Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

ndio maana niliamua kuoa housewife...yaani kabla sijaoa niliwatafuna walimu wengi. na walikuwa very simple kupata. hata badhi walikuwa married...baada ya kuona hivyo, nkaona hao sio watu wa kuoa maana they are simple to sneak out of marriage. wanatembea sana na maafisa elimu hasa pale wanapotaka uhamisho na wakiwa na shida mbalimbali zinazohusu kazi zao hata kupandishwa madaraja. na hii ni kwa kuwa hawana hela ya kuhonga basi wanaishia kuwahonga ngono hao maafisa i wa ver disapointed to get married to a teacher.
naungana moja kwa moja na Rose!!! mke wangu alitoka kwa mungu. kwishnei!!!


mke bora haina cha fan
its based on indvdual awarness.maadili aliyokulia na anavyoamin
PIGA OT KWA BWANA KUNA WAKE WEEEEEEEENG UKIOMBA UTAPEWA na siyo mnakagua chet mkitaka kuoa mtadanganyika.mnajidanganya.
unaweza kukuta mwanasheria akawa mama mzuri na uyo ticha wako akawa PASUA KICHWA.
 
mke bora haina cha fan
its based on indvdual awarness.maadili aliyokulia na anavyoamin
PIGA OT KWA BWANA KUNA WAKE WEEEEEEEENG UKIOMBA UTAPEWA na siyo mnakagua chet mkitaka kuoa mtadanganyika.mnajidanganya.
unaweza kukuta mwanasheria akawa mama mzuri na uyo ticha wako akawa PASUA KICHWA.

Basi Rose naomba nikutulize. Hata wanasheria ni wanandoa wazuri. By the way, wanaopata wanandoa wabovu, hawamwombi Mungu kabla ya ndoa?
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu!

Haka ka msemo kalimfanya bro wangu awe anashinda kanisani kusaka mke matokeo yake akaokota balaa akidahni mke mwema kumbe mama hafai kabisa alikuwa naye anasaka mume alivyofunga ndoa tu misukosuko ikaanza mama hatulii, kwa iyo bwana kupata mke mzuri zali tu likuangukie manake kwangu mimi ndoa ni kama kamari kuna kuliwa na kula hivyo ikitokea vyote poa tu...unajilipua kama kandahar.
 
Basi Rose naomba nikutulize. Hata wanasheria ni wanandoa wazuri. By the way, wanaopata wanandoa wabovu, hawamwombi Mungu kabla ya ndoa?

nalitambua ilo ndo mana nkasema kuwa mam mzur haina FANI ..na jinsi watu walivyoaminishwa et mwanasheria sjui si wamam wazuri na walimu yes wazuri..MIMI SIAMINI IVO. ndo mana nkawapinga that ao wanaozan si wamama wazuri ndo wenyewe na ao malaika wao walimu wanaweza kuwa vtuko ndoan
 
Haka ka msemo kalimfanya bro wangu awe anashinda kanisani kusaka mke matokeo yake akaokota balaa akidahni mke mwema kumbe mama hafai kabisa alikuwa naye anasaka mume alivyofunga ndoa tu misukosuko ikaanza mama hatulii, kwa iyo bwana kupata mke mzuri zali tu likuangukie manake kwangu mimi ndoa ni kama kamari kuna kuliwa na kula hivyo ikitokea vyote poa tu...unajilipua kama kandahar.

dah wewe umeingia kichwan mwangu?
jaman i kitu ni kamar as u said...UNAINGIA MGUU MMOJA THEN IKIKAA KIMCHONGOMA UNANYOTOKA TU...kamari ni nying sana nw days ..wu to trust iz bg bpm
 
Ndio Afrodenzi nilisha declare interest tangu mada ilipoanzishwa na kwa kweli ni Mwalimu mzuri and a good wife also

safi sana .....
hakuna kitu kinachonifurahisha ka mwanaume kumsifia mkeo ...
 
Haka ka msemo kalimfanya bro wangu awe anashinda kanisani kusaka mke matokeo yake akaokota balaa akidahni mke mwema kumbe mama hafai kabisa alikuwa naye anasaka mume alivyofunga ndoa tu misukosuko ikaanza mama hatulii, kwa iyo bwana kupata mke mzuri zali tu likuangukie manake kwangu mimi ndoa ni kama kamari kuna kuliwa na kula hivyo ikitokea vyote poa tu...unajilipua kama kandahar.

Nakusapoti. Akili za Biblia, changanya na 'common sense'. Ni lazima uwe na lengo, sio tu unaoa yeyote tu ati ametoka kwa BWANA. Weka vigezo, then mwombe BWANA.
 
nalitambua ilo ndo mana nkasema kuwa mam mzur haina FANI ..na jinsi watu walivyoaminishwa et mwanasheria sjui si wamam wazuri na walimu yes wazuri..MIMI SIAMINI IVO. ndo mana nkawapinga that ao wanaozan si wamama wazuri ndo wenyewe na ao malaika wao walimu wanaweza kuwa vtuko ndoan

Rose waua x 3. Tuimbe sote.
 
Walimu wake wazuri sana. Tanzania imebahatika kuwa na First Ladies walimu wawili.

1. Maria Nyerere
2. Salma Kikwete

Labda baadaye 2025 (Baada ya Katiba Mpya)
3. Alimuatusile Kashaijabutege
 
safi sana .....
hakuna kitu kinachonifurahisha ka mwanaume kumsifia mkeo ...
Eti eeh, kama ana sifa na hukulazimishwa kumwoa ni lazima apewe stahili yake, apewe big up. By the way kama sikosei umebadili avatar yako ndo kutekeleza ushauri wa Pauline ili wajomba wavutike? Natania tu
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?

The best way to understand this is to ask yourself, wewe mwenyewe ukienda coz ya ualim unahisi utabadilika kitabia.. kama ndiyo then OK, kama siyo then OK as well.

But my experience has been very positive kwa walimu wa zamani ambao wengi wao wameshastaafu au wako kwenye 50+ yrs but kwa hao wa under 50 yrs labda naweza kukubaliana na wewe kwa 10% tuu
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?

Ndugu yangu wewe upo dunia gani?wewe ni wahapahapa?au?kuna uhusiano gani kati ya ualim na mke mzuri?mimi ni mwalim nimesoma nao hao walimu,most of them ni dust,c wanawake c wanaume,any way mkeo alilelewa kimaadili,tambua hlo,na akayazngatia hayo maadili,so wewe inaonesha ulivokutana naye yeye baaasi,naiman hata mama yako alikua mke mzuri je nae ni mwalimu?kwa kizazi che2 cha leo hata huyo mwalim awe na PhD bado anaweza kukupasua kichwa!WALIMU WENG WALONIFUNDISHA NI DUST TENA HAWAFAI KITABIA,HAO NI WALE WA UPE.
Mshukuru mungu bt usipotoshe umma,watu wakahangaikia walimu,then wajilaumu
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.

Thanx rose,mwambie huyo,yeye alibahatisha embe jangwani,mi ni mwalimu na nimesoma nao hao wadada walim hapohapo kwa mkandala,sasa wale ndo wake wa kujivunia?
 
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:

huyo mdau ana mtazamo hasi,as a teacher simuung mkono unles alioa miaka ya 70,nimesoma na wadada kibao walim ni dust
 
asante kwa promo sijui ntachagua nani mwaka huu watavomiminika
 
Dah kuna jamaa angu Teller bank moja hivi wanayo tumia sana walimu alimpenda dada mmoja alikuwa kaja kuchukua pesa mwisho wa mwezi na jamaa angu alikuwa na dhamira nzuri tu ya kutangaza nia na aliweka bayana juzi nimekutana nae analia kweli kweli anasema atapata wapi mwanamke wa kumuoa nikamuuliza yule shem ticha vp akasema dah kanigeuza ATM yaani kila siku yeye matatizo hayaishi nikamwambia mkuu alivyo kuona pale Kaunta alijua zile pesa za bank zako au na wewe unamshahara mkubwa. Nikamwambia sasa inakuwaje? akaniambia hapo anaona hakuna love tena ni kuchunana tu
 
Ni imani yangu kuwa kila mtu ana mtazamo wake. kwanza I concur with the sentence, 'MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA'. Pili, maelezo ya Rose yana ukweli asilimia 20. SI walimu wote walifeli, wapo wailoopata first class wakaenda ualimu. Wapo walimu wazuri sana kuwa mke mwema na wapo waliotofauti. Jiwekee vigezo vya kumapata mke mwema.:A S crown-1:
 
Back
Top Bottom