Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua bajaji aina ya TVS lita moja 50km. Kijijini kibondo utaenda na basi la saratogaWakuu habari za asubuhi.
Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.
Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.
Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.
Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.
Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Inategemea unatakanitumia kwa nnMilioni 20 ni gari gani inafaa mid suv
Safi sana kiongozi. Kuishi kwa malengo.Nani alikwambia naishi kibondo? Ishu ya gari nimeshamaliza. Ni moja ya malengo niliyojiwekea mwaka huu. Limetimia!
Kwa safari tu mizinguko ya hapa na pale safari ni zile ndefu , kahama Songea Mtwara, Kahama ,katavi Sumbawanga mbeyaInategemea unatakanitumia kwa nn
Nunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoyKwa safari tu mizinguko ya hapa na pale safari ni zile ndefu , kahama Songea Mtwara, Kahama ,katavi Sumbawanga mbeya
Kwamba harrier hizi tako la nyani au old model kwa hiyo bei mkuu na nimetafuta sana karibia site zote japani nimekosaNunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoy
Na kwa nini isiwe hiyo hapo juu mkuu nipe taarifa kamiliNunua harrier iwe cc2360 na engine iwe vvti.usichukue kwa mtu agiza Japan. Milage iwe chini ya 100000.kununua kila kitu mil 17.3 ikifika tu piga tail mpya .shock up mpya battery mpya .na service kubwa laki tano .utaenjoy
Mm nimefata bajet yako na ulichoandika .huko hatabsijasomaKwamba harrier hizi tako la nyani au old model kwa hiyo bei mkuu na nimetafuta sana karibia site zote japani nimekosa
PremioWakuu habari za asubuhi.
Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.
Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.
Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.
Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.
Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Boss kwa hii Budget yake C.I.F tu inaweza isitoshe kwa Premio 😀😀Premio
Inakimbia balaa, ndani ya mita 50 inakuwa imefika speed 100 kama umekanyaga mafuta mengi. Kwenye mlima inapita kama tambarare tu. Hawa jamaa wa vx sijui v8, sijui nini, naenda nao bila shida. Inanguvu balaaSafi sana kiongozi. Kuishi kwa malengo.
Nimeikubali chuma. Inakimbia kua makini sana.