Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachukue Samsung S10 used pale zahoor matelepoho, China plazqWakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Shurkani nimepata kujifunza kitu kipya ,kwa sasa ipi Gcam nzuri kwa Redmi Note 12 maana ukienda mtandaoni bila kujua utakutana na link mbalimbali wengine wezi Tu.Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako
Wakuu bila kupoteza muda, Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera. Haina ubishi, hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa na google wenyewe Utakubaliana na Mimi kama tu umeshawahi tumia simu zao za pixel, zile simu...www.jamiiforums.com
Pitia hapo.
Samsung s10e GB 128Wakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
450,000 GB 128google pixel 5a USED naweza pata kwa bajeti ya kiasi gani
Uko sahihi kabisa. Hizi ni simu na nusuLaki nne na ushee...Ni cm kali sana.
Hii kampuni naiweka number moja kwa sasa.
6a kwa bajeti yake hatoboi
Tumia website za wataalam kama Xda kuepuka huo wizi.Shurkani nimepata kujifunza kitu kipya ,kwa sasa ipi Gcam nzuri kwa Redmi Note 12 maana ukienda mtandaoni bila kujua utakutana na link mbalimbali wengine wezi Tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu kwanini umecheka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Acha wenge, a5 ni za kitambo Sana😄😂😂😂, saivi wako a 70 hukomkuu emb ielezee kidogo hii simu.....naona zimetoka juzi tu 15october mwaka huu
Hiyo simu ya mkopo uta jikuta una lipa laki 7 😄😂Mkuu kwanini umecheka
Simu za mkopo mkuu ni sawa na kujiingiza gerezani mwenyewe alafu unajipa adhabu mwenyewe [emoji1][emoji23]Mkuu kwanini umecheka
Chukua tuigongeSimu za mkopo mkuu ni sawa na kujiingiza gerezani mwenyewe alafu unajipa adhabu mwenyewe [emoji1][emoji23]
Simu ya laki 2 unajikuta unalipia laki 6 huko si upuuzi wa hali ya juu huo.. Huu ni aina ingine ya unyonyaji..
A5 na A05 ni simu mbili tofautiAcha wenge, a5 ni za kitambo Sana[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23], saivi wako a 70 huko
Hapo kwenye 128GB hiyo budget ni ndogo kwa simu nzuriWakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Kama unajua sifa za simu kama hizi,huwezi kushindwa kufanya maamuz(simu Gani ununue)Kwa hyo bajeti yakoWakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
umeamua kupanda ngazi mkuu ila anyway chukua Xiaomi Redmi 11Mimi nina 400K ipi kali nichukue wakuu?
nani kakudanganya mkuu usiangalie namba angalia matolea ya simuAcha wenge, a5 ni za kitambo Sana😄😂😂😂, saivi wako a 70 huko