Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Rose yaelekea una bifu na walimu eeeh?
wakat mi mwenyew mwalimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rose yaelekea una bifu na walimu eeeh?
Mambo safi, baby Preta, niambie mama, umesikia ee eti walimu wa dot com hawa, crushing program, yani rose anaongea yote yaliopo kwene akili yangu.
Mke mwema hutoka kwa Mungu!
walimu awa wanaobaka wanafunzi?
walimu awa waliofanya ualimu km oltenatv job?
awa waliofel ndo wakaenda ualimu?
KM UKIZUNGUMZIA WALIMU WWA ZAMAN APO SAWA NAKUBALI..CZ WALIKUWA NA MAADILI YAO ..lakin si leo ambapo mtu kauza bar miaka kadhaa kachoka zake ndo anaenda ualimu do u thk atakuwa na contet za ualimu ili AWE MKE BORA?
KWA SASA NOOOOOOOOOOOOOO walimu wa zaman YEEEEEEEEES
nawasilisha.
kwa hilo rose umenena, hata mi nilishauriwa kua walimu wanafaa, nikajitahidi kupiganisha mpaka nikampata teacher mmoja. yaani sikuamini teacher alivyonambia anajisikia furaha kuliwa tigo, mara ya kwanza nilidhani ananitega ili nami niseme, baada ya muda nikaona huu use**e nikamwambia anipe. nilichokiona sikuamini macho yangu. so bro mke mwema anatoka kwa mungu.
say t againExactly!
Angalizo:
Waalimu wengi kwa muonekano wa nje huonekana ni malaika lakini ni wepesi sana linapokuja suala la ngono yenye ghilba ya pesa ndani yake!
wakat mi mwenyew mwalimu?
Rose 1980 hata wewe jamani! du, eti waliofeli na....., kwa hiyo mtoto wako hataenda shule? maana atakutana na hao uliowataja, pole pole jamani.
Kwa walimu waliolewa niliobahatika kuwafahamu naona ni wake bora sijui hao wengine aliowaona Rose
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
amen.Kusema ukweli kama Mungu hajahusika ktk kukupa mke au mume, hakuna mke mwema/mume mwema kwa vigezo vya weledi, sijui kazi nzuri, sijui pesa nk nk. Hata kama humwamini Mungu kwa mambo mengine amini kwamba ndiye anayekupa mume au mke. Ukiona unakwenda sawa na mwenza wako si kwa sababu ya chochote, ila ni kwa sababu ya Neema ya Mungu, na huyo ndiye ambaye Mungu aliona/ameona anaweza kwenda sawa na ww. Na ukiona hamuendi sawa, hamwezi kuzimaliza tofauti zenu, kila mmoja anamuona mwenzake wa ajabu, angalia tu ulioa/oa huyo mtu au ulioa/olewa na ualimu wake, uzuri, pesa,cheo, umaarufu au nini. Tambua huko ndani hakuna IT,uhasibu, ualimu nk nk, kuna mtu huko,mwenye nafsi, roho na mwili. Ha ha ha ni Mwalimu huyu,
Una maneno mazuri ila kiswahili chako kibovu kinanitia kinyaa kusoma. Jirekebishe
apana .sipo mliman.Lakini marais wengi wa Marekani walikuwa wanajeshi na wamesoma sheria. One's profession shapes him/her. Hata ukiwa hapo mlimani unapopasema, utajua huyu ni injinia, huyu ni mhasibu, n.k. Mke mwema anatoka kwa Bwana, sio ukamsake sokoni au baa.
Ina maana mwanamke anayetoa tigo hafai kuolewa? Au una maana watu walioko ndani ya ndoa huwa hawatafunani tigo?
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?
chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...
... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak
bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.
hebu shusha hiyo mikono tuongee vizuri
kuwa mwalimu wangu basi UNIFUNDSHE KISWAHILI...
Wow!!!Mke wa KUOA huyu hapa!
Rose vipi upo tayari??!!