The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
๐ ๐ ๐ ๐ sheihk kiboko yule.Si unaona sheikh anatoa ushuhuda kabisa kwamba vijidudu havifi mpaka siku mbili ina maana siku moja moja ana kaangaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐ ๐ sheihk kiboko yule.Si unaona sheikh anatoa ushuhuda kabisa kwamba vijidudu havifi mpaka siku mbili ina maana siku moja moja ana kaangaga
Sina uhakika mkuu ๐Ila bado mashehe wanakula kiti[emoji91] bila hiyana.
Duuh kitimoto uchemshe siku mbili, imekuwa nyama ya kenge hiyo, si utakuta nyama yote imekuwa uji sasaWana leta kifafa, minyoo ya kutosha, na vijidudu vyake kufa mpaka vichemshwe siku mbili nasikia [emoji28][emoji28][emoji28]
Hili alikuwa analitolea maelezo sheihk mmoja hivi.
takibir takibirPia ni laini na unaweza kula mpaka ngozi...kama kuku tu
Allah Akbar Sheikh,
Sasa wataalam wanaposema kwamba hao wadudu wana madhara, unadhani hawajui kama watu wengi wanaipika vizuri, karne hii nani anayekula nyama isiyoiva labda wamasai na jamii nyingine zinazofanana na hiyoAcha uongo,wadudu wanakufa kwa kupika kwa joto sahihi,sio kupika juu juu tu.
Tena yule sheihk alisema ni masaa 70 na at least ipikwe siku 2 ๐ ๐ ๐Duuh kitimoto uchemshe siku mbili, imekuwa nyama ya kenge hiyo, si utakuta nyama yote imekuwa uji sasa
Kumbe kenge ana nyama ngumu? BTW kenge analiwa?Duuh kitimoto uchemshe siku mbili, imekuwa nyama ya kenge hiyo, si utakuta nyama yote imekuwa uji sasa
Haha yani acha tu kuna watu wanakula asee nina ndugu yangu alienda course ya ukomando anakuambia huko maporini, mnakamata chochote ambacho siyo sumu mnapika mnakula (wanatembeaga na ile mibegi mizito inakuwa na vitu vingi ikiwemo baadhi ya zana za kupikia), siku wakakamata kenge anakuambia kila wakichemsha wakionja hola kitu hakiivi walichemsha masaa nane ndio ikaiva sasa sijui walikamata kenge wa aina gani huyoKumbe kenge ana nyama ngumu? BTW kenge analiwa?
Inaongeza idadi ya mashoga na wasagaji duniani.Na kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat
Na inawafanya mnakua laini hivyo hivyo.Pia ni laini na unaweza kula mpaka ngozi...kama kuku tu
Allah Akbar Sheikh,
Binafsi najua tu machimbo ya kule Zanzibar na Mkuranga
Sio kweli watu wengi wanadhani ni nyama nyeupe ila ni nyekundu ...Na kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat
Sio kweli watu wengi wanadhani ni nyama nyeupe ila ni nyekundu ...
Wagonjwa wangu wengi nikiwaambia kuwa kitimoto ni nyama nyekundu huwa wanashangaa sana
Sasa wataalam wanaposema kwamba hao wadudu wana madhara, unadhani hawajui kama watu wengi wanaipika vizuri, karne hii nani anayekula nyama isiyoiva labda wamasai na jamii nyingine zinazofanana na hiyo
Inaongeza idadi ya mashoga na wasagaji duniani.
Kaa nayo mbali
Kwa Dan au sioFika kituo kinaitwa chagan utakutabpub moja inaitwa aina pub basi hapo kaa kwa kutulia agiza mzigo utaenjoy mwenyewe...... Chagan ni kituo kipo kutoka mnadadi kuja ferry imepakana na kambi ya jeshi upande wa shule ya navy
Kwa d ni mbeleKwa Dan au sio
Sasa haya maswali muwe mnawahoji hao wataalam, huwezi kupinga tu kienyeji maana tafiti hupingwa kwa tafiti, kitimoto wengi tunakula mkuu lakini kula hakufanyi tufumbie macho madhara yakeUmesikiliza wanasayansi wa saudia,china kitimoto ndio nyama kuu inayoliwa nipe hizo case za magonjwa yatokanayo na minyoo wa kwenye nguruwe.
Nyama yoyoye hata ya ngombe usipoivisha vzr lazima utapata minyoo sio kitimoto tu.