Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Suzuki Maruti, Mafuta Inanusa Kama UgoroHalafu Ni 4X4 ManualHivi haka kagari kanaitwaje
Hicho Chuma Hakina Fashion Kipo Miaka Tele
GARI Ipo Juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suzuki Maruti, Mafuta Inanusa Kama UgoroHalafu Ni 4X4 ManualHivi haka kagari kanaitwaje
Hiyo Ni gypsySuzuki Maruti, Mafuta Inanusa Kama UgoroHalafu Ni 4X4 Manual
Hicho Chuma Hakina Fashion Kipo Miaka Tele
GARI Ipo Juu
Chuma Hicho Na Sasa Kinatema ChecheHiyo Ni gypsy
Kwamba haiishi fashion au Ni kipenda roho chako tu
Mkuu unataka kuniambia hii subaru inatumia chini ya Km 10 kwa lita? Nataka gari inayotumia lita 1 kuanzia Km 10 - 15. Bajeti yangu ya mafuta kwa mwezi ni 180,000/, hii ni hela nauli ninayotumia kwa mwezi. Nataka niibadiri iwe hela ya mafuta. Mizunguko yangu kwa siku ni Km 10, imegawanyika kwenye umbali wa Km mbili mbili. Mpaka sasa ni kati ya Subaru na Spacio ndiyo zipo kwenye mpangoKama lengo kubwa ni fuel consumption, achana na magari yenye zaidi ya 1500cc. Mbali ya CIF na TRA, gharama nyingine ni za bima na bandarini (hizi in most cases huwa hazizidi milioni 1).
Umepiga hesabu ya spea na matengenezoMkuu unataka kuniambia hii subaru inatumia chini ya Km 10 kwa lita? Nataka gari inayotumia lita 1 kuanzia Km 10 - 15. Bajeti yangu ya mafuta kwa mwezi ni 180,000/, hii ni hela nauli ninayotumia kwa mwezi. Nataka niibadiri iwe hela ya mafuta. Mizunguko yangu kwa siku ni Km 10, imegawanyika kwenye umbali wa Km mbili mbili. Mpaka sasa ni kati ya Subaru na Spacio ndiyo zipo kwenye mpango
Toyota sienta hapana mkuu...ni bora ununue wishNimeendelea kufanya utafiti nimegundua zipo gari nyingi ambazo ni familly car na zina ukubwa wa engine (CC) wa kawaida tu kama vile HONDA STREAM, VOLKSWAGEN TOURAN, MAZIDA PREMACY, SUBARU EXIGA, TOYOTA SIENTA, n.k lakini upatikanaji wa spea ndiyo tatizo na zipo chini sana (ground clearance) maana matumizi yangu yanahusisha mchanganyiko wa njia za vumbi na lami. Mpaka sasa ninafikiria Spacio, Raum na Honda CR-V, bajeti zake naweza kuongezea kidogo nikapata.
Chukua used kwa mtu anaedaiwa mkopo au aliyezidiwa madeni inakuwa bado imesimama.Kodi ni mara mbili yake, imezidi kidogo kwenye bajeti yangu
Za laki tisa? Aisee!Ushauri wangu ongeza hela upate chombo kizuri utaenda kwa wajanja watakushikisha kisa hela ndogo na unataka kitu kizuri. Au nunua mkononi zipo gari hadi za lakitisa😆😆😆
Ndio laki tisa unapata gari sio jambo la kushangazaZa laki tisa? Aisee!
Hongera mkuu, jumla imekuwa bei gani? type picha mkuuNiliongezea hela kidogo nikaagiza kutoka Japani gari aina ya Subaru Forester SG5, L.L Bean Edition, 1994 cc. ya mwaka 2003. Haina mwezi tangu imefika
Hongera sana ni gari nzuri sanaNiliongezea hela kidogo nikaagiza kutoka Japani gari aina ya Subaru Forester SG5, L.L Bean Edition, 1994 cc. ya mwaka 2003. Haina mwezi tangu imefika
Hii nchi kuwa mwanaume kugumu sanaPremio mkuu, fuel consumption + hizo rough road mie sijui. Ila kwa mwanaume premio kali 👍
Hata Mpwapwaa unapataaWakuu habari za asubuhi.
Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.
Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.
Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.
Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.
Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.
Natanguliza shukrani za dhati.