Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Hapo ni baada ya kutoka bandarini sijaweka hata plate namba
 
Wakuu habari za asubuhi.

Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.

Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.

Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.

Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.

Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.

Natanguliza shukrani za dhati.
Nunua bajaji aina ya TVS lita moja 50km. Kijijini kibondo utaenda na basi la saratoga
 
Nunua bajaji aina ya TVS lita moja 50km. Kijijini kibondo utaenda na basi la saratoga
Cheki picha, nilinunua Subaru Forester L.L Bean Edition, 1994 cc. Ina wiki tatu tangu ifike bongo na kuanza kuitumia
 
Nani alikwambia naishi kibondo? Ishu ya gari nimeshamaliza. Ni moja ya malengo niliyojiwekea mwaka huu. Limetimia!
Safi sana kiongozi. Kuishi kwa malengo.
Nimeikubali chuma. Inakimbia kua makini sana.
 
Kwa safari tu mizinguko ya hapa na pale safari ni zile ndefu , kahama Songea Mtwara, Kahama ,katavi Sumbawanga mbeya
Nunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoy
 
Nunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoy
Kwamba harrier hizi tako la nyani au old model kwa hiyo bei mkuu na nimetafuta sana karibia site zote japani nimekosa
 
Nunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoy
Na kwa nini isiwe hiyo hapo juu mkuu nipe taarifa kamili
 
Wakuu habari za asubuhi.

Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.

Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.

Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.

Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.

Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.

Natanguliza shukrani za dhati.
Premio
 
I
Safi sana kiongozi. Kuishi kwa malengo.
Nimeikubali chuma. Inakimbia kua makini sana.
Inakimbia balaa, ndani ya mita 50 inakuwa imefika speed 100 kama umekanyaga mafuta mengi. Kwenye mlima inapita kama tambarare tu. Hawa jamaa wa vx sijui v8, sijui nini, naenda nao bila shida. Inanguvu balaa
 
Back
Top Bottom