Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Mambo safi, baby Preta, niambie mama, umesikia ee eti walimu wa dot com hawa, crushing program, yani rose anaongea yote yaliopo kwene akili yangu.

acha tu kakangu
yan nataman nianze lekcha kuwaelezea wanielewe km ulivyonielewa..SIPING SKATAI FANI YA UALIMU KWAMBA INASABABISHA ITOE WAMAM WAZURI...BT IZI PGRAM ZASASA IVI VODA FASTA ,MIEZ MIWIL MTU KAWA MWALIMU ,MTU KAFEL UKO NDO ANAENDA UALIMU JE ATAKUWA ANAZNGATIA MAADILI YA UALIMU ATA AWE MAMA BORA?
WALIMU NI WAZAMAN WA SASA IVI APANA MI NAKATAA JAMAN ATA MTU AKINISHIKIA BACHTOLAA...WENGI WAO SI WOTE HAWANA MAADILI WHCH MAKE THEM TO B IN PROBABILITY OF BEING WIFE MATERIAL LIKE MWANASIASA AU MWANAMKE MWANASHERIA.
BT OL IN OL MKEBORA/MUME BORA TAOKA KWA BWANA.
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu!

Exactly!

Angalizo:
Waalimu wengi kwa muonekano wa nje huonekana ni malaika lakini ni wepesi sana linapokuja suala la ngono yenye ghilba ya pesa ndani yake!
 

Rose 1980 hata wewe jamani! du, eti waliofeli na....., kwa hiyo mtoto wako hataenda shule? maana atakutana na hao uliowataja, pole pole jamani.
Kwa walimu waliolewa niliobahatika kuwafahamu naona ni wake bora sijui hao wengine aliowaona Rose
 

ASANTEEEEEEEEEEE!
POLE KWA ULIYOYAKUTA...zaman walikwepo walimu wenye ualimu wao bt nw tuna watafuta kazi n nt malez..ukizaza mtoto utamlea mwenyewe ukitegemea atalelewa/atafundshwa namwalim shule basi itakula kwako..MWALIMU HANA MAADILI YEYE KM YEYE KUJISIMAMIAA KIAMADILIA ANASHNDWA KWELI ATAWEZA KUMSIMAMAISHA MTOTO KIMAADILI ?
rafiki zangu woooooote ambao walifeli form 4, na six wameenda ualimu na ukiwachek ndo wale mayoyooo au masista duuu ...wale wooote waliopta 3 au 2 ya mwsho ndo walienda education ...then apo unategemea nini?(marafiki zangu amabao njimewashuhudia achana na ile ya kuona )
WATU WACHACHE SANA WWANAFANYA UALIMU KWA WITO YAN ANAIPENDA KWA MOYO WAKE WOOOOTE YAAN KAPATA one AFU AENDE UALIMU..AU misjawai kushuhudia among ma frend mtu KACHAGULIWA SHERIA au POLITICAL SCIENCE afu anahangaika kuchange course aende education..SNA BFU NAO M JUST TOKING WAT I C....
 
Exactly!

Angalizo:
Waalimu wengi kwa muonekano wa nje huonekana ni malaika lakini ni wepesi sana linapokuja suala la ngono yenye ghilba ya pesa ndani yake!
say t again
 
Kusema ukweli kama Mungu hajahusika ktk kukupa mke au mume, hakuna mke mwema/mume mwema kwa vigezo vya weledi, sijui kazi nzuri, sijui pesa nk nk. Hata kama humwamini Mungu kwa mambo mengine amini kwamba ndiye anayekupa mume au mke. Ukiona unakwenda sawa na mwenza wako si kwa sababu ya chochote, ila ni kwa sababu ya Neema ya Mungu, na huyo ndiye ambaye Mungu aliona/ameona anaweza kwenda sawa na ww. Na ukiona hamuendi sawa, hamwezi kuzimaliza tofauti zenu, kila mmoja anamuona mwenzake wa ajabu, angalia tu ulioa/oa huyo mtu au ulioa/olewa na ualimu wake, uzuri, pesa,cheo, umaarufu au nini. Tambua huko ndani hakuna IT,uhasibu, ualimu nk nk, kuna mtu huko,mwenye nafsi, roho na mwili. Ha ha ha ni Mwalimu huyu,
 
Duh!!! Hivi unaongelea walimu wa grade ipi mkuu??!!!
Maana naona noma kucomment hadi utoe mwongozo walimu wapi hao??!!
 
Rose 1980 hata wewe jamani! du, eti waliofeli na....., kwa hiyo mtoto wako hataenda shule? maana atakutana na hao uliowataja, pole pole jamani.
Kwa walimu waliolewa niliobahatika kuwafahamu naona ni wake bora sijui hao wengine aliowaona Rose

walimu wa zaman sawa HAWANA SHDA ...lakin niliowashuhudia mimi HAPANA ..hawafat miiko ya ualimu n thats inawafanya ile sifa tuliyowatunuku including mi NIITOE...SIAMINI TENA..cz nimeona wengi wao wana tabia siyo wanaprove fairly hawana tofaut na wamama wa fan nyingne n thats relay on indvidual ukimpta mwenye tabia nzur poa na si generalizatiion km ya zaman et walimu ni wamam bora..NW WAMEBADILIKA ...
marafiki zangu weng/niliosoma nao weng nikiwachek SIYO..tofaut na iman za watu.
ZAMAN PIA NILIKUWA MFIUASI WA IMAN I YA WALIMU NI WAMAMA BORA BT nw nimeslimu ..m no longer
 
amen.
 
Lakini marais wengi wa Marekani walikuwa wanajeshi na wamesoma sheria. One's profession shapes him/her. Hata ukiwa hapo mlimani unapopasema, utajua huyu ni injinia, huyu ni mhasibu, n.k. Mke mwema anatoka kwa Bwana, sio ukamsake sokoni au baa.
apana .sipo mliman.
 
Ina maana mwanamke anayetoa tigo hafai kuolewa? Au una maana watu walioko ndani ya ndoa huwa hawatafunani tigo?

anamaanisha kuwa ALITEGEMEA MWALIMU ASIWE NA TABIA ZA AJABU AJABU KM IZI CZ ALIAMINI WAO WANA MAADILI NA WANAJIHESHIMU SANA kumbe...
 

....well said Rose! mtoa mada akafanye homework yake vizuri.......! hawa watu siku hizi wapo kibiashara zaidi.....!
 
mmmhhhh jamani..
hii kali..
mi naona muuza maji ndo safi hana muda n mtu mwingine yuko busy kuwahi foleni za maji...
hafu maji anayo kuoga hataki ...
kwa hiyo hakuna atakaye mfuata sana ...
sijui mambo ya ku cheat sijui mambo ya kuto kuaminiana yatakuwa hayapo...
 
kuwa mwalimu wangu basi UNIFUNDSHE KISWAHILI...

Rose unapiga sana Kiswanglish, hivi wewe ticha wa masomo gani? Wife wangu anafundisha Biology na Home Economics. Anakaangiza huyo, wee acha tu.
 
Wow!!!Mke wa KUOA huyu hapa!
Rose vipi upo tayari??!!

cna maaadil.
sifai kuwa mama wa watoto wako wala mke mshauri mwema kwako(mume wangu)
mi mwalimu nilifel form 4 nkasaka sanA kazi nkakosa ndo nkaaamua kuwamwalimu lakini kazi i aipo akilin wala moyon mwangu so nawafundsha bora liende na hasira zangu zote za kukosa kazi na kuangukia ualimu na zimalizia kwa watoto..
nakushauri utafute mke mwema atakayekutii na kukurtit km mke wako kwako kutoka fan ya SHERIA NA SIASA.ata diwan tu atakufaa.

ni wako akupendaye bt unqulified..rose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…