Luca Paguro
Member
- Mar 26, 2023
- 85
- 130
Shukrani mkuuKwani lazima ununue sasahivi? Jichange kwanza ifike 560K ununue Redmi Note 13 Pro 5G
Ina SoC nzuri "Snapdragon 7s Gen 2, ina kamera nzuri na resolution kubwa ya 4K kwenye kurekodi video, fast charging, speaker nzuri nk
Mkuu kwema? Kwanza nashukuru kwa Code,Kariakoo Agrey ni zile refurb
Kabla ya kununua hakikisha unapiga hii namba
Code:*#*#7378423#*#*
Halafu itafunguka service mode kutest mambo mbalimbali kama touch ya simu, battery etc.
Kwa battery hii simu inakuja na 4000mah hakikisha battery lilibakia ni kubwa kama 3300 kuendelea.
Chief Nataka kununua simu ya Samsung bajeti yangu ni 600,000/=Eka Gcam,
Kariakoo Agrey ni zile refurb
Kabla ya kununua hakikisha unapiga hii namba
Code:[I]#[/I]#7378423#[I]#[/I] [/QUOTE] Hii Code [I]#[/I]#7378423#[I]#[/I] ni Kwa simu zote.? Au Samsung ana Code yake ukitaka kujua ni Simu mpya.
Kwa Simu mpya Ni Samsung Galaxy A25, hii unaipata bila tabu kwa hio budget, ila pia angalia Samsung A34 unaweza ukaipata kwa hio budget nayo ni nzuri.Chief Nataka kununua simu ya Samsung bajeti yangu ni 600,000/=
Samsung ipi nzuri inaendana na bajeti hii
Chief ujaniona Chief, nilitaka nije PM ila natumia kitochi kinazingua.Mkuu kwema? Kwanza nashukuru kwa Code,
ila ninaombi kama autojali unisaidie katika kununua Xperia 5ii dual sim kati ya tarehe 1-7/09
Authorized dealer Wa pixel nawapataje mkuuNakushauri kama ni Pixel Chukua brand new kabisa ukiweza kuagiza kwa authorized dealer Nairobi itakuwa Super sana, Achana na Refurb au Second hand niliwahi kua na Pixel 5a used ilikuja kuzima tu ghafla, Ndo nkaita nyinginw brand new, Kwa budget hio hupati pixel mpya kama sio mtu wa mambo mengi jivute mpaka 350 fulani ivi ukatungue mu itel battery ni 5000MAH utakusogeza uku ukijupanga Kuvuta mid ranges au flagship
Agrey unazipata mkuu tafuta duka linalotoa warranty hata ya mwezi ili uihakiki vizuri kama ina tatizo.Mkuu kwema? Kwanza nashukuru kwa Code,
ila ninaombi kama autojali unisaidie katika kununua Xperia 5ii dual sim kati ya tarehe 1-7/09
Poa mkuu, ila bado nitakuchekiAgrey unazipata mkuu tafuta duka linalotoa warranty hata ya mwezi ili uihakiki vizuri kama ina tatizo.
Tigo Shop inauzwa 990,000/=Kwa Simu mpya Ni Samsung Galaxy A25, hii unaipata bila tabu kwa hio budget, ila pia angalia Samsung A34 unaweza ukaipata kwa hio budget nayo niBei
Bei ya Tigo Shop hio.
Hao Tigo shop na wao bei zao ni hovyo tu sometimes. A25 most places ni 650K.Tigo Shop inauzwa 990,000/=
Mimi Nataka Samsung ya 600,000/=
Mkuu hizo sijui ni comment zangu mbili umeunganisha, Xiaomi ndio Tigoshop, Samsung nenda mtaani bei zake ni hizo 600K uhakika.Tigo Shop inauzwa 990,000/=
Mimi Nataka Samsung ya 600,000/=