pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Atapata vichaa wake maana dini ile wameambiwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu ila ndio ya jinsia moja ni sawa na wanakubali kuna mchungaji mmoja aliwachoma waumini wake moto mmoja kenya aliwaambia wafunge mpaka wakafa kweli hii ni dini ya haki.