Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

YES I DO NEED MORE THAN ONE.
By the way, are you a teacher in one way or another? As you might have noted, teachers are my sleeping sickness. Remember every one of us is a teacher, despite the other professions we boast of holding. Who hasn't taught in life?

hahahahah lol
mmhh of coz im a teacher .....
but the things i teach are very confidential .......
my class start at 8pm to 11pm...
u interested hahahahah lol
 
uzuri wa walimu ni kwamba, una uhakika watoto wako watasoma shule, watahamasishwa kuwoma shule...ile kwa habari zingine...lazima watembee na makatibu tarafa na makatibu kata...kwa vijijini, wakuu wa wilaya, na maofisa wa selikali wakitembelea, ilikuwa lazima waalimu wakawapikie na kuwatandikia vitanda..zilipigwa kelele sana kipindi cha nyuma kwasababuw alimu wengi walikuwa wanakwisha kwa ukimwi....hii iko wazi...na maisha yao ni maisha ambayo hayana pesa, waalimu ni watu masikini hivyo ni rahisi sana kudanganyika kama akihongwa pesa...unaweza kufikiri ameondoka na shule ana kipindi kumbe amesain akasingizia mtoto anaumwa akapitiliza kwa hawara....uzuri wake ni kwamba, huwa hawakamatiki kirahisi, kwasababu baba anaamini kuwa, toka asubuhi hadi jioni wako wanacheza na wanafunzi, ila walimu kwa walimu ndio wanajuana kwa vilemba....cha maana, kama uzinzi uko ndani ya mtu, hata ufanye nini, hata uwe na kozi gani, utafanya tu uzinzi, hadi pale utakapoyatoa maisha yako kwa Yesu ili akusaidie kushinda dhambi...kwa kifupi, kwenu nyie wote ambao wanawake wenu hawajaokoka, mnaliwa kila siku bila nyie kujua...ukiona mwanamke wako anaenda kanisani kuokoka, msapoti kwasababu unaokoa mengi...
Tumsifu YESU KRISTU.... BWANA ASIFIWE. Nimeipenda sana sehemu ya kwanza kuhusu malezi ya watoto.Unapoitwa Hute umaanisha bunduki?
 
dah!ndugu yangu waalimu wa sasa hivi sio wake bora...kwa kifupi,kuna mwalimu shule flani,ni mamaa mtu mzimaa ila kwa kupenda serengeti boys balaa,bwana ake alifariki basi mamaa akikuona kijana handsome balaa ata kuonga kilaa kitu mradi uchakachue,kunaa kingene kasichana kadogo tu nako kameolewa na kuachikaa saa huo ni mfano.MKE MWEMA UTOKA KWA BWANA
Unajchanganya tu waalimu wa sasa hivi sio wake bora halafu tena ni Mama mtu mzima, hiyo sasa hivi inaanzia lini? bila ubishi ukilinganisha na profession zingine a teacher stands in a better chance to become a good wife than others. Tusisahau mchango wa elimu katika kupollute minds za wanadamu. Na hii haina maana kwamba kila Mwalimu anaweza kuwa mke bora au asiye mwalimu hawezi kuwa mke mwema
 
Mke mwema ni Engineer bana. Akisikia uzushi, anataka proof. Yuko bize, haongei sana. hana complication za mavazi.
 
Unajchanganya tu waalimu wa sasa hivi sio wake bora halafu tena ni Mama mtu mzima, hiyo sasa hivi inaanzia lini? bila ubishi ukilinganisha na profession zingine a teacher stands in a better chance to become a good wife than others. Tusisahau mchango wa elimu katika kupollute minds za wanadamu. Na hii haina maana kwamba kila Mwalimu anaweza kuwa mke bora au asiye mwalimu hawezi kuwa mke mwema

Safi sana. Nimeipenda.
 
Ukikosa mwalimu oa nesi nao pia wana maadili mazuri tu na ni watunza familia wazuri
 
hahahahah lol
mmhh of coz im a teacher .....
but the things i teach are very confidential .......
my class start at 8pm to 11pm...
u interested hahahahah lol

I am interested. Teach me twice in a week? Any fee? But do you agree that most teachers (like you) are good wives?
 
I am interested. Teach me twice in a week? Any fee? But do you agree that most teachers (like you) are good wives?

ur welcome my new student
we will start class on Monday 8pm and finish at 11pm..
all equipments are provided.....
is free for the first 3mnth...

mmmmhhhh mkuu ka unafundisha lazima uwe mzuri kwa unacho fundisha
huwezi fundisha kitu usicho kielewa...

usema ukweli nakubalia nawe kwa kiwango fulani walimu ni wake wazuri....
 
ur welcome my new student
we will start class on Monday 8pm and finish at 11pm..
all equipments are provided.....
is free for the first 3mnth...

mmmmhhhh mkuu ka unafundisha lazima uwe mzuri kwa unacho fundisha
huwezi fundisha kitu usicho kielewa...

usema ukweli nakubalia nawe kwa kiwango fulani walimu ni wake wazuri....
Now you are talking. Nakugongea na lisenkyu
 
ur welcome my new student
we will start class on Monday 8pm and finish at 11pm..
all equipments are provided.....
is free for the first 3mnth...

mmmmhhhh mkuu ka unafundisha lazima uwe mzuri kwa unacho fundisha
huwezi fundisha kitu usicho kielewa...

usema ukweli nakubalia nawe kwa kiwango fulani walimu ni wake wazuri....[/QUOTE]

Safi sana. Mimi naomba nianzie baby class. Nitumie course outline.
 
ur welcome my new student
we will start class on Monday 8pm and finish at 11pm..
all equipments are provided.....
is free for the first 3mnth...

mmmmhhhh mkuu ka unafundisha lazima uwe mzuri kwa unacho fundisha
huwezi fundisha kitu usicho kielewa...

usema ukweli nakubalia nawe kwa kiwango fulani walimu ni wake wazuri....[/QUOTE]

Safi sana. Mimi naomba nianzie baby class. Nitumie course outline.

huitaji hayo yote nimegundua nikiwafundisha wanafunzi wangu kwa vitendo wanaelewa vizuri...
hahahha lol
 
Kwa wale ambao waliingia ualimu kama wito ukimuwowa mmoja unakuwa umepata mke wa maana
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.
Salaamu !

 
Back
Top Bottom