Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kuna redmi 13C imetoka juzi tu budget ya kawaida specifications bora. Nafikiria niichukue pia. Zinaanzia 269000/-
Redmi 13C na 12C ni kama simu moja tu, sema kwa hio Bei ni nzuri sana maana Tigo wanauza 280,000, unaipata wapi?

Pia cheki Redmi 12 5G ama Poco M6 pro nazo simu nzuri kama unazipata Chini ya 350,000
 
Wakuu nilinunua redmi note 12 ina kama wiki mbili. Nina kila kitu chake.

Kama unahitaji njoo nikuuzie nataka nidake xiaomi 13 chap
 
Redmi 13C na 12C ni kama simu moja tu, sema kwa hio Bei ni nzuri sana maana Tigo wanauza 280,000, unaipata wapi?

Pia cheki Redmi 12 5G ama Poco M6 pro nazo simu nzuri kama unazipata Chini ya 350,000
Hass Tech pia ni 269,000. Huyu jamaa kwenye Xiaomi ana bei za kizalendo sana
 
NATAKA SAMSUNG A05S.
WEKA PICHA NA BEI NA LOCATION NA NAMBA YA SIMU CHAP.
 
Nahitaji kununua simu Samsung s9 au Samsung s8 ,kwa wenye uzoefu na hii simu msaada tafadhali!!!changamoto zake na ubora
!!najua madukani hazipo nanunua used
 
Mkuu ulipata?
Nipe chimbo au koneksheni.
Samahani kwa usumbufu.
 
Mkuu, GSMArena wanasema Samsung Galaxy A15 5G ni very sluggish ukicompare na Galaxy A15 ya kawaida licha ya kuwa na more capable chip. Sababu inaweza kuwa ni nini?
A15 5G haina more capable chip, ni downgrade compare na A14 5G yenye Exynos 1330 na ni kama sawa na G99 ya A15 plain.

A15 5G ina Dimensity 6100 na A15 ina helio G99 hizi soc ni same tier perfomance wise utofauti ni hio 5G. Kama kuna sluggish yoyote ni software ama 5G related problem.
 
A15 5G haina more capable chip, ni downgrade compare na A14 5G yenye Exynos 1330 na ni kama sawa na G99 ya A15 plain.

A15 5G ina Dimensity 6100 na A15 ina helio G99 hizi soc ni same tier perfomance wise utofauti ni hio 5G. Kama kuna sluggish yoyote ni software ama 5G related problem.
POCO gani napata kwa 450K
 
Kwa hiyo apart from Poco, kwa 450K-500K napata simu gani nzuri
Kwani lazima ununue sasahivi? Jichange kwanza ifike 560K ununue Redmi Note 13 Pro 5G
Ina SoC nzuri "Snapdragon 7s Gen 2, ina kamera nzuri na resolution kubwa ya 4K kwenye kurekodi video, fast charging, speaker nzuri nk
 

Attachments

  • Screenshot_2024-06-05-07-15-54-200_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2024-06-05-07-15-54-200_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    703.7 KB · Views: 20
Back
Top Bottom