myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 614
- 235
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.
Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).
Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
Mimi naunga mkono hoja hii maana nimeoa mwalimu. Na ninachokipenda zaidi wanajua malezi ya watoto sana. Thanks.
Dah kuna jamaa angu Teller bank moja hivi wanayo tumia sana walimu alimpenda dada mmoja alikuwa kaja kuchukua pesa mwisho wa mwezi na jamaa angu alikuwa na dhamira nzuri tu ya kutangaza nia na aliweka bayana juzi nimekutana nae analia kweli kweli anasema atapata wapi mwanamke wa kumuoa nikamuuliza yule shem ticha vp akasema dah kanigeuza ATM yaani kila siku yeye matatizo hayaishi nikamwambia mkuu alivyo kuona pale Kaunta alijua zile pesa za bank zako au na wewe unamshahara mkubwa. Nikamwambia sasa inakuwaje? akaniambia hapo anaona hakuna love tena ni kuchunana tu
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.
Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).
Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
nilikuwa nadate na mwalimu ambaye kimavazi,muonekano ni mke bora kwani pia ni muhudhuriaji mzuri wa semina za kidini!katikati ya mahusiano alinieleza kama ana mchumba wake..kwakuwa tulitongoza ilikuwa rahisi kuniambia mambo yake mengi nikagundua huyu mwalimu ni kicheche kwani hata avipendavyo katika 6 kwa 6 ni kinyaa kuelezea.....mke mzuri ni aliyeshika dini kisawa sawa!swali je utamjuaje?
Mke mwema hutoka kwa Mungu!
mke bora haina cha fan
its based on indvdual awarness.maadili aliyokulia na anavyoamin
PIGA OT KWA BWANA KUNA WAKE WEEEEEEEENG UKIOMBA UTAPEWA na siyo mnakagua chet mkitaka kuoa mtadanganyika.mnajidanganya.
unaweza kukuta mwanasheria akawa mama mzuri na uyo ticha wako akawa PASUA KICHWA.
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
nilikuwa nadate na mwalimu ambaye kimavazi,muonekano ni mke bora kwani pia ni muhudhuriaji mzuri wa semina za kidini!katikati ya mahusiano alinieleza kama ana mchumba wake..kwakuwa tulitongoza ilikuwa rahisi kuniambia mambo yake mengi nikagundua huyu mwalimu ni kicheche kwani hata avipendavyo katika 6 kwa 6 ni kinyaa kuelezea.....mke mzuri ni aliyeshika dini kisawa sawa!swali je utamjuaje?
Muulize Mwaitege (utanitambuaje?)
Eti eeh, kama ana sifa na hukulazimishwa kumwoa ni lazima apewe stahili yake, apewe big up. By the way kama sikosei umebadili avatar yako ndo kutekeleza ushauri wa Pauline ili wajomba wavutike? Natania tu
nani anafahamu chuo kizuri cha ualimu......naomba anijulishe mara moja tafadhali....bila kuchelewa.
Tuko pamoja Muacici. Umepata Mama mwema japo kuna watu hawataki tu kukubalianaMimi naunga mkono hoja hii maana nimeoa mwalimu. Na ninachokipenda zaidi wanajua malezi ya watoto sana. Thanks.
Preta ukishahitimu mafunzo yako ya ualimu naomba uni-PM nije kukuoa, nami nimehamasika kuoa mke mwalimu.
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa kama ukiwa mwalimu, utaingia kazini saa mbili asubuhi na kutoka saa tisa na nusu, kwa hiyo utapata muda wa kulea watoto wetu, au vipi preta?!
[/QUOTE
A very good observation. Hata chakula cha jioni ataandaa tu sio kila siku aandae house girl. Utakuwa umechagua kilicho chema. Mhamasishe Preta akasomee ualimu hata kama ni Post graduate diploma
Du post ya kwanza na kuvutiwa na Avatar unatishaMmmmhhhh, nimeipenda Avatar yako Rose, yaani inakonyeza vizuri mmmh ........................
Preta ukishahitimu mafunzo yako ya ualimu naomba uni-PM nije kukuoa, nami nimehamasika kuoa mke mwalimu.
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa kama ukiwa mwalimu, utaingia kazini saa mbili asubuhi na kutoka saa tisa na nusu, kwa hiyo utapata muda wa kulea watoto wetu, au vipi preta?!
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
Well said aisee,yaani mimi kuna binti mmoja ni mwalimu ninamjua,anakila kigezo cha kuitwa mke/mama,yaani anatabia njema mpaka huawa namuombea kila siku asipate mume mkorofi,yaani anastahili ndoa na si kuchezewa,yaani ingawa anakipato kizuri lkn hana makuu,yeye ni mkufunzi wa chuo kimoja hapa nchini,mabinti wenzake wakimuona wanaona ni mshamba kumbe ni tabia yake tuu ya kujiheshimu,nakubaliana na wewe kwa asilimia zote!!Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.
Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).
Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
Mke mwema hutoka kwa Mungu!
Mmmmhhhh, nimeipenda Avatar yako Rose, yaani inakonyeza vizuri mmmh ........................
Well said aisee,yaani mimi kuna binti mmoja ni mwalimu ninamjua,anakila kigezo cha kuitwa mke/mama,yaani anatabia njema mpaka huawa namuombea kila siku asipate mume mkorofi,yaani anastahili ndoa na si kuchezewa,yaani ingawa anakipato kizuri lkn hana makuu,yeye ni mkufunzi wa chuo kimoja hapa nchini,mabinti wenzake wakimuona wanaona ni mshamba kumbe ni tabia yake tuu ya kujiheshimu,nakubaliana na wewe kwa asilimia zote!!