Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

nilikuwa nadate na mwalimu ambaye kimavazi,muonekano ni mke bora kwani pia ni muhudhuriaji mzuri wa semina za kidini!katikati ya mahusiano alinieleza kama ana mchumba wake..kwakuwa tulitongoza ilikuwa rahisi kuniambia mambo yake mengi nikagundua huyu mwalimu ni kicheche kwani hata avipendavyo katika 6 kwa 6 ni kinyaa kuelezea.....mke mzuri ni aliyeshika dini kisawa sawa!swali je utamjuaje?
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?

Mimi naunga mkono hoja hii maana nimeoa mwalimu. Na ninachokipenda zaidi wanajua malezi ya watoto sana. Thanks.
 
Dah kuna jamaa angu Teller bank moja hivi wanayo tumia sana walimu alimpenda dada mmoja alikuwa kaja kuchukua pesa mwisho wa mwezi na jamaa angu alikuwa na dhamira nzuri tu ya kutangaza nia na aliweka bayana juzi nimekutana nae analia kweli kweli anasema atapata wapi mwanamke wa kumuoa nikamuuliza yule shem ticha vp akasema dah kanigeuza ATM yaani kila siku yeye matatizo hayaishi nikamwambia mkuu alivyo kuona pale Kaunta alijua zile pesa za bank zako au na wewe unamshahara mkubwa. Nikamwambia sasa inakuwaje? akaniambia hapo anaona hakuna love tena ni kuchunana tu

NILIANDIKA HIVI:
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.


Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).


Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?



Una akili sana
 
Mmmmhhhh, nimeipenda Avatar yako Rose, yaani inakonyeza vizuri mmmh ........................
 
nilikuwa nadate na mwalimu ambaye kimavazi,muonekano ni mke bora kwani pia ni muhudhuriaji mzuri wa semina za kidini!katikati ya mahusiano alinieleza kama ana mchumba wake..kwakuwa tulitongoza ilikuwa rahisi kuniambia mambo yake mengi nikagundua huyu mwalimu ni kicheche kwani hata avipendavyo katika 6 kwa 6 ni kinyaa kuelezea.....mke mzuri ni aliyeshika dini kisawa sawa!swali je utamjuaje?

Muulize Mwaitege (utanitambuaje?)
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu!
mke bora haina cha fan
its based on indvdual awarness.maadili aliyokulia na anavyoamin
PIGA OT KWA BWANA KUNA WAKE WEEEEEEEENG UKIOMBA UTAPEWA na siyo mnakagua chet mkitaka kuoa mtadanganyika.mnajidanganya.
unaweza kukuta mwanasheria akawa mama mzuri na uyo ticha wako akawa PASUA KICHWA.





mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:

Ndio maana yake!!!!, ukichelewa utakuta mwana si wako.

nilikuwa nadate na mwalimu ambaye kimavazi,muonekano ni mke bora kwani pia ni muhudhuriaji mzuri wa semina za kidini!katikati ya mahusiano alinieleza kama ana mchumba wake..kwakuwa tulitongoza ilikuwa rahisi kuniambia mambo yake mengi nikagundua huyu mwalimu ni kicheche kwani hata avipendavyo katika 6 kwa 6 ni kinyaa kuelezea.....mke mzuri ni aliyeshika dini kisawa sawa!swali je utamjuaje?



Muulize Mwaitege (utanitambuaje?)

 
Last edited by a moderator:
Eti eeh, kama ana sifa na hukulazimishwa kumwoa ni lazima apewe stahili yake, apewe big up. By the way kama sikosei umebadili avatar yako ndo kutekeleza ushauri wa Pauline ili wajomba wavutike? Natania tu

hahahahah lol sentensi nzima ukweli mtupu ....
mmmhh hata hiyo ya Pauline ...lol
kwani kuna ubaya gani????
 
nani anafahamu chuo kizuri cha ualimu......naomba anijulishe mara moja tafadhali....bila kuchelewa.

Preta ukishahitimu mafunzo yako ya ualimu naomba uni-PM nije kukuoa, nami nimehamasika kuoa mke mwalimu.
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa kama ukiwa mwalimu, utaingia kazini saa mbili asubuhi na kutoka saa tisa na nusu, kwa hiyo utapata muda wa kulea watoto wetu, au vipi preta?!
 
Mimi naunga mkono hoja hii maana nimeoa mwalimu. Na ninachokipenda zaidi wanajua malezi ya watoto sana. Thanks.
Tuko pamoja Muacici. Umepata Mama mwema japo kuna watu hawataki tu kukubaliana
 
Preta ukishahitimu mafunzo yako ya ualimu naomba uni-PM nije kukuoa, nami nimehamasika kuoa mke mwalimu.
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa kama ukiwa mwalimu, utaingia kazini saa mbili asubuhi na kutoka saa tisa na nusu, kwa hiyo utapata muda wa kulea watoto wetu, au vipi preta?!

[/QUOTE
A very good observation. Hata chakula cha jioni ataandaa tu sio kila siku aandae house girl. Utakuwa umechagua kilicho chema. Mhamasishe Preta akasomee ualimu hata kama ni Post graduate diploma
 
Preta ukishahitimu mafunzo yako ya ualimu naomba uni-PM nije kukuoa, nami nimehamasika kuoa mke mwalimu.
Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa kama ukiwa mwalimu, utaingia kazini saa mbili asubuhi na kutoka saa tisa na nusu, kwa hiyo utapata muda wa kulea watoto wetu, au vipi preta?!

Preta hongera kwa kupata mme. Mshawishi na Rose abadili fani nimtafutie 'jogoo' kama mimi.
 
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:

wala usijali, hudodi wala nin! njoo nitakupokea kwa mikono yote miwili maadam umeshagundua kinachosababisha wale wataaluma nyingine kutokupewa credit.
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
Well said aisee,yaani mimi kuna binti mmoja ni mwalimu ninamjua,anakila kigezo cha kuitwa mke/mama,yaani anatabia njema mpaka huawa namuombea kila siku asipate mume mkorofi,yaani anastahili ndoa na si kuchezewa,yaani ingawa anakipato kizuri lkn hana makuu,yeye ni mkufunzi wa chuo kimoja hapa nchini,mabinti wenzake wakimuona wanaona ni mshamba kumbe ni tabia yake tuu ya kujiheshimu,nakubaliana na wewe kwa asilimia zote!!
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana. Ina maana wote wenye wake wasio wema wamewapata kutoka kwa nani? Mungu ametupa akili, ili tuzitumie.
 
Well said aisee,yaani mimi kuna binti mmoja ni mwalimu ninamjua,anakila kigezo cha kuitwa mke/mama,yaani anatabia njema mpaka huawa namuombea kila siku asipate mume mkorofi,yaani anastahili ndoa na si kuchezewa,yaani ingawa anakipato kizuri lkn hana makuu,yeye ni mkufunzi wa chuo kimoja hapa nchini,mabinti wenzake wakimuona wanaona ni mshamba kumbe ni tabia yake tuu ya kujiheshimu,nakubaliana na wewe kwa asilimia zote!!

mh kwa kigezo cha mtu mmoja?
kuna mdada mmoja ivi jaman mweupe anafundsha sheria yaani ana components zote za kuwa mama bora....SO NAWEZA NIKASEMA WANASHERIA WOOOOOOOTE NI WAMAMA WAZURI?
TABIA YA MTU HAIZINGATII FANI.NI INDVDUALY.
NB MUME/MKE BORA ATOKA KWA BWANA
 
Back
Top Bottom