Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Kachukue Samsung S10 used pale zahoor matelepoho, China plazq
 

Pitia hapo.
Shurkani nimepata kujifunza kitu kipya ,kwa sasa ipi Gcam nzuri kwa Redmi Note 12 maana ukienda mtandaoni bila kujua utakutana na link mbalimbali wengine wezi Tu.
 
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Samsung s10e GB 128
iphone 7lus GB 128
Sony xperia 10 GB 64
Google pixel 4a GB 128
Huawei P20 lite GB 64

ZOTE HIZI NA NYINGINE UNAPATA,NJOO PM NIKUHUDUMIE.
 
Shurkani nimepata kujifunza kitu kipya ,kwa sasa ipi Gcam nzuri kwa Redmi Note 12 maana ukienda mtandaoni bila kujua utakutana na link mbalimbali wengine wezi Tu.
Tumia website za wataalam kama Xda kuepuka huo wizi.

Mfano hii

Kuna na Config yake pia,
 
Simu za mkopo mkuu ni sawa na kujiingiza gerezani mwenyewe alafu unajipa adhabu mwenyewe [emoji1][emoji23]

Simu ya laki 2 unajikuta unalipia laki 6 huko si upuuzi wa hali ya juu huo.. Huu ni aina ingine ya unyonyaji..
Chukua tuigonge

Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Hapo kwenye 128GB hiyo budget ni ndogo kwa simu nzuri
 
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Kama unajua sifa za simu kama hizi,huwezi kushindwa kufanya maamuz(simu Gani ununue)Kwa hyo bajeti yako
 
Back
Top Bottom