Kwa Al Ahly hii ya Klabu ya World Cup, hata Mungu hawezi kuisaidia Simba SC

Maneno na nyuzi nyiingi za kuiombea mabaya Simba ndo kinawafanya Uto mnafanya vitu vya kipuuzi.

"Mnakusanya wanahabari kwenda kuwaonyesha mabinti wanavyoogelea".

Uongozi wa Mirembe ukowapi unaacha machizi wanajazana pale Jangwani kwanini lakini?
Ha ha ha ha ha

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa alieleta huu uzi msikae nae mbali anaweza kujizuru kwa kujiona hana akili kwa sababu kila alichokitabiri kimekuja tofauti tumpe msaada ni mtanzania mwenzenu jaman hata kama ni UTO!!!!
 
Wewe ni utopolo damu damu na unatoa harufu ya utopolo!! Baada ya tarehe 23/02/2021 unapumulia kwenye mashine!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…