Hii album ni goat kwa kweli..ina ma anthems sio poaView attachment 1966682
When music was music, sidhani kama kutakuwaga na album kama hizi za bongo flavor. Sahivi wote chenga tu
Cha muhimu ni kulipwa.Unadhani show za nje zinalioa sana kushinda za nyumbani? Au unamsikiliza Domo ambaye anapenda kick za kugonga mademu?
Tusio na audiomack tucoment wapiWakuu
Alikiba hapewi sifa anazostahili
Kibongobongo mpaka sasa hana mpinzani maana wengine wote wanacopy & paste
Albam zao huboa sana kwani hukusanya nyimbo zao tu zilizotolewa huko nyuma na kusema ni album
Alikiba only king ameitendea haki bongo fleva
Tunapata ladha ya mziki wa Tanzania tofauti na hayo ya kinaijeria na amapiano
Kudos kwako king kiba
Tunaiomba Serikali Kwenye Mtaala Wa Masomo, Nyimbo za Alikiba Zifundishwe Mashuleni, Kwenye Fasihi/literature [emoji28][emoji23]Tuzo gani? Alikiba kabeba tuzo mbele ya Wizkid, muwe mnafuatilia angalau hata kidogo
Kafanya show nyingi sana kitandani na mama yako!Kafanya show ngapi nje ya nchi??
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.Kafanya show nyingi sana kitandani na mama yako!
Muulize mama yako akujibu ni show ngapi
Soapy soapy, nairamarleyNikisikiliza ngoma za Naija hua naona wasanii wa bongo wanalazimisha sana kuskiliza muziki wao usikilizwe kwa lazima
Yakwangu mimi ni SITAKI TENA!Nimesikiliza single kadhaa kutoka kwenye album mpya ya Ali kiba. Kwa kweli kafanya vizuri. Nyimbo yangu Bora kwa kweli ni "utu". Ongeza yako Bora tuone.