Kwa anaejua chimbo Kali la kitimoto kigamboni

Kwa anaejua chimbo Kali la kitimoto kigamboni

Ukishamaliza daraja nyoosha then round about - pandisha juu kidogo tu kama unakwenda kibada, just 50m kutoka round about utaona kijiwe upande wa kushoto kata hapo weka kambi hutajilaumu - kingine kule jamaa anasema fika kibada stend, nyoosha kama unakwenda mji mwema - upande wako wa kulia ulinzia club inaitwa JEMBE - pembeni yake kuna kijiwe pale - hutajilaumu vile vile.

Kazi kwako.
 
Ukishamaliza daraja nyoosha then round about - pandisha juu kidogo tu kama unakwenda kibada, just 50m kutoka round about utaona kijiwe upande wa kushoto kata hapo weka kambi hutajilaumu - kingine kule jamaa anasema fika kibada stend, nyoosha kama unakwenda mji mwema - upande wako wa kulia ulinzia club inaitwa JEMBE - pembeni yake kuna kijiwe pale - hutajilaumu vile vile.

Kazi kwako.
Mkuu kwanzia kibada shule mpaka süpermarket hapo katikati hakuna sehemu ya kitimoto?sitaki enda mbali
 
Dawa ya minyoo yoyote tu mkuu. Mimi sio mlaji sana ila nataka kujua maana kuna sehemu unaweza kula labda cha kuokwa na hakikukaushwa vizuri
Ukienda pharmacy watakuelewesha maana wanajua. Sema umekula kitimoto na watakupa dozi. Mara nyingi ni ya kunywa tu mara moja au kama hujakunywa muda mrefu unaweza kupewa nyingine
 
Sasa haya maswali muwe mnawahoji hao wataalam, huwezi kupinga tu kienyeji maana tafiti hupingwa kwa tafiti, kitimoto wengi tunakula mkuu lakini kula hakufanyi tufumbie macho madhara yake

Mkuu kwanini iwe kitimoto tu,magojwa ya wanyama na namna ya kuyadhibiti tumeyasoma,shida kitimoto wapuuzi wa dini wameingilia kuizushia mambo mengi ya hovyo.

Ila ni nyama safi na nzuri kuliwa na binadamu chamsingi ni kuipika iive tu.
 
China ndio nyama pendwa nitajie idadi ya mashoga dini zimewafanya mmekua wapumbafu
Hakuna anaeweza kujua statistics za Chinese people. Hata ukitaka kujua idadi ya walemavu China huwezi kupata.
Achana na Dini.
Hapa ni facts tupu.
Tazama nchi ambazo tunaweza kupata ripoti. SIO utoe mfano wa nchi za usiri wa kipuuzi.

Nyama ya nguruwe hivi sasa ni marufuku kwenye shule zote USA na UK.
We endelea kula
Kisha tazama kizazi chako km kitakuwa salama.
Jeuri siku zote inaponza.
 
IMG_9680.jpg
 
Ukishamaliza daraja nyoosha then round about - pandisha juu kidogo tu kama unakwenda kibada, just 50m kutoka round about utaona kijiwe upande wa kushoto kata hapo weka kambi hutajilaumu - kingine kule jamaa anasema fika kibada stend, nyoosha kama unakwenda mji mwema - upande wako wa kulia ulinzia club inaitwa JEMBE - pembeni yake kuna kijiwe pale - hutajilaumu vile vile.

Kazi kwako.
Hiko kijiwe cha round about wanapima kidogo alafu haina radha kabisa. Nilikula siku moja sijawai kurudi

Kuna kijiwe nimepiga juzi rosti, kipo Darajani Nunge pembeni ya Malaika Restaurant. Mzigo wa kutosha ujazo ule ule
 
Huwa inaingia kwenye category ya red meat yani wanyama wengi wenye miguu minne wanaoliwa nyama yao inaingia kwenye category ya red meat, na nyama ya nguruwe wanasema ni kati ya nyama zenye vijidudu vingi ambavyo haviondoki kwa kupikwa na ukila vina madhara kwa binadamu vikiingia mwilini vinazaliana, wanyama wanaoingia kwenye category ya white meat ni baadhi ya samaki na ndege wanaoliwa kama kuku, bata, et al

Hizi story za vijidudu sijui minyoo kuliko wanyama wengine ni story tu za vijiweni . Wanyama wote wanaofugwa wana minyoo au wadudu hawa na kinachosababisha ni mazingira ya ufugaji. Mdudu kama E coli wanashambulia san Ngombe na ni wadudu deadly hatari . Aina ya Ufugaji ndo chanzo kikuu cha wadudu hawa. Hawa wanyama tunaokula kwa sasa awe mbuzi ngombe kondoo nguruwe hata samaki ni vyema kutambua pia wanapigwa ma antibiotic mengi sana yan mengi sana mpaka anafika mezani kwako. Ila kumu isolate nguruwe ni story za vijiweni tu kutetea imani ya wasiokula na fact ni kwamba nguruwe na kuku ndo nyama zinaliwa kwa wingi kuliko nyama yoyote ile duniani..

 
Kigamboni uku inapatikana Rombo pub,mnadan kuna bar flan pemben ya uwanja Tu,Kwa asimwe lugaba pale round about Kwa mbele,escrow pub,af kuna bar nyngne huku tungi mbele kidog ya masjid bin twalib soko maziwa road,kibada shule pale napo mzgo upo,geza juu Kwa mama koku mzgo upo,big stone uku mjimwema road mzgo upo, sehem zngne ndichii Zaid njoon pm tujuzane zaid
 
Back
Top Bottom