feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Yeah 5.8 ukiongea hapo hata 4.5 unachukua siku hizi hazina soko hizo
Hii
Hii ndio mil 5?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii
Hii ndio mil 5?
Nani kasema hazipo? Kwani IST au Harrier tako hazipo C? Je, ni za kizamani? Nilichosema ni chache sana chini ya D, hivyo inatia shaka kusema ni za kizamani
Nani kasema hazipo? Kwani IST au Harrier tako hazipo C? Je, ni za kizamani? Nilichosema ni chache sana chini ya D, hivyo inatia shaka kusema ni za kizamani
Kwako wewe gari ya kisasa ni ipi boss?Kwako gari ya kizamani ni ipi boss?
Zipo mpaka namba B mbonaMi sijawahi kuona,hata kama zipo, ila hiyo peke yake inatia shaka kuhusu kuwa ya kizamani
Nani kasema hazipo?Zipo mpaka namba B mbona
Kwako wewe gari ya kisasa ni ipi boss?
Kwahiyo IST na Premio ulizotaja hapo mwanzo zimeingiaje kuwa za kisasa kama V8 ndio ya kisasa?Vieiti ya Slowslow[emoji41]
Hii siyo C, au miwani yangu mbovu..??[emoji848][emoji848][emoji848]Brevis ya kizamani inapatikana wapi? Umewahi kukuta hata namba C?
Oppa mie naona gari mbaya. Bora achukue Toyota FunCargo. We unasemaje?Kwahio bajeti yako gari ambayo itakufaa ni Opa ina nafasi ya kutosha na ni fuel efficient. Hakikisha unaipata ya 1.8L
We nae unaleta UBISHI wa kishamba tu. Kubali kuwa umetoa boko, wana wamekurekebisha unaendelea kuvimba!!Kwako wewe gari ya kisasa ni ipi boss?
Jibu tu wala usiive suraWe nae unaleta UBISHI wa kishamba tu. Kubali kuwa umetoa boko, wana wamekurekebisha unaendelea kuvimba!!
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]japo nimecheka, lkn huu ndo ukweli[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Nunua injini kwanza kaa nayo, baada ya hapo nunua matairi weka, hivyo hivyo...
Oppa mie naona gari mbaya. Bora achukue Toyota FunCargo. We unasemaje?
Unataka umuuzie yako kiujanja nini...😀😀😀😀Kwahio bajeti yako gari ambayo itakufaa ni Opa ina nafasi ya kutosha na ni fuel efficient. Hakikisha unaipata ya 1.8L
ile chuma siiuzi...yani ikibidi ntaongeza nyengine ila ile siuzi.Unataka umuuzie yako kiujanja nini...😀😀😀😀
Ipo toyota sprinter..milion 5..iko vzr sana..ni pm kwa info zaid if interestedWakuu poleni na hongereni kwa majukumu.
Nisiwachoshe nimechoka na hekaheka za boda boda nina bajet ya mil 5 naweza kupata gari used iliyo vizuri? Mimi ni bonge kidogo sitaki Passo wala Vits.
Nashukuru.
Kwahiyo IST na Premio ulizotaja hapo mwanzo zimeingiaje kuwa za kisasa kama V8 ndio ya kisasa?