Mkuu 110 haili mafuta 9km/l town tripTatizo wese wewe unataka akonde faster
sent from HUAWEI
kaka'Naomba nijuze kuhusu Toyota camiKwahio bajeti yako gari ambayo itakufaa ni Opa ina nafasi ya kutosha na ni fuel efficient. Hakikisha unaipata ya 1.8L
9km/l mjini hapa hapa?Impossible boss.Mkuu 110 haili mafuta 9km/l town trip
13-14km/l safari ndefu
Inatumia ngap mkuu ?9km/l mjini hapa hapa?Impossible boss.
Niamini mimi ndio naitumia na siiuzi usiseme naipigia promo9km/l mjini hapa hapa?Impossible boss.
Gari ni kama mwanamke vile wanasema hakuna mwanamke mbaya ni kama gari ukilipimp hakuna gari bayaFuncargo naona gari imekaa kisenge sana yani. Iko out of shape sana kwa mtoto wa kiume. I used to hate Opa ila baada ya kuiendesha nikagundua ni gari flani ambayo iko so cool. Good performance and comfortability and best of all ni iko spacious sana comapred na vibebi woka vyote.
Unataka nimkufuru bwana Melo nini😅Oppa mie naona gari mbaya. Bora achukue Toyota FunCargo. We unasemaje?
Ila kwakuwa tumefika, jibuUngeielewa comment yangu pale juu tusingefika huku boss.