Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Rose unapiga sana Kiswanglish, hivi wewe ticha wa masomo gani? Wife wangu anafundisha Biology na Home Economics. Anakaangiza huyo, wee acha tu.

uyo lazima atakuwa amevuka utoto n she above form six..kaenda unvsty...n anafundsha by choice if m nt mistaken ..so hatakua na shda ..mi nawazungumzia walimu wetu awa wa sasa wa form four kapata 4 anaenda crushng prgm then anaingia darasan kufundsha...apo ndo pbm inalala(weng wao)
 
cna maaadil.
sifai kuwa mama wa watoto wako wala mke mshauri mwema kwako(mume wangu)
mi mwalimu nilifel form 4 nkasaka sanA kazi nkakosa ndo nkaaamua kuwamwalimu lakini kazi i aipo akilin wala moyon mwangu so nawafundsha bora liende na hasira zangu zote za kukosa kazi na kuangukia ualimu na zimalizia kwa watoto..
nakushauri utafute mke mwema atakayekutii na kukurtit km mke wako kwako kutoka fan ya SHERIA NA SIASA.ata diwan tu atakufaa.

ni wako akupendaye bt unqulified..rose.

I can guess, Rose you are not a teacher at all.
 
wala usibadili sisi tutawaoa wote wenye taaluma zingine, waache tu wao waoane na taaluma zao za ualimu
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Barua ndefu sn andika ya kimathematics ndo ntaielewa!!!!
Mimi cfati maadili kwako hiyo Avatar 2 inatosha!!!
I wsh unifundishe coz ur qualified kuwa tcha wang,
huwa cpend walimu wanao komaa kufundsha sn coz mimi mwenyewe MTORO!!!
cna maaadil.
sifai kuwa mama wa watoto wako wala mke mshauri mwema kwako(mume wangu)
mi mwalimu nilifel form 4 nkasaka sanA kazi nkakosa ndo nkaaamua kuwamwalimu lakini kazi i aipo akilin wala moyon mwangu so nawafundsha bora liende na hasira zangu zote za kukosa kazi na kuangukia ualimu na zimalizia kwa watoto..
nakushauri utafute mke mwema atakayekutii na kukurtit km mke wako kwako kutoka fan ya SHERIA NA SIASA.ata diwan tu atakufaa.

ni wako akupendaye bt unqulified..rose.
 
Barua ndefu sn andika ya kimathematics ndo ntaielewa!!!!
Mimi cfati maadili kwako hiyo Avatar 2 inatosha!!!
I wsh unifundishe coz ur qualified kuwa tcha wang,
huwa cpend walimu wanao komaa kufundsha sn coz mimi mwenyewe MTORO!!!


o isnt 1
2+0=0
conclusion?
keys;
0=wife(rose)
2=smasher.


NB;SOMO BURE MASWALI UNALIPIA....(remember m a techer)
 
ur absolutely correct dear Rose, naona leo uko active sana sio mchezo.
ASANTEEEEEEEEEEE!
POLE KWA ULIYOYAKUTA...zaman walikwepo walimu wenye ualimu wao bt nw tuna watafuta kazi n nt malez..ukizaza mtoto utamlea mwenyewe ukitegemea atalelewa/atafundshwa namwalim shule basi itakula kwako..MWALIMU HANA MAADILI YEYE KM YEYE KUJISIMAMIAA KIAMADILIA ANASHNDWA KWELI ATAWEZA KUMSIMAMAISHA MTOTO KIMAADILI ?
rafiki zangu woooooote ambao walifeli form 4, na six wameenda ualimu na ukiwachek ndo wale mayoyooo au masista duuu ...wale wooote waliopta 3 au 2 ya mwsho ndo walienda education ...then apo unategemea nini?(marafiki zangu amabao njimewashuhudia achana na ile ya kuona )
WATU WACHACHE SANA WWANAFANYA UALIMU KWA WITO YAN ANAIPENDA KWA MOYO WAKE WOOOOTE YAAN KAPATA one AFU AENDE UALIMU..AU misjawai kushuhudia among ma frend mtu KACHAGULIWA SHERIA au POLITICAL SCIENCE afu anahangaika kuchange course aende education..SNA BFU NAO M JUST TOKING WAT I C....
 
mi mwalimu daraja A.
wewe elewa mi sjakandia..nimeongelea weng wao walivyo na nimepnga dhana ambayo ilikwepo ata mimi niliiamin...ndo mana nkasema mke mzuri anatoka kwa bwana ...mke bora haina rang wala kabila any body can b mke bora thast includng walimu...sjataka generalization..usiniwekee maneno kinywani...hakuna kabila ,rangi,kimo fulan ni watu wazuri na wale ambao sio wa kabila,fan,rang iyo bas wabaya,hawafai si wazuri...generalization isnt ma formula go bak to ma post then digest softly u wl get wat m tryng to say bt nt KUKANDIA AS U SAID sipo ivo.
naomba msaada hapo kwenye bold huyo ni mwalimu wa namna gani? Au ulitaka kusema daraja la 3 A? Otherwise binafsi nimekuelewa. Nilifikiri My wife wangu ni bomba kwa kuwa ni Mwalimu (hakufeli wala kushindwa kozi zingine) kumbe ndivyo alivyteremshwa na Israel, lol
 
ndio....hebu nichagulie....nisomee wa chekechea, praimari, au sekondari......upi utakufaa baba watoto
Chekechea bana mke hawa primari na sekondari utaishia kuamua kesi za mimba kila siku
 
Mtoa mada ameeleza vizuri kuwa sio walimu wote bali wengi wanafaa kuwa wake bora. akaongeza kuwa hamaanishi kwamba wanawake wa fani zingine pia sio wote ni wabaya. akahitimisha kwamba anomba xperince toka kwenu. Kwangu mimi nakubaliana naye kwa sababu niliaminishwa hivo tangu utotoni na nikabahatika kuoa Mwalimu i.e a teacher. Amefanya vizuri masomo yake level zote including university na kwa sasa ana position nzuri lakini sijawahi hisi kuwa nilikosea. Labda tuseme ni mmoja katika 10 au 100? Sijui but naamini sikukosea. Kuhusu kubadilisha kozi my wife alichaguliwa sheria UD na IUCO akahamia Education. Mimi pia ilibaki kidogo nihame kutoka PSPA pale mlimani kwenda Educ. So sio kweli kwamba ni last alternative. But being a christian nakubaliana na wengi kwamba mke mwema atoka kwa Bwana
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?

Ahsante sana!

Lazima ukimkorofisha atakujibu'Jaribu Tena'

Labda kwa kua kuna somo la Psychology....wakisoma linawaeke kimaadili maadili tafauti na W.A.U.G.U.**.

SIJUI WANA..S.H.E.R.**. A..K.A WANAHARAKATI .
 
Back
Top Bottom