Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
ndio maana niliamua kuoa housewife...yaani kabla sijaoa niliwatafuna walimu wengi. na walikuwa very simple kupata. hata badhi walikuwa married...baada ya kuona hivyo, nkaona hao sio watu wa kuoa maana they are simple to sneak out of marriage. wanatembea sana na maafisa elimu hasa pale wanapotaka uhamisho na wakiwa na shida mbalimbali zinazohusu kazi zao hata kupandishwa madaraja. na hii ni kwa kuwa hawana hela ya kuhonga basi wanaishia kuwahonga ngono hao maafisa i wa ver disapointed to get married to a teacher.
naungana moja kwa moja na Rose!!! mke wangu alitoka kwa mungu. kwishnei!!!
mke bora haina cha fan
its based on indvdual awarness.maadili aliyokulia na anavyoamin
PIGA OT KWA BWANA KUNA WAKE WEEEEEEEENG UKIOMBA UTAPEWA na siyo mnakagua chet mkitaka kuoa mtadanganyika.mnajidanganya.
unaweza kukuta mwanasheria akawa mama mzuri na uyo ticha wako akawa PASUA KICHWA.