Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Atapata vichaa wake maana dini ile wameambiwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu ila ndio ya jinsia moja ni sawa na wanakubali kuna mchungaji mmoja aliwachoma waumini wake moto mmoja kenya aliwaambia wafunge mpaka wakafa kweli hii ni dini ya haki.
 
Kmmk
 
Makahaba na watoza ushuru watakuwa wa kwanza kuingia mbinguni
Mathayo 21:23-49
 
Mchungaji under apprentiship ipi?
 
Hongera yake na kila la heri kwake kwenye kueneza injili ya kweli. Siku zote Bwana anawajua walio wake
 
Yesu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…