spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hii LGV60 mkuu naona ina specs nzuri vipi upatikanaji wake daslam hapaVelvet ni mtumba pia mkuu, halafu haikua flagship, kwa LG V60 ina make sense zaidi kuliko Velvet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii LGV60 mkuu naona ina specs nzuri vipi upatikanaji wake daslam hapaVelvet ni mtumba pia mkuu, halafu haikua flagship, kwa LG V60 ina make sense zaidi kuliko Velvet.
Pengine zipo, ila Usa ndio unazipata kwa bei rahisi.Hii LGV60 mkuu naona ina specs nzuri vipi upatikanaji wake daslam hapa
Nawezaje kujua hapo hizi band kwamba hazipo compatible? Nikiweka Chip ama? Na inasupport E card?Pengine zipo, ila Usa ndio unazipata kwa bei rahisi.
Pia kuwa makini na band za simu husika, kuna V60 band zake haziendani na Tanzania.
Kuna hiiNawezaje kujua hapo hizi band kwamba hazipo compatible? Nikiweka Chip ama? Na inasupport E card?
Layman language ni kwamba nikiweka chip niangalie cellular network na data sio?Kuna hii
LG V60 ThinQ 5G UW - Full phone specifications
m.gsmarena.com
Na hii
LG V60 ThinQ 5G - Full phone specifications
m.gsmarena.com
Hio yenye UW ina band zote na hio nyengine haina band za Tanzania za 5G, kivyovyote watakiwa utafute hio ya UW.
Sidhani kama ina E card, sema Ina dual sim version
Kabla hujanunua uangalie,Layman language ni kwamba nikiweka chip niangalie cellular network na data sio?
Mkuu Kwa bajeti ya 650k napata Android gani nzuri?Kabla hujanunua uangalie,
Xiaomi 12 turbo, sema ni ya kuagizishia nje.Mkuu Kwa bajeti ya 650k napata Android gani nzuri?
Nunua nikukande DLS maana unanikimbia SanaMkuu Kwa bajeti ya 650k napata Android gani nzuri?
hii turbo ina esim?? halafu ina tofauti gani na redmi note 13 pro??Xiaomi 12 turbo, sema ni ya kuagizishia nje.
Za kununua hapa hapa A34 Samsung si mbaya.
Haina Esim na Turbo ni more perfomance oriented phone, processor yake ina nguvu kuliko flagship za 2022 kama S22. Compare na 13 pro ni simu nzuri zaidi.hii turbo ina esim?? halafu ina tofauti gani na redmi note 13 pro??
nina 600k cash
nataka simu used yenye
1. kukaa na charge sanaa
2. camera kali
3. kioo kizuri
4. storage 256gb+
5.better performance
6. esim
asante kwa maelezoHaina Esim na Turbo ni more perfomance oriented phone, processor yake ina nguvu kuliko flagship za 2022 kama S22. Compare na 13 pro ni simu nzuri zaidi.
Ila kama una value Camera na Display ina maana simu used zitakuhusu. Flagship za 2022 mwishoni sema nimecheki yenye Esim ni Xiaomi 12T pro tu.
.
Oneplus 10T ni simu nzuri sana haina Esim ila inafit requirements nyengine.
Hapo Esim ime disqualify simu nyingi sana nzuri.
Hapo mchawi chaji mkuu.
na hpo??Hapo mchawi chaji mkuu.
Simu zote za sd 888 zitakuzingua.
Kwani hio ndio sh Ngapi lov wajua mi hesabu nilifeliiigi! 😊