Kwa bajeti ya 250k mpaka 270k simu gani nzuri nichukue?

Kwa bajeti ya 250k mpaka 270k simu gani nzuri nichukue?

Kwanini? Unaweza kutupa sababu Chief?
Processor zote kuanzia hiii hadi leo kwenye flagship zinakula sana umeme, watts 10 kuendelea, sema hii ilikuwa processor ya kwanza kabisa kuanza kutumia umeme mwingi, watengenezaji simu wengi walifeli kuipoza na kulimit huo ulaji umeme na kupelekea simu kupata joto na kutokaa na chaji. Kulikua na sababu mbili hizi processor kula umeme.

1. Arm wenyewe walitoa core mpya za cortex X ili kushindana na Apple, hizi zilikua zinakula sana umeme, core moja inakula hadi watts 4, tofauti na zamani core za cortex A77 zilizotumika kwenye sd 865 zilizokua zinakula watts 1.8 tu.

2. Walitumia manufacturing process ya Samsung badala ya Tsmc, hii pia ilisabisha ongezeko la utumiaji umeme, wakati huu yield za samsung zilikua ndogo hivyo kupelekea huo ulaji umeme mkubwa.

Kama unanunua simu za mtumba vyema ukitoka flagship za 2020 zenye snapdragon 865 ruka moja kwa moja mpaka flagship za 2023 zenye snapdragon 8 gen 2.
 
Chukua Samsung za zaman ni nzuri na ni bora kuzid izo Simu zakichina tafta Samsung s10 kushuka
 
Processor zote kuanzia hiii hadi leo kwenye flagship zinakula sana umeme, watts 10 kuendelea, sema hii ilikuwa processor ya kwanza kabisa kuanza kutumia umeme mwingi, watengenezaji simu wengi walifeli kuipoza na kulimit huo ulaji umeme na kupelekea simu kupata joto na kutokaa na chaji. Kulikua na sababu mbili hizi processor kula umeme.

1. Arm wenyewe walitoa core mpya za cortex X ili kushindana na Apple, hizi zilikua zinakula sana umeme, core moja inakula hadi watts 4, tofauti na zamani core za cortex A77 zilizotumika kwenye sd 865 zilizokua zinakula watts 1.8 tu.

2. Walitumia manufacturing process ya Samsung badala ya Tsmc, hii pia ilisabisha ongezeko la utumiaji umeme, wakati huu yield za samsung zilikua ndogo hivyo kupelekea huo ulaji umeme mkubwa.

Kama unanunua simu za mtumba vyema ukitoka flagship za 2020 zenye snapdragon 865 ruka moja kwa moja mpaka flagship za 2023 zenye snapdragon 8 gen 2.
yaani hapa hta ie yenye sd 870 ama sd 8 gen 1 nazo vimeo sio??
 
Back
Top Bottom