sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kipindi anaingia Mwinyi sikuwa bado nimezaliwa ila niliskia kwamba aliingizwa kwa kiasi kikubwa na Nyerere aje kutawala huku.
Rais Mheshimiwa wa sasa pia anafanya kazi yake vizuri lakini nae kaingia madarakani baada ya Magufuli kufariki ikabidi arithishwe urais kwa mujibu wa katiba.
Ingefaa siku rais anaetokea Zanzibar apigiwe kura na watanzania bara ambayo zamani ilikuwa ni Tanganyika
Rais Mheshimiwa wa sasa pia anafanya kazi yake vizuri lakini nae kaingia madarakani baada ya Magufuli kufariki ikabidi arithishwe urais kwa mujibu wa katiba.
Ingefaa siku rais anaetokea Zanzibar apigiwe kura na watanzania bara ambayo zamani ilikuwa ni Tanganyika