Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

Maziwa ya mama ni muhimu kwa miezi 6 lakini sio lazima mtoto anyonye miaka2 tena hao wanaoachishwa mapema wanakuwa smart sana


Unapingana na Mungu anayesema WATIMIZE KUNYONYA MIAKA 2 ?!!, hayo ndio madhara tunayoyaona katika jamii yetu, hata watumishi wa umma waliopewa dhamana ya kuongoza umma tumewaona wanashindwa kusoma mikataba vyema na hivyo kusaini mikataba ya hovyo ya kuhujumu taifa maana yake ni hata hao unasema ni smart, they are not at all ukiwaweka mbele ya wenzao walioshiba maziwa ya mama zao for 2 complete years.

Wacha wewe maziwa ya mama; ya ngombe, Lactogen, nk, hayafui dafu tena ukute mama mwenyewe ni wa KIENYEJI anayekula vyakula vya asili, wacha weee, maziwa yake ni hatari, sio ya hao akina @SkyEclat akina mama wa kisasa.🤣🤣🤣
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Yaani badala ya kumshauri kuitoa hiyo mimba, jaribu kumshawishi akukubalie wewe ujinyonge hadi kufa. Kuku wa supu wewe.....
 
Unapingana na Mungu anayesema WATIMIZE KUNYONYA MIAKA 2 ?!!, hayo ndio madhara tunayoyaona katika jamii yetu, hata watumishi wa umma waliopewa dhamana ya kuongoza umma tumewaona wanashindwa kusoma mikataba vyema na hivyo kusaini mikataba ya hovyo ya kuhujumu taifa maana yake ni hata hao unasema ni smart, they are not at all ukiwaweka mbele ya wenzao walioshiba maziwa ya mama zao for 2 complete years.

Wacha wewe maziwa ya mama; ya ngombe, Lactogen, nk, hayafui dafu tena ukute mama mwenyewe ni wa KIENYEJI anayekula vyakula vya asili, wacha weee, maziwa yake ni hatari, sio ya hao akina @SkyEclat akina mama wa kisasa.🤣🤣🤣
MUNGU huyo ndiye anayewapa akili, afya na nguvu watoto wote uwe umenyonya miezi 6, 9 au mwaka1.
 
Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Unataka kuwa muuaji kwa kurinda heshima mtaani. Ikitokea(siombei itokee) wakati wakutoa Mimba Mungu nae akamchua mkeo. Heshima yako itakuwa wapi .
 
MUNGU huyo ndiye anayewapa akili, afya na nguvu watoto wote uwe umenyonya miezi 6, 9 au mwaka1.


Unataka kusema hata watoto wenye mtindio wa akili na walemavu ni Mungu ndiye aliyewafanya hivyo??!!
 
Unataka kusema hata watoto wenye mtindio wa akili na walemavu ni Mungu ndiye aliyewafanya hivyo??!!
Kwani wenye hizo changamoto ndio unatakakusema walinyonya chini ya miaka2? Hoja ni kwamba MUNGU anamlinda kila mtu unyonye miezi 6,9 au mwaka1
 
Kwani wenye hizo changamoto ndio unatakakusema walinyonya chini ya miaka2? Hoja ni kwamba MUNGU anamlinda kila mtu unyonye miezi 6,9 au mwaka1


Maana yangu ni kwamba kuna baadhi ya matatizo kwa watoto wazazi huwa ndio vyanzo, mfano mama ni mjamzito halafu anakunywa pombe na ujauzito mtoto akizaliwa na abnormalities halafu tunamsingizia Mungu, ni katika msingi huo huo Mungu anasema tukinyonyesha kwa miaka 2 tutakuwa tumetimiza muda wa kunyonyesha sisi bila udhuru wa msingi hatutaki kutimiza muda huo ikitokea mtoto anapofika umri wa miaka zaidi ya miwili akiwa na afya mbaya tunamsingizia Mungu, matatizo tusababishe sie lawama tumtupie Mungu ambaye ametuelekeza tunyonyesha kwa kutimiza miaka 2.
 
Maana yangu ni kwamba kuna baadhi ya matatizo kwa watoto wazazi huwa ndio vyanzo, mfano mama ni mjamzito halafu anakunywa pombe na ujauzito mtoto akizaliwa na abnormalities halafu tunamsingizia Mungu, ni katika msingi huo huo Mungu anasema tukinyonyesha kwa miaka 2 tutakuwa tumetimiza muda wa kunyonyesha sisi bila udhuru wa msingi hatutaki kutimiza muda huo ikitokea mtoto anapofika umri wa miaka zaidi ya miwili akiwa na afya mbaya tunamsingizia Mungu, matatizo tusababishe sie lawama tumtupie Mungu ambaye ametuelekeza tunyonyesha kwa kutimiza miaka 2.
MUNGU Ameelekeza wapi kuwa kunyonya/kunyonyeshwa ni miaka2? Amesema zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi
Tambua Imani haiondoi Akili
 
MUNGU Ameelekeza wapi kuwa kunyonya ni miaka2? Amesema zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi
Tambua Imani haiondoi Akili


Hata mbuzi na nguruwe, ng'ombe na sisimizi nk, nao wanazaa kuijaza dunia ni wapi Mungu kawaambia wazae kuijaza dunia ??!!.

Sisi binadamu tunapoambiwa tuijaze dunia sio kuijaza kama jinsi nguruwe, mbwa, kuku nk, wanavyoijaza dunia, sisi ni wanyama wenye kujitambua na disciplined kwa maana hiyo kuijaza kwetu lazima kuwe disciplined na ndio maana Mungu akasema katika Quran Mama ATIMIZE miaka 2 kunyonyesha katika hiyo miaka 2 miwili kama mama atanyonyesha vyema mtoto basi UWEZEKANO WA KUPATA MIMBA ISIYOTARAJIWA NI MDOGO SANA hivyo sasa utaona ndani ya hiyo miaka miwili kuna; 1--family planning, 2---Kujenga afya ya mtoto anayenyonya, matokeo yake ni kupata uzao mchache wenye afya ya kimwili na kiakili hivyo kuwa na taifa lenye watu wanaojitambua na hivyo kupata maendeleo ya haraka kwani afya za watu ni moja ya kigezo kikubwa cha maendeleo ya taifa lolote.
 
Daah!! Poleni na hongereni sema hapo kikubwa funga macho usiwasikilize walimwengu muache mkeo atunze hiyo mimba aje akuzalie mtoto na baada ya hapo ndo mjifunze kutumia uzazi wa mpango au hata kama ni kalenda basi muifuate.
 
Mungu akasema katika Quran Mama ATIMIZE miaka 2 kunyonyesha katika hiyo miaka 2 miwili kama mama atanyonyesha vyema mtoto basi UWEZEKANO WA KUPATA MIMBA ISIYOTARAJIWA NI MDOGO SANA hivyo sasa utaona ndani ya hiyo miaka miwili kuna; 1--family planning,
Sio lazima. kwahiyo walionyonya chini ya miaka hiyo wamemkosea.
 
Pumbavu Sana wewe kijana badala ya kushukuru mola kakuzawadia mtoto wewe unageukia baraka zako kwa kushusha lawama humu kwa mkeo

Wanaume Kama hawa bora hata mungu angewanyima kizazi

Mother fuckkkkkk
 
Daah!! Poleni na hongereni sema hapo kikubwa funga macho usiwasikilize walimwengu muache mkeo atunze hiyo mimba aje akuzalie mtoto na baada ya hapo ndo mjifunze kutumia uzazi wa mpango au hata kama ni kalenda basi muifuate.
Uzazi wa mpango wa nini shezzzz

Zaeni Kama nguchiro mungali nguvu mnazo za kuwalea watoto wenu
 
Sio lazima. kwahiyo walionyonya chini ya miaka hiyo wamemkosea.


Sio walionyonya/ walionyonyweshwa bali wamama walionyonyesha chini ya muda huo ndio wamekaidi agizo la Mungu na wamefanya ukatili kwa watoto wao. Mtoto aliyenyonyeshwa hana hatia hapo.
 
Back
Top Bottom