Maeneo Yale ni hatari Yan ukiwa barabarani huwa harufu inaskikaFika kituo kinaitwa chagan utakutabpub moja inaitwa aina pub basi hapo kaa kwa kutulia agiza mzigo utaenjoy mwenyewe...... Chagan ni kituo kipo kutoka mnadadi kuja ferry imepakana na kambi ya jeshi upande wa shule ya navy