Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

rose natumia kimchina, ila nataka kukugongea seksi. Lakini naomba ipokee tu. Thanks 4 useful post. Mke mwema hutoka kwa bwana, na tabia unazozitaka kagua kwanza kama wewe unazo. Happy new year all.

thax2 ma braza.
 
Preta si ulikuwa uanze kusomea ualimu mwaka huu naona utanifaa sana
 

Rose unajua kukandia. Kwa hiyo walimu wote wamefeli masomo? Hakina umesomea ukandiaji. Sijasema wanawake walimu wote ni wanandoa wazuri, na sijasema kuwa wanawake wasio walimu wote si wanandoa wazuri. I am not stereotyping my dear. Wewe taaluma gani?
 
mmmmmmmh!!!!!
Hawa walimu leo wamewakosea nini bandugu?
 
Yeah mamangu alikuwa mwalimu and she was a good wifee to my dad and a good mother to us all. Ila angalizo, baada ya miaka mitatu to mitano tutaanza kupata walimu walosomea shule zetu za yebo yebo, so tunaweza kuhisi ni walimu gani tutakuwa nao!

which shule is this........?
 
huku si ndo pasua kichwa mrembo au?

pasua sawasawa na walimu wa sasa
cz tabia ni zile zile since hawafat maadili ya ualimu as supposed 2b so thy turn up to b red more than red itself...
 
Happy New Year beb.....he he....mambo!!

Mambo safi, baby Preta, niambie mama, umesikia ee eti walimu wa dot com hawa, crushing program, yani rose anaongea yote yaliopo kwene akili yangu.
 
he he...chankyuu.....ninaongea na cm mammy...nikimaliza nitaamua niivue au niivae......kwani kuna mtu anaona?

Preta unaweza badilisha hiyo chupi uvae nyeupe?
Nina allergy na Chupi nyekundu bidada,
ukishindwa kabisa basi bora usivae
 
Preta si ulikuwa uanze kusomea ualimu mwaka huu naona utanifaa sana

ndio....hebu nichagulie....nisomee wa chekechea, praimari, au sekondari......upi utakufaa baba watoto
 
Preta unaweza badilisha hiyo chupi uvae nyeupe?
Nina allergy na Chupi nyekundu bidada,
ukishindwa kabisa basi bora usivae

hiyo ni soksi ....hakuna kyupi hapo...........
 
Rose unajua kukandia. Kwa hiyo walimu wote wamefeli masomo? Hakina umesomea ukandiaji. Sijasema wanawake walimu wote ni wanandoa wazuri, na sijasema kuwa wanawake wasio walimu wote si wanandoa wazuri. I am not stereotyping my dear. Wewe taaluma gani?
mi mwalimu daraja A.
wewe elewa mi sjakandia..nimeongelea weng wao walivyo na nimepnga dhana ambayo ilikwepo ata mimi niliiamin...ndo mana nkasema mke mzuri anatoka kwa bwana ...mke bora haina rang wala kabila any body can b mke bora thast includng walimu...sjataka generalization..usiniwekee maneno kinywani...hakuna kabila ,rangi,kimo fulan ni watu wazuri na wale ambao sio wa kabila,fan,rang iyo bas wabaya,hawafai si wazuri...generalization isnt ma formula go bak to ma post then digest softly u wl get wat m tryng to say bt nt KUKANDIA AS U SAID sipo ivo.
 
kwa hilo rose umenena, hata mi nilishauriwa kua walimu wanafaa, nikajitahidi kupiganisha mpaka nikampata teacher mmoja. yaani sikuamini teacher alivyonambia anajisikia furaha kuliwa tigo, mara ya kwanza nilidhani ananitega ili nami niseme, baada ya muda nikaona huu use**e nikamwambia anipe. nilichokiona sikuamini macho yangu. so bro mke mwema anatoka kwa mungu.
 
Una maneno mazuri ila kiswahili chako kibovu kinanitia kinyaa kusoma. Jirekebishe

 
hiyo ni soksi ....hakuna kyupi hapo...........

mmmmh, ngoja nivue miwani yangu niangalie tena!
isije kuwa soksi ya kichina, you never know!!!!!!
 

Lakini marais wengi wa Marekani walikuwa wanajeshi na wamesoma sheria. One's profession shapes him/her. Hata ukiwa hapo mlimani unapopasema, utajua huyu ni injinia, huyu ni mhasibu, n.k. Mke mwema anatoka kwa Bwana, sio ukamsake sokoni au baa.
 
which shule is this........?

Mbona simpo? Ni zile zenye wanafunzi mia tano walimu watatu, H.Master/ Mistress, Deputy, matron. AKA shule za upili za kata hasa za vijijini!
 

Ina maana mwanamke anayetoa tigo hafai kuolewa? Au una maana watu walioko ndani ya ndoa huwa hawatafunani tigo?
 
ndio....hebu nichagulie....nisomee wa chekechea, praimari, au sekondari......upi utakufaa baba watoto

chekechea unakufaa,,haya mapenzi yenu na fainest haya!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…