Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kama lengo kubwa ni fuel consumption, achana na magari yenye zaidi ya 1500cc. Mbali ya CIF na TRA, gharama nyingine ni za bima na bandarini (hizi in most cases huwa hazizidi milioni 1).
Mkuu unataka kuniambia hii subaru inatumia chini ya Km 10 kwa lita? Nataka gari inayotumia lita 1 kuanzia Km 10 - 15. Bajeti yangu ya mafuta kwa mwezi ni 180,000/, hii ni hela nauli ninayotumia kwa mwezi. Nataka niibadiri iwe hela ya mafuta. Mizunguko yangu kwa siku ni Km 10, imegawanyika kwenye umbali wa Km mbili mbili. Mpaka sasa ni kati ya Subaru na Spacio ndiyo zipo kwenye mpango
 
Umepiga hesabu ya spea na matengenezo
 
Toyota sienta hapana mkuu...ni bora ununue wish
 
Kodi ni mara mbili yake, imezidi kidogo kwenye bajeti yangu
Chukua used kwa mtu anaedaiwa mkopo au aliyezidiwa madeni inakuwa bado imesimama.
Gari hazishikiki bado Wana mawazo ya kizamani eti gari ni anasa stupid kabisa mawazo ya Mwalimu kuwafanya wengi wawe masikini Ili awatale.
Sheria zetu ni msaafu huwa hazibadiliki.
 
Ushauri wangu ongeza hela upate chombo kizuri utaenda kwa wajanja watakushikisha kisa hela ndogo na unataka kitu kizuri. Au nunua mkononi zipo gari hadi za lakitisa😆😆😆
Za laki tisa? Aisee!
 
Niliongezea hela kidogo nikaagiza kutoka Japani gari aina ya Subaru Forester SG5, L.L Bean Edition, 1994 cc. ya mwaka 2003. Haina mwezi tangu imefika
Hongera mkuu, jumla imekuwa bei gani? type picha mkuu
 
Hata Mpwapwaa unapataa
 

Attachments

  • IMG-20230621-WA0001~2.jpg
    11.5 KB · Views: 6
  • IMG-20230621-WA0001~3.jpg
    10.8 KB · Views: 7
  • IMG-20230621-WA0003.jpg
    49.9 KB · Views: 7
  • IMG-20230621-WA0002.jpg
    63.5 KB · Views: 8
  • IMG-20230621-WA0001.jpg
    41.4 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…