anaitwa?
Levels matterUnaona akili zako sasa, unahama hoja unakuja personally, sina uwezo wa kuanzisha forum yangu aisee[emoji119][emoji119]
Hoja hapa ni Simba kuwatoa hao unaowaita Waarabu koko, muda utasema kwa maana Level za Al Ahly na Simba sio za kuzicompare kabisa... Mpira wanaocheza sio wa level za Simba
Ukisema AS Vita mliowabahatisha sawa, bado hatujaona soka la Al Mereikh...
Tuwe na akiba ya maneno [emoji119]
Levels matter
Watakimbilia hadi Bayern na Tukimpiga Bayern watarudi nyuma kuanza na Wao wenyew kuwa hatuwaweziNa kwa Al Ahly wamekimbia!! Wamekimbilia mamelodi sundowns!!
Hakuna timu toka Egypt iliyoshinda Tz inapokuja kucheza na Simba zaidi na mara moja walitoka Sare tena mechi ya marudio ya siku ya pili baada ya mvua siku ya Kwanza kuvunja pambanoKwamza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.
Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo
Msimbazi tuanze kujipanga mapema tunafanyaje? Kama tunategemea Mungu tunajidanganya kabisa Mungu hajihusishi na mambo ya kijinga( yasiyo ya ufalme)
Wana msimbazi tunafanyaje?