Kwa bajeti ya milioni 5, nitapata gari gani zuri kama chombo cha usafiri

Kwa bajeti ya milioni 5, nitapata gari gani zuri kama chombo cha usafiri

sinyora Umenikumbusha mbali kidogo, niliwahi kupitia kipindi kama hicho sometimes back. Japo chombo nilichokua nahitaji Mimi kilikua kikubwa kidogo. Ila mfuko ukawa nao umebana haswa, kuna mtu akaniunganisha na mtu, ambaye alinisaidia .

Ni individual hua mnaandikishiana kisha yeye anakulipia ushuru na gharama zingine kwaajili ya kutoa gari lako. Then unamrejejshea kwa makubaliano mliyokubaliana kwenye mkataba.

Sina hakika kama bado anafanya hii issue.
 
Funcargo naona gari imekaa kisenge sana yani. Iko out of shape sana kwa mtoto wa kiume. I used to hate Opa ila baada ya kuiendesha nikagundua ni gari flani ambayo iko so cool. Good performance and comfortability and best of all ni iko spacious sana comapred na vibebi woka vyote.
Gari ni kama mwanamke vile wanasema hakuna mwanamke mbaya ni kama gari ukilipimp hakuna gari baya
View attachment 1696830
 
Back
Top Bottom