Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
😁😁😁😁Kuna ile kitimoto inapikwa inakauka kama jabali hiyo hapana aise.
Bora kunywa dawa ya minyoo hakuna namna maana si kwa ukavu ule
Hakuna dalili ya kuacha nyama hapa. Endelea kubugia vidonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁Kuna ile kitimoto inapikwa inakauka kama jabali hiyo hapana aise.
Bora kunywa dawa ya minyoo hakuna namna maana si kwa ukavu ule
Geez Grill ipo Kigamboni kwa Mwingira, ni njia kama unaelekea Mikadi Beach Kama Km 5 ukitokea Ferry. Jamaa ni professianal aisee!Kwa mtu anaefaham kitimoto Safi mahali inapopatikana kigamboni Msaada iwe nzuri sio ya kupunja
Location
Kabisa😁😁😁😁😁😁😁
Hakuna dalili ya kuacha nyama hapa. Endelea kubugia vidonge
Mkuu kwanzia kibada shule mpaka süpermarket hapo katikati hakuna sehemu ya kitimoto?sitaki enda mbaliUkishamaliza daraja nyoosha then round about - pandisha juu kidogo tu kama unakwenda kibada, just 50m kutoka round about utaona kijiwe upande wa kushoto kata hapo weka kambi hutajilaumu - kingine kule jamaa anasema fika kibada stend, nyoosha kama unakwenda mji mwema - upande wako wa kulia ulinzia club inaitwa JEMBE - pembeni yake kuna kijiwe pale - hutajilaumu vile vile.
Kazi kwako.
Ukienda pharmacy watakuelewesha maana wanajua. Sema umekula kitimoto na watakupa dozi. Mara nyingi ni ya kunywa tu mara moja au kama hujakunywa muda mrefu unaweza kupewa nyingineDawa ya minyoo yoyote tu mkuu. Mimi sio mlaji sana ila nataka kujua maana kuna sehemu unaweza kula labda cha kuokwa na hakikukaushwa vizuri
Mcheki yeriko Nyerere mbutu block eKwa mtu anaefaham kitimoto Safi mahali inapopatikana kigamboni Msaada iwe nzuri sio ya kupunja
Location
Shukrani brother 🙏🏽Ukienda pharmacy watakuelewesha maana wanajua. Sema umekula kitimoto na watakupa dozi. Mara nyingi ni ya kunywa tu mara moja au kama hujakunywa muda mrefu unaweza kupewa nyingine
Sasa haya maswali muwe mnawahoji hao wataalam, huwezi kupinga tu kienyeji maana tafiti hupingwa kwa tafiti, kitimoto wengi tunakula mkuu lakini kula hakufanyi tufumbie macho madhara yake
AngekuwepoApo tu ndio naonaga umuhimu wa wakristo , wasingekuwepo huyu mdudu mtam sidhani kama angekuwepo tena humu duniani.
Sure , kama wachina wanamtafuna hatari.Angekuwepo
Kuna Nguruwe Pori
Pia wasiomtaka Nguruwe ni hao wa mtume fulani tu.
Dunia ina wengine wengi wala Mdudu
Hakuna anaeweza kujua statistics za Chinese people. Hata ukitaka kujua idadi ya walemavu China huwezi kupata.China ndio nyama pendwa nitajie idadi ya mashoga dini zimewafanya mmekua wapumbafu
Hiko kijiwe cha round about wanapima kidogo alafu haina radha kabisa. Nilikula siku moja sijawai kurudiUkishamaliza daraja nyoosha then round about - pandisha juu kidogo tu kama unakwenda kibada, just 50m kutoka round about utaona kijiwe upande wa kushoto kata hapo weka kambi hutajilaumu - kingine kule jamaa anasema fika kibada stend, nyoosha kama unakwenda mji mwema - upande wako wa kulia ulinzia club inaitwa JEMBE - pembeni yake kuna kijiwe pale - hutajilaumu vile vile.
Kazi kwako.
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al
Kuna chimbo lipo vijibweni naweza kukuelekeza kumbe unakaa kibadaKwa mtu anaefaham kitimoto Safi mahali inapopatikana kigamboni Msaada iwe nzuri sio ya kupunja
Location
Ndio mboga Yao kuu hiyo.Sure , kama wachina wanamtafuna hatari.