INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

INAWEZEKANA,

Games store huwezi kuwa na Computer pekee,kwasababu si games zote wateja wanaenda chezea kwenye computer,61% wateja wa games wanaenda chezea kwenye PS.

Kwahiyo itakubidi kwenye games store yako unapoifungua uwe na PS humo ndani za kuchezeshea games na kuelekeza wateja mawili matatu kuhusu games wanazochukua kwako.

Mteja anaweza kuja kwako kutaka game ya PES lakini akakuta unaplay Call of DUTY akalipenda ila hajui licheza, hivyo n wajibu wako kumuelekeza chap chap basic step za kulicheza call of duty.

Baada ya hapo atanunua yote mawili PES + Call of Duty,ila mwanzo alikuja na wazo la kufata game 1 tu lkn umemshawishi kwasabbu amekuta PS ndani ina call of duty,akashawishika.

GAMES STORE nadhani ni ya kibabe zaidi na niwachache wenye nazo Nimekagua kagua nikagundua wengi waliopo wanachezesha Games,yani wana PS za kutosha humo ndani ila hawana Games za kuuzia wateja.

Na wakiwa nazo ni zile games ambazo tu wanachezesha wao.ila kwakua wewe unafungua GAMES STORE na lengo lako hasa si kuchezesha bali kuuza GAMES nadhani wale wenye PS wachezesha watu Games wote watakua wateja wako,ki ufupi kufupisha Maelezo GAMES STORE ni ya KIBABE SANA

LAKINI

Games Store si kama Movie Store,movie store unaweza anza hata na 50k ila Games Store mtaji wake BABA acha kazi ufanye kazi,watu nimewatajia 4M wanatafutana,GAMES store mtaji wake N malaika tu wa mbinguni ajuae.

Computer ya MOvie store si sawa na ya Gamer
Computer ya Gamer mpk inakamilika kucheza Games zote (bei yake n moto fire)

Ki ufupi GAMES STORE sio rahisi kama MOVIE STORE but the more the cost the more the Profit.. Games Store n biashara ya ki boss sana Mkuu usi i underestimate hata kidogo,usije ukawa na ka 1M kako ukaanza fikiria kufungua Games Store utasingizia watu wamekuloga. 1M hata mashine tu ya GAMER haitoshi so JIPANGE kabla hujadumbukia eneo hilo.
Mkuu upo deep sana, na umemweleza ukweli mtupu. Games store si mchezo, maana PS lazima uanzie kidogo 4 ambayo bei imechangamka iwe used / new.. kuna Pads na kuharibika ni kugusa tu, flat tv's / screens, computer, bado games zenyewe kuzipata bei yake au kudownload mengine yana gb za kutosha unaeza kaa siku 3 halijamaliza kudownload, kodi ya chumba cha biashara, umeme, usafi, osha, tra, bado hujagombana na wenyeviti wa mtaa na wazazi unaharibu watoto / wanafunzi n.k rahisi kuiona watu wanaifanya / kukuta vitoto vinacheza ukaichukulia kawaida, ila uwekezaji wake si mchezo, na pesa ipo sio ya mawazo, kuna watoto wa kiarabu wakipajua wanakuja kushinda siku nzima wanacheza, ukiweka na juice, sijui crips na vidude dude vingine utazikimbia hela aisee
 
hyo naipata iko kwenye kona, kuna moja ipo mipango siku hyo nili mkuta ana weka branding aise, itoshe kusema kuwa naheshimu sana movie store.
nilitaja movie 10 unique lakini mtu anaijua mpaka kero.
na ana mzigo wa kushata tokea 19951-2021 na ni movie zote mpaka latest.
Jamaa ni lecture wa chuo cha mipango hapo dom
 
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu
unakuta mtu anatumia window 10 au 11 halafu bado ka instal antivirus zingine kwenye mashine,nashindwaga elewa hasa anakua anatafuta nini,ni fashion au ni security TU.

Kuna mteja wangu yeye ni mbishi Laptop yake bila Kaspersky humwambiii kitu anahisi bado haijakamilika kabisa, akijaga nalamba 100k yake natia mfukoni halafu namuekea TRIAL lake la 90days...
 
Yaaap na alteza alikuwaga supervisor wangu aseeeeee nlienjoy ni bonge la mtu aseeee
Mtu akishakua na pesa akiwa hana shida ndogo ndogo Hata kama afanye kazi ya kubeba zege watu mlio karibu nae lazima mtasema mwana ana roho nzuri sanaa,maana n kweli ukishakua na hela automaticaly shetani anaendaga mbaliiiiii kuna karoho flan ka upendo amani kwa wengine kanakujaga automaticaly.
 
mengine yana gb za kutosha unaeza kaa siku 3 halijamaliza kudownload
Screenshot_5.png


Hayo ni baadhi kama ni movie tunasema hizo ni trailer, kama ni chakula tunasema hapo umeonjeshwa TU.

Mziki ni pale setup ya game unakuja kukuta ishaliwa na virus au ime corrupt means unatakiwa udownload Upyaaaa,Hii biashara kwanza ukiifanya nadhani

Hutakiwi kuwa na Hasira za karibu
Hutakiwi kuwa na Ugonjwa wowote wa Moyo
Hutakiwi kuwa na Afya legelege yani uwe physicaly and mentaly FIT.

Otherwise ni biashara flani ambayo unaamka unawambia watoto wajiandae jioni tukirudi tunaenda OUT na mfukuni wakati huo huna hata sumni,ila kitendo chakufungua ofisi kukaa masaa kadhaaa wallet ina majibu ya out ikalike Serena au Kempiski...
 
unakuta mtu anatumia window 10 au 11 halafu bado ka instal antivirus zingine kwenye mashine,nashindwaga elewa hasa anakua anatafuta nini,ni fashion au ni security TU.

Kuna mteja wangu yeye ni mbishi Laptop yake bila Kaspersky humwambiii kitu anahisi bado haijakamilika kabisa, akijaga nalamba 100k yake natia mfukoni halafu namuekea TRIAL lake la 90days...
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sana chief..
 
View attachment 2162679

Hayo ni baadhi kama ni movie tunasema hizo ni trailer, kama ni chakula tunasema hapo umeonjeshwa TU.

Mziki ni pale setup ya game unakuja kukuta ishaliwa na virus au ime corrupt means unatakiwa udownload Upyaaaa,Hii biashara kwanza ukiifanya nadhani

Hutakiwi kuwa na Hasira za karibu
Hutakiwi kuwa na Ugonjwa wowote wa Moyo
Hutakiwi kuwa na Afya legelege yani uwe physicaly and mentaly FIT.

Otherwise ni biashara flani ambayo unaamka unawambia watoto wajiandae jioni tukirudi tunaenda OUT na mfukuni wakati huo huna hata sumni,ila kitendo chakufungua ofisi kukaa masaa kadhaaa wallet ina majibu ya out ikalike Serena au Kempiski...
Ndio yale ulikuwa unasema halafu anakuja mteja na elfu 2 anakwambia naomba game dah, ila ni biashara yenye pesa sana basi tu, yaani umekaa tu ila unapiga hela kwa siku mtu wa duka la rejareja akaroge kukufikia na wala huna hata kazi ngumu [emoji23]
 
Yeah kwa dodoma ndio baba lao, Huyo B.O.B kafungua dodoma juzi juzi tu hapa (2021) ila kwa moto wa B.O.B cipherdot atapwaya muda si mrefu maana B.O.B ndio VUNJABEI huyo ana sifa hela ipo hapo,ukiingia ofisi zake unaweza hisi upo ikulu kwa mama samia kulivyo kuzuri.

Huyo Kukunja 1M per day ni jambo la kawaida sanaaaa maana ana huduma kibao ndani ya ofisi zake hauzi movie peke ake,ana juice glass ni 10k na maudambwi dambwi mengine kibaooo.
Bob paak ana branch yake pale Survey, dah ule uwekezaji wake sio wa kitoto, jamaa kujipanga haswa
 
Yeah kwa dodoma ndio baba lao, Huyo B.O.B kafungua dodoma juzi juzi tu hapa (2021) ila kwa moto wa B.O.B cipherdot atapwaya muda si mrefu maana B.O.B ndio VUNJABEI huyo ana sifa hela ipo hapo,ukiingia ofisi zake unaweza hisi upo ikulu kwa mama samia kulivyo kuzuri.

Huyo Kukunja 1M per day ni jambo la kawaida sanaaaa maana ana huduma kibao ndani ya ofisi zake hauzi movie peke ake,ana juice glass ni 10k na maudambwi dambwi mengine kibaooo.
Umenifumbua macho, siku zote najua B. O. B ni Nyandu Tozz, kumbe ni Vunja Bei [emoji119]
 
Back
Top Bottom