au na yeye alitaka kutrend kama yule bint na mwijaku?Zilikua real Watu8 atanisaidia kusema
Hapana sidhani! Hata kichaa hawezi kuachia video zake kama za uwoya ety atrendau na yeye alitaka kutrend kama yule bint na mwijaku?
zilikuwa balaa na nusu eh? sema siku hz nimeghair kuangali hzo mambo ningemuomba Watu8 anitumie na mm nijionee.Hapana sidhani! Hata kichaa hawezi kuachia video zake kama za uwoya ety atrend
asante, uniombee nisije nikarud kwa mkataba maalumZilikua fire
Hongera kwa kustaafu
Usijaliasante, uniombee nisije nikarud kwa mkataba maalum
KmmkHabari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Unamuingilia katika haki yake ya kikatiba na kibinadamu ya kuabudu anavyotaka.
Hizo habari za vikuku na nguo ni very shallow.
Mchungaji under apprentiship ipi?Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Mungu akiamua kukutuma haangalii hayo mambo yenu ya kizungu ya apprenticeship.Mchungaji under apprentiship ipi?
Mnapenda sana kuhukumu nani kahaba au mtoza ushuru?Makahaba na watoza ushuru watakuwa wa kwanza kuingia mbinguni
Mathayo 21:23-49
Iweke hapa mkuuIle video yake ya k na nywele zake ninayo
Weka tujionee wenyewe mkuuIle video yake ya k na nywele zake ninayo
Haujaelewa Soma tena kwa kutulia.Mnapenda sana kuhukumu nani kahaba au mtoza ushuru?
Yesu wanguHabari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264